Magufuli vs Majaliwa yupi mtumbuaji hodari?

Sexer

JF-Expert Member
Oct 22, 2014
8,432
8,140
jonh pombe magufuli vs majaliwa kassim majaliwa je ni yupi mahiri katika tasnia ya utumbuaji majipu? mimi binafsi kama mtumishi wa umma mwenye jipu ama sina jipu ni bora kutembelewa na magufuli kuliko huyu majaliwa. make nimeona majaliwa anatumbua kwelikweli. wewe je mtazamo wako?
 
jonh pombe magufuli vs majaliwa kassim majaliwa je ni yupi mahiri katika tasnia ya utumbuaji majipu? mimi binafsi kama mtumishi wa umma mwenye jipu ama sina jipu ni bora kutembelewa na magufuli kuliko huyu majaliwa. make nimeona majaliwa anatumbua kwelikweli. wewe je mtazamo wako?
Uko sahihi; MKM anatisha hata kw kauli zake tu; anaogofya sana! Kitu amemfanyia yule daktari kule kusini!!! Wale wa kanda ya ziwa anakoelekea kuanzia kesho wakae chonjo maana inaelekea kwa huyu PM upele umepata mkunaji; hataree!
 
Kuna majipu sugu sijui ni never kuja kutumbuliwa
1 IPTL hili jipu kimya akati ni la deal kubwa tunapigwa kila Mwezi sijui bil ngapi afu serikal kimya? Serikali gani hio inaogopa kuzungumza na wananchi wake kuhusu yanaondelea matokeo yake jamii tunakuwa hatuwaelewi (ccm). Hamna nia kupinga ufisad nyie
2 MABADILIKO MAKUBWA KWENYE VYOMBO NA IDARA ZA USALAMA NCHINI NA HUKO MADEAL HARAMU NA YA NYARA WANANCHI KIUKWELI HATUNA IMANI KABISA NA JESHI LETU. TUNAWAPENDA WANAUSALAMA WETU SERIKALI IWAPE MISHAHARA MIZURI NA WENYEWE WAACHE TAMAA
YAANI KUNA MAJIPU ME NASHANGAA YAMEWASHINDA NINI?
KILA SIKU WATU WANALALAMIKA MAJIPU YA WAZI KM YA NGORONGORO NA TANAPA KWA UJUMLA WAIZI WAKUBWA IDARA KARIBU ZOTE NA BORA WAMESIMAMISHWA SAFAR ZA NJE MAANA HII WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUMEOZA LAKINI SERIKALI ZETU ZA KI AFRICA HAZIPO WAZI MBELE YA WATU WAKE, NI WAJIBU WA SERIKALI KUWA NA FURSA YA KUKANUSHA YALE YASIYO YA KWELI YANAYOENEA KILA SIKU HUKUMU TUNAPOISHI WAKAZI
KIMSINGI BADO NI MAMBO YA MAIGIZO, SINEMA, KUUZA SURA
WATUMBUAJI GANI HAO UNAWASIFIA AKATI WAMEKAA KIMYA ISHU YA ZANZIBAR NA YA UCHAGUZI WA MEYA
WATUMBUAJI GANI HAO WA MAJIPU WAMEKAA KIMYA KWENYE UPORAJI WA DEMOKRASIA
MAPENZI TU KWA LICHAMA LAO
MTAFUKUZA WATUMISHI WOTE NA WANASIASA MAFISADI MLIOKUWA NAO AWAMU ILIYOPITA? NA SASA NDANI YA BARAZA? MUHONGO KAMA NI UONGO JITOKEZENI MPINGE ILI TUJUE MTUMBUAJI MAJIPU HAONEI? WANASIASA NA BADO MAJIZI
 
Kassim Majaliwa anapoongea huwa hana masihara, ni mcheshi anapokuwa kwenye maongezi ya kirafiki lakini jinsi anavyombadilikia mtu, jamaa ni hatari!. Haogopi chochote anapokuwa kazini, JPM atakuwa alitumia muda mrefu sana kumsoma huyo mzaliwa wa Ruangwa, kila mtu alijua kuwa January Makamba ndiye atakuwa waziri mkuu, kumbe mzaliwa wa chato alikuwa na jambo lake moyoni.
 
Kuna majipu sugu sijui ni never kuja kutumbuliwa
1 IPTL hili jipu kimya akati ni la deal kubwa tunapigwa kila Mwezi sijui bil ngapi afu serikal kimya? Serikali gani hio inaogopa kuzungumza na wananchi wake kuhusu yanaondelea matokeo

yake jamii tunakuwa hatuwaelewi (ccm). Hamna nia kupinga ufisad nyie
2 MABADILIKO MAKUBWA KWENYE VYOMBO NA IDARA ZA USALAMA NCHINI NA HUKO MADEAL HARAMU NA YA NYARA WANANCHI KIUKWELI HATUNA IMANI KABISA NA JESHI LETU. TUNAWAPENDA WANAUSALAMA WETU SERIKALI IWAPE MISHAHARA MIZURI NA WENYEWE WAACHE TAMAA
YAANI KUNA MAJIPU ME NASHANGAA YAMEWASHINDA NINI?
KILA SIKU WATU WANALALAMIKA MAJIPU YA WAZI KM YA NGORONGORO NA TANAPA KWA UJUMLA WAIZI WAKUBWA IDARA KARIBU ZOTE NA BORA WAMESIMAMISHWA SAFAR ZA NJE MAANA HII WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUMEOZA LAKINI SERIKALI ZETU ZA KI AFRICA HAZIPO WAZI MBELE YA WATU WAKE, NI WAJIBU WA SERIKALI KUWA NA FURSA YA KUKANUSHA YALE YASIYO YA KWELI YANAYOENEA KILA SIKU HUKUMU TUNAPOISHILowassa angeweza? ange
KIMSINGI BADO NI MAMBO YA MAIGIZO, SINEMA, KUUZA SURA
WATUMBUAJI GANI HAO UNAWASIFIA AKATI WAMEKAA KIMYA ISHU YA ZANZIBAR NA YA UCHAGUZI WA MEYA
WATUMBUAJI GANI HAO WA MAJIPU WAMEKAA KIMYA KWENYE UPORAJI WA DEMOKRASIA
MAPENZI TU KWA LICHAMA LAO
MTAFUKUZA WATUMISHI WOTE NA WANASIASA MAFISADI MLIOKUWA NAO AWAMU ILIYOPITA? NA SASA NDANI YA BARAZA? MUHONGO KAMA NI UONGO JITOKEZENI MPINGE ILI TUJUE MTUMBUAJI MAJIPU HAONEI? WANASIASA NA BADO MAJIZI
umeandika uzi mrefu sana lakini mimi kwa kifupi nakwambia kuwa mapovu yako peleka huko. Tuwe wakweli Lowassa angeweza kuyatumbua? Unafiki mkubwa
 
jonh pombe magufuli vs majaliwa kassim majaliwa je ni yupi mahiri katika tasnia ya utumbuaji majipu? mimi binafsi kama mtumishi wa umma mwenye jipu ama sina jipu ni bora kutembelewa na magufuli kuliko huyu majaliwa. make nimeona majaliwa anatumbua kwelikweli. wewe je mtazamo wako?
Majaliwa ni daktari bingwa wa utumbuaji ni bora akaendelea hvy hvy
 
Kassim Majaliwa anapoongea huwa hana masihara, ni mcheshi anapokuwa kwenye maongezi ya kirafiki lakini jinsi anavyombadilikia mtu, jamaa ni hatari!. Haogopi chochote anapokuwa kazini, JPM atakuwa alitumia muda mrefu sana kumsoma huyo mzaliwa wa Ruangwa, kila mtu alijua kuwa January Makamba ndiye atakuwa waziri mkuu, kumbe mzaliwa wa chato alikuwa na jambo lake moyoni.

Sio kila Mtu alijua January sema wasomaji wa Mawio, Wenye uelewa walijua mapema sana ni Majaliwa hata ufunguzi wa Kampeni Mkapa alichaguliwa kwenda Ruangwa kwa Majaliwa.
 
mimi nitamwona bora kwa atakayetumbua MAJIPU sugu ya umeya DAR,mshindi halali atangazwe ZANz,swala la IPTL...hivi vingine naona ni vipele
 
Sio kila Mtu alijua January sema wasomaji wa Mawio, Wenye uelewa walijua mapema sana ni Majaliwa hata ufunguzi wa Kampeni Mkapa alichaguliwa kwenda Ruangwa kwa Majaliwa.

Wee ni mburula kweliiiii!!!!!!!!!!!!!!,..... Wasomaji wa Mawio wanajitambua kwani mlikuwa mnapigiana kampeni mara Januari mara Lukuvi lkn sisi tulikuwa tukisubili mfanye yenu kwani hambadiliki ila swala la muda tu. Time will tell.
 
Wote majipu,wanahitaji kutumbuliwa,ila nani wa kuwatumbua?
 
Hawa jamaa mungu kawapa vipaji vya kutoogapa kufa,kwani hapa Duniani binadamu wengi wanachoogopa ni kifo,sasa hawa wanajua kuwa kifo kipo na kimepangwa na Mungu,kwa hiyo kwao hawana mashaka nacho,ndio maana wanafanya kazi kwa kujiamini sana,mm binafsi wanaombea maisha marefu na yenye afya ili waendelee kutumbua majipu naamini yatapungua kama sio kuisha.Pia kwa mawazo yangu ningependa Waziri mkuu agombee uraisi baada ya kumaliza Magufuri,naamini huyu jamaa ni Magufuri namba2Ee Allah walinde watu hawa ili tufike safari yetu salama naamini kama c mm basi mwanangu ataishi maisha ya kati hapo baadae.
 
hahahaha ila majaliwa ni noma, yeye haitaji hata kuombewa yeye ni kutumbua tu liwalo na liwe, lakin magufuli akitumbua kidogo tu utasikia 'jamani niombeeni' hiyo ni ishara ya kahofu
 
Back
Top Bottom