Magufuli: Walioanza kulalamika hakuna pesa mifukoni ni wale waliozoea kupata pesa za burebure

Biashara zimekuwa ngumu kuna icd za magari hapa dar zimeshapunguza wafanyakazi kwani magari hayaendi wanapokea meli moja kwa mwezi.
 
Lazima wote tuishi kama mashetani,
Mana hata ambao hawakuwahi kupata fedha kiujanja ujanja nao wanalalamika pesa haipo
 
Mimi naona kama anafurahia hivi... Anaonekana kama kuna watu ana kisasi nao anataka kuwakomesha.
Mwisho wa siku ana tuumiza wote mkuu, bidhaa bei juu halafu pesa hakuna, Biashara zikiwa mbaya watu wanafunga pia wafanyakazi wanakosa ajira, njaa nyumbani, uhalifu utaongezeka nk pamoja na chuki dhidi ya wanasiasa.
 
Sukar Kilo imefika mpaka 6000,nakoishi SUMATRA walipandisha nauli kinyemela,mafuta bei ya dunia ipo chini,huku leo imepandishwa tena,kwanini watu wasiseme hawana hela?Na bado sasa kodi zimeanza kuuma kuanzia Julai 1
 
Kweli mkuu kila sehem kumetight VAT 18% kila kona imepelekea kupandisha bei ya mahitaji na mzunguko wa pesa kuwa mdogo

Hiyo ni system inayo tumika kwenye nchi zilizoendelea na ilitakiwa itumike tangia awali hao Tanzania. Sasa kilichobaki ni kuzoea kulipa na kufanya kazi kwa bidii na kuwa wabunifu. Baada ya hapo hazina itakua na hela ya kutosha na mishahara kupandishwa taratibu. Tujaribu kusoma na kutafakari jinsi wester countries zilivyo pata maendelo kutokana na kukusanya kodi
 
Mwisho wa siku ana tuumiza wote mkuu, bidhaa bei juu halafu pesa hakuna, Biashara zikiwa mbaya watu wanafunga pia wafanyakazi wanakosa ajira, njaa nyumbani, uhalifu utaongezeka nk pamoja na chuki dhidi ya wanasiasa.
Sasa haya yote yanavyotokea yeye anasema ni wale waliokuwa wamezoea kupata pesa kiujanja ujanja. Sick!
 
Kweli Mungu katupatia Rais wa aina hii? Dah!! Maana yake ki ukweli rais hajui hali halisi ya huku mtaani? Inabidi tujihurumie sana... Kampuni nyingi zinafunga zina quit Tanzania market. Rais anachekelea.. Au ndio ushetani aliokuwa anautaka? Daah!!!
Kweli watu watamuombea ? Au wateuliwa kina pole pole ndio watamuombea tu wenyewe..

Sasa mnataka maendeleo mnadhani maendeleo yanakujae. au mnasubiri hela zainguke toka angani? Jaribuni kufikiria na msome toka nchi zilizo endelea zilipataje maendelo. Kama mtu ana maoni ya maendeleo amabyo ni bora zaidi ya hayo ya Magufuli atoe badala ya kulalamika tu.
 
Mwisho wa siku ana tuumiza wote mkuu, bidhaa bei juu halafu pesa hakuna, Biashara zikiwa mbaya watu wanafunga pia wafanyakazi wanakosa ajira, njaa nyumbani, uhalifu utaongezeka nk pamoja na chuki dhidi ya wanasiasa.
Huko bado Intelejensia ya serikali bado haijaligundua hilo kwahiyo muendelee kuvumilia maisha mapya
 
Sasa mnataka maendeleo mnadhani maendeleo yanakujae. au mnasubiri hela zainguke toka angani? Jaribuni kufikiria na msome toka nchi zilizo endelea zilipataje maendelo. Kama mtu ana maoni ya maendeleo amabyo ni bora zaidi ya hayo ya Magufuli atoe badala ya kulalamika tu.
Kitu cha kwanza hatakiwi aiminye demokrasia.. Maendeleo ni mvutano na mgongano wa mawazo.. Wewe unatoa wazo hili wenzako wanalipinga wanakuja na njia hii mnakaa chini mnaboresha.. Ila ukijifanya dikteta au hutaki ushauri ndio mwisho wa siku mambo yote yanaenda mrama.. Mifano ipo mingi .. Sihitaji kui toa hapa!
 
Rais anaonesha dharau kwa wapiga kura,hata kama mtu atafanya Kazi kutwa hela anayopata haiendan na kaz aliyofanya,pia mtaan bei ya bidhaa ziko juu.Ajira nayo ni shida cku hiz,mwingine atasema kwenda kulima,huko ndo shida,Serikali iko kiviwanda zaidi ambavyo utekelezaji wake ni wa muda mrefu.Ukitaka kujua watu wana hali mbaya tumia mfano wa mechi ya Yanga na Mazembe,mechi ilichezwa cku ya Kazi watu waliujaza uwanja saa mbili asbh,tena siku ya Kazi,hii ina maanisha watu hawana Kazi.
 
Mkuu hakuna anayekwepa kulipa kodi point hapa ni mzunguko wa fedha.
mf. Kwenye mshahara huwezi kukwepa kodi, na baadhi ya sehem zingine serikali mdo ilikua haihimizi/haikusanyi kodi

Sasa huo mzunguko wa hela umesimamishwa na nani? Na kwa nji gani? Maana hakuna biashara iliokatazwa na hakuna biadhaa zilizokatazwa zisiuzwe...
 
Back
Top Bottom