Magufuli yupo Arusha kikazi

Magufuli yupo Arusha kikazi

Acha utani wewe hao wengi wao si watumishi wa serikali na chama na wanaCCM mbona common wananchi ni kiduuuuuuch almost hakuna! na tena wengine waweza kuwa ndugu, jamaa, marafiki zake ambao wako A town. Kama ni kijidimbwi sema kijidimbwi, usiseme ziwa au mto!
 
wanaomshangilia ni wajinga!ebu waulizen maisha yao ykoje,watoto wao wanasomaje,wakiugua wanatibiwaje, kuna madawa, na umeme je?
 
Umeona eeeh hao ni kama wale walosukuma gari la jairo david! na lazima waje wengi si wanajua jamaa alivyo na maamuzi ya kimihemko anaweza akataka kujua wangapi wamekuja kumpokea na ambaye hakuja ndo atakuwa na bifu naye mpaaaka...
 
Ina maana kabla ya kupendekezwa alikuwa hapokelewi hivyo kwenye wizara yake.
 
Hao mbona watumishi wa ofisini wamelazimishwa kutoka kumpokea si unawaona?! Halaf bado wachache sana
 
Kama ni kweli hiyo barabara ya Merera inajengwa, then ni bonge moja la issue.
Ingawa nilikua naenjoy sana kupiga fimbo XR yangu kwenye hizo rasta.
 
Umeona eeeh hao ni kama wale walosukuma gari la jairo david! na lazima waje wengi si wanajua jamaa alivyo na maamuzi ya kimihemko anaweza akataka kujua wangapi wamekuja kumpokea na ambaye hakuja ndo atakuwa na bifu naye mpaaaka...
Pia atataka kujua waliompigia makofi na kuimba rais...rais.
Hivyo watu ili kulinda vibarua vyao ndio inabidi wajikongoje kama tunavyoona kwenye picha
 
Niko mkoani Arusha hapa! Jembe Dr. Magufuli yupo hapa kikazi wizara ya ujenzi. Lakini wanainchi wa arusha wanahamu ya kumsalimia na kila anapopita watu wanashangilia rais rais. Ki ukweli jamaa bonge la jembe anakubalika kila kona. Check picha kidogo hapa chini.. Nitawaletea kila nitakacho nasa hapa mambo "aleselema"

Hahahakutofautisha kikazi na kikampeni ni changamoto naona mpk mkuu wa mkoa manyara na mkuu wa wiyala naye yupo!
 
Ngoja lowasa aanze kazi mtafuta pakujificha
 
Acha utani wewe hao wengi wao si watumishi wa serikali na chama na wanaCCM mbona common wananchi ni kiduuuuuuch almost hakuna! na tena wengine waweza kuwa ndugu, jamaa, marafiki zake ambao wako A town. Kama ni kijidimbwi sema kijidimbwi, usiseme ziwa au mto!

amezuka ghafla kikazi kama waziri wa ujenzi ,sio kwamba palikua na taarifa...

any way ni kama strategy fulani hivi,,,,,unaweza shangaa hata wewe uko katika mizunguko ukamkuta anakagua barabara etc
 
Hao watu wanaomshangilia wao wana umeme? maana umeme kila siku ni mgao usiotangazwa na wananchi hatujui nini kinaendelea. Au hao wanaomshangilia ni wale ambao shughuli zao zimesimama kwa kukosa umeme hivyo hawana la kufanya zaidi ya kumshangila Magufuli?

Umeme wa elfu 10 unit 8 na elfu 1 mb 8 kwa matumizi ya cmu muulize lowasa,maana dowans ni ya mbia mwenzie wa vodacom rostam aziz,kwahiyo hili swali ungelipatia jibu kwa huyo laigwan
 
Magufuri anazidi kutisha! Kweli chema chajiuza mkwe wa EL Sioi Sumari leo ameonyesha kumkubali Dr.Magufuli katika mchakato wa urais tazama leo asubuhi alivyoenda kumpokea uwanja wa kilimanjaro na kusalimiana na Jembe JP Magufuli. "Aleselema"
 

Attachments

  • 1438239962555.jpg
    1438239962555.jpg
    64.2 KB · Views: 381
  • 1438239998479.jpg
    1438239998479.jpg
    63.2 KB · Views: 349
  • 1438240024457.jpg
    1438240024457.jpg
    64.9 KB · Views: 345
  • 1438240046780.jpg
    1438240046780.jpg
    63.3 KB · Views: 325
  • 1438240063664.jpg
    1438240063664.jpg
    73.3 KB · Views: 343
Back
Top Bottom