Magufuli yupo Arusha kikazi

Magufuli yupo Arusha kikazi

Watu wapo kibao ila kwa kuwa yuko kikazi zaidi acha apige kazi kwanza maana kwake hiyo ndo priority.

Naona umeamua kumkejeli Magufuli.
Ngoja akusikie, utamtambua.
 
bavicha bana,wanavichwa vizito mno kuelewa.mtu anauliza mbona hakuna raia,wakati hapo yuko kikazi na hakuna annoucement yeyote kuwa angekua hapo
 
Hakika huyu ndio Rais tumtakae,jembe anapiga kazi tu,siasa baadae.viva magufuli
 
Mwongo sana wewe amepita na ving'ola vya serikali dhaifu na akapewe V ya CHADEMA akasepa zake.
 
Anajenga yeye au kodi zetu?CCM ni kupiga chini tu.tusidanganywe na punje za mahindi,sisi sio kuku hatukamatiki kijinga.wamepora vya kutosha,wametudanganya vya kutosha ,wametunyonya vya kutosha,wametubugudhi vya kutosha,wametukandamiza vya kutosha,sasa basi.ni UKAWA tuuuu!!!!!!
 
Waacheni watumishi wa serikali wafanye kazi, ona mlivyowasimamisha hapo kisa kujaza namba ya raia

kazi ipo!! nakumbuka enzi za BM wanafunzi walitumika kujaza barabara, mpaka Mwanza ikatokea ajali watoto wa watu wasiokuwa wapiga kura wakafa RIP.
Na huo ndio ulikuwa mwisho wa Reinfred Masako kutangaza habari za uchaguzi, nakumbuka Bwana Masako siku hiyo aliongea kwa uchungu sana.

Angalizo: wenye watoto wenu mashuleni hakikisheni watoto hawatumiki katika siasa na kama watatumika muwashtaki watakaowatumia kama wanaowafanyisha kazi watoto wadogo.

mwisho: Je watoto wale waliokufa Nyakato, familia zao zililipwa fidia?
 
Leo Dr.Magufuli kapokelewa Arusha ambapo atakagua Ujenzi wa barabara na kumkaribisha Makamu wa Rais kwenye Ujenzi wa barabara ya Kia kwenda Mererani.

Mbona mawaziri wengine kuwa mikoni cyo news?
 
Kumekucha wakati jembe JP akiwa kikazi arusha kwenye kuweka jiwe la msingi barabara ya mererani KIA. Wazee wa kimasai wamemkubali na kuamua kumtunikia uongozi wa koo za kimasai. "Laigwenani" Nitawajuzi kila kinachoendelea kadri jembe linavyozidi kukubalika kwenye ngome ya EL. Check hizi
 
Kumekucha wakati jembe JP akiwa kikazi arusha kwenye kuweka jiwe la msingi barabara ya mererani KIA. Wazee wa kimasai wamemkubali na kuamua kumtunikia uongozi wa koo za kimasai. "Laigwenani" Nitawajuzi kila kinachoendelea kadri jembe linavyozidi kukubalika kwenye ngome ya EL. Check hizi clip

unakimbilia wapi? hiyo clip umeweka wapi?
 
KIA hamna wamasai, wako Monduli, Longido nk. Katunikiwa na wapare wa Mererani kwa kuwapa barabara. Ameingizwa mjini JPM
 
ha ha ha ha haaa ngoja laigwanan wa ukweli avae gwanda na chopa zianze kuunguruma... mtanyooka tu
 
Kumekucha wakati jembe JP akiwa kikazi arusha kwenye kuweka jiwe la msingi barabara ya mererani KIA. Wazee wa kimasai wamemkubali na kuamua kumtunikia uongozi wa koo za kimasai. "Laigwenani" Nitawajuzi kila kinachoendelea kadri jembe linavyozidi kukubalika kwenye ngome ya EL. Check hizi

asante baba nimefurahi Rais wangu Magufuli anapanda chati.
 
KIA hamna wamasai, wako Monduli, Longido nk. Katunikiwa na wapare wa Mererani kwa kuwapa barabara. Ameingizwa mjini JPM

Kwani hawawezi toka sehemu zingine wakaenda kwa ajili ya tukio hilo tu kisha wakarudi makwao iwe longido,monduli au kokote? Ninavyojua KIA nA MERERANI kuna wamasai pia acha uwongo.
 
attachment.php


Hiyo nyomi balaa!!!????
 
Ukawa walipima moto wa magufuli wakaona urais wanapoteza muda tu ngoja wamuuzie mwenye tamaa zake wao wakapambane majimboni. unadhan mbowe hautaki kama ingekua rahisi kuuchukua
 
Back
Top Bottom