Magufuli: Wanaopita kwenye barabara za mwendokasi chomoeni tairi za magari yao muuze

Ndiyo akili za kushikiwa hizo kwamba mtu akiandika hapa kupinga hizi sera za kukurupuka basi ana stress, wewe ndio wale wale akili fupi. Huyu fisadi kawekwa madarakani na akina Mkapa na Kikwete ili aendelee kuwalinda na maovu yao. Kama CCM ingetaka kiongozi safi basi Augustino Ramadhani alikuwa hana doa lakini Kikwete na Mkapa wakamhofa kwamba yule anaweza kuikubali rasimu ya Warioba na hivyo kuwaondolea kinga Marais waliotenda maovu madarakani.

Iko siku labda hii akili yako iliyofunga itafunguka na kuona Majanga ya huyu dikteta na sera zake za kukurupuka katika miezi saba tu kishaanza kuweweseka mara anataka kwenda chunga ndege, mara anajuta kuchukua form ya Urais na kauli nyingine chungu nzima ambazo zinawaacha midomo wazi Watanzania wengi.

Katiba hamna time nayo maana mnajua ni kiama cha CCM na itapotea rasmi na kubaki history tu.

Hahahaa wewe blaza nakuonea huruma sana kwa kweli, kwa iyo what kind of leadership did you prefer, Lowasa? Hahaa. Me naomba nikupe pole kwa stress na hasira zitakazokuwa zinakufura kwa miaka kumi ijayo. Na iyo katiba hakuna mtu ana time nayo saa hizi, mtaachiwa nyie iwe sera yenu 2020 ili msije ishiwa na vya kusema.

Tizama katiba inafanya Kenya alafu jiulize nani anatetea ujinga kati yangu nawe alafu ukishapata jibu usinijibu.
 
Mi nimeshauri rais wetu awe anaandikiwa hotuba asome.ila sijuwi kama atakubali. Daah.
leo hotuba ilikuwepo imeandalia lakini kwa akusudi akagoma kuisoma na ksuema atasema ya moyoni mwanke..na hayo ndo ya moyoni mwake...mnafiki sana
 
Nimefahamu jambo, mkuu wa kaya kama hotuba zake ndio hizi, basi siku akienda huko duniani na kuhutubia hivi watamtoa nje.
 
Waswahili walisema akili ni nywele. Sasa MTU mwenye Poor Hair Distribution (PhD) atakuwa na akili gani wakati nywele tayari ni pungufu? Wala sishangai.
 
Mtu ana akili timamu anaambiwa hapa ni maalumu kwa basi la gharama na la msaada sana kwa watu wanaoyatumia pale Dar wewe unaingiza boda boda na piki piki..dawa ni kuwataifishia hata hizo gari au boda boda ili kweli iwe sehemu ya basi la Udrt
 
Huyu rais kitu kimoja ambacho kinamuangusha sana ni kuleta emotions katika kazi. Kila kitu anafanya kwa emotions badala ya logic, kauli kama hii itafanya vijana barabarani wajichukulie sheria mikononi wakamate magari ya watu wachomoe tairi wauze alafu wakiulizwa watasema rais alitamka.

Awe anafikiria kabla ya kutamka, au awe anaandika speech, hili kama jambo la 20hivi anachanganya emotions kwenye mambo ya maana. Nilikua namuona kama mtu sahihi sana maana ndio kama the only candidate aliyekua safi kwenye campaign ila sasa hivi leta uchaguzi huyu kura yangu hata nimwagiwe maji ya moto hapati.
 
By the way binadamu haswa watanzania bila udikteta kidogo, wananchi hatuwezi fuata sheria hata kidogo, so viva magu, kwanza hata wangetaifisha gari lote tuu, nakwambia sheria zingefuatwa.
Naanza kuamini ni robo tuu ya watanzania ndio wameelimika
Mkuu hakuna udikteta kidogo wala mkubwa. Na kwenye udikteta hakuna sheria ni amri tu. Ktk utawala wa sheria mtu anapovunja sheria anaadhibiwa kwa sheria ile iliyovunja.
 
Haya mambo ya sheria na ujinga ujinga ndo yaliotufikisha hapa, undava undava tu kama alivyosema rais ndo nchi hii itanyooka,.. Akienda kituoni anakuta hamna matairi YES next time hawezi rudia tena.. Kumpeleka sijui kwa sheria ni kupoteza muda tuu. Watz wako sugu sana.. Hapa kazi tu.
Sasa mahakama ya mafisadi anaanzisha ya nini!? Si atoe hukumu yeye mwenyewe!? Au anaona sawa kupoteza fedha za walipakodi!?
 
Si wote wamepata taarifa hii acha tuone wakiingia katika barabara za DART kama askari wakamataji watajipatia biashara au!!!
 
Back
Top Bottom