souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,094
Kila mmoja ana uwezo wake na mapungufu yake
Alisema akiwa Rais atatekeleza.Sasa unataka useme bado hajawa Rais?
Aliyaahidi kuyatimiza ndani ya miezi 6-7?
Unaweza ukampatia uringo wako.Mpe uringo uone
Tishio na kutokuwa tishio inategemea na utendaji wa Rais kwa kutimiza Ahadi alizotoahawa ndio viongozi wakuu wa kisiasa nchini.
hivi sasa ni miezi saba tangu magufuli achukue kiti, lakini baada ya miezi saba Lowasa kajitokeza, wengi waliamini labda alikuwa ameisha kabisa.
sasa kwa utendaji wa magufuli kwa miezi saba unazani Lowasa ni tishio zaidi ya 2015?
je unaonaje?
Lowasa anamtisha nani? Wanaomtegemea wasubiri mahakama ya mafisadi ianze kazi.
Simpendi/ simkubali Lowassa, lakini Magufuli nae ni bure kabisa
Je, atarudia "matapishiyake" kuwa tusipoitoa CCM 2015 basi haitatoka kamwe??2020 mamvi atatisha sana