Arushaone
Platinum Member
- Mar 31, 2012
- 15,237
- 13,567
Leo Dr.Magufuli kapokelewa Arusha ambapo atakagua Ujenzi wa barabara na kumkaribisha Makamu wa Rais kwenye Ujenzi wa barabara ya Kia kwenda Mererani.
Huyo waziri alikuja since yesterday mkuu, na alifikia The Arusha Hotel zamani ikijulikana kama New Arusha Hotel.