Mkuu hakuna anayekwepa kulipa kodi point hapa ni mzunguko wa fedha.Mtazoea tu kulipa kodi,baada ya muda mtiririko utakua umetimia kwenye njia zake
Ndo Rais tulienae amejikanusha mwenyeweNasikia 'eti' baada ya maneno hayo Rais akagawa pesa bure bure tena mbele ya hadhara, ni kweli?
Kwa namna ambayo enzi za Kikwete uchumi wa nchi ulivyokuwa ukiendeshwa makampuni mengi ya ma-crooks yaliingia hapa nchini, kujisajili na kuanza kufanya biashara au uzalishaji hivyo kukidhi malengo yao ya kujinufaisha pasipokujali maslahi ya nchi. Kuna makampuni yamejifilisi na kufunga ofisi ili kukwepa kudaiwa kodi ambazo awali walikuwa hawalipi. Kwa sasa Tanzania inaweza kutegemea kupokea wawekezaji na wafanyabiashara genuine tutakaoshirikiana nao, hivyo wao na nchi kunufaika sawia (mutual beneficiation).Kweli Mungu katupatia Rais wa aina hii? Dah!! Maana yake ki ukweli rais hajui hali halisi ya huku mtaani? Inabidi tujihurumie sana... Kampuni nyingi zinafunga zina quit Tanzania market. Rais anachekelea.. Au ndio ushetani aliokuwa anautaka? Daah!!!
Kweli watu watamuombea ? Au wateuliwa kina pole pole ndio watamuombea tu wenyewe..
Na hizi zilikuwa za burebureee haswaaaaNasikia 'eti' baada ya maneno hayo Rais akagawa pesa bure bure tena mbele ya hadhara, ni kweli?
Ukiona kampuni inafunga huduma zake na kuhama ujue ILIKUWA INAKWEPA KODI, full stop.Kweli Mungu katupatia Rais wa aina hii? Dah!! Maana yake ki ukweli rais hajui hali halisi ya huku mtaani? Inabidi tujihurumie sana... Kampuni nyingi zinafunga zina quit Tanzania market. Rais anachekelea.. Au ndio ushetani aliokuwa anautaka? Daah!!!
Kweli watu watamuombea ? Au wateuliwa kina pole pole ndio watamuombea tu wenyewe..
Binafsi naona watu wanalalamika sio kwamba wamezoea vya konakona,pesa imekuwa ngumu kutokana na gharama za maisha na thamani ya pesa inayoingia mkuu.
Nawasilisha
Sio kweli, kuna kampuni zimefunga kwa sababu ya biashara kuwa mbaya.. Saikulesheni ya pesa ni ndogo sanaUkiona kampuni inafunga huduma zake na kuhama ujue ILIKUWA INAKWEPA KODI, full stop.
ANADAENI? Sasa tunaanza kuwaona elimu yenuHuu ndio ukweli basi Malisa ,Zitto na mtatiro anadaeni makala Rais kaongea na kawapa topic
Mimi naona kama anafurahia hivi... Anaonekana kama kuna watu ana kisasi nao anataka kuwakomesha.Huyu mzee kuna rafiki aliniambia atakua one term president na anza kuona dalili.
Hana hata lugha ya kidiplomasia kuzungumza na wananchi wanaopigika.