Magufuli utatoa wapi pesa kutekeleza hii miradi?

Magufuli utatoa wapi pesa kutekeleza hii miradi?

Hiyo miradi hata nusu haitotimia kama ni kwa mwendo huu wa makusanyo njia mbadala hapo ni kuliachia deni liongezeke kwa speed ya supersonic, maana hapo kila mradi ni above trillion TZS wakati recurring expenditures tu hatuwezi kukidhi kwa pesa ya ndani.

Uchumi sio lelemama unahitaji utashi wa hesabu na ujasiri wa kujua mbele, dira ni muhimu, Kikwete na mabaya yake yote he was visionary ametengeneza miundo mbinu kila kona ila ni kwasababu alikuwa na mahusiano mazuri na wahisani na biashara ilikuwa ina flow.

kwa hii miradi sio njia tofauti zaidi ya kuliachia deni la nchi liongezeke ikipibi hata hii miradi iwe inachajiwa after completion ili kusaidia kurudisha deni
 
Hebu anaglieni miradi mikubwa inayoanza na itakayoanza mda si mrefu..je hizi peas Magu anatoa wapi??
1.Strogersgorge:2100MW rufiji..
see Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge — Ministry of Energy and Minerals
2. Kupanua Barabara ya Mwenge---Moroko to be 8 lane na fly over ya Moroko na Mwenge
3.Ujenzi wa barabara kutoka Kimara had Chalinxe--8 lane super highway
4.Kuchimba maji kigambon..Kuzalisha lita 50 million per day.
5.Kuleta maji za ziwa Victoria Tabora, Nzega, Igunga
6.Kuunganisha Barabara ya Nyakanazi to Kigoma kwa Rami.
7.Ujenzi wa majengo ya Wizara na Taasis zake Dodoma
8.Kupanua Bandari za Dar na Mtwara na Tanga
9.Kupanua Viwanja vya ndege
10.Kununua ndege zote
11.Kuongeza Mwendo kasi Moroko--Tegeta, Kariakoo Mbagala, Kariakoo tabata
13.Standard Gaurge..14 tirrions costs

Hizi pesa Magu unazitoa wapi wakati makusanyo yanarange tillion 1 kwa mwez, hapo utoe mishahara ya wafanyakazi (550 Billion),Madeni 400 Billion hivyo unabakiza 50 Billion kwa mwezi kwa ajili ya OCs na Miradi ya Maendeleo. Swahi je Magu anatoa wapi hizi pesa za miradi mikubwa hivi wakati mapato nikidogo??? Au anaprint hera. Nasema hvyo kwani serikali haijapata mikopo ya maana tangia iingie madarakani.
NA BADO NAPENDEKEZA KWA MH,RAIS JOHN POMBE MAGUFULI MIKUTANO YA WANASIASA NCHINI ENDELEA KABISA KUPIGA MARUFUKU NA WAKIKAIDI HAO WAWEKWE KIZUIZINI(kifungo kisichokua na Tamati wala hukumu)
HAWA NDIO NI VYANZO VYA KUPOTEZA AMANI NCHINI
MFANO HAI KENYA SASA WANAANZA KUCHINJANA. MAMBO YA KATIBA MPYA HAYO
 
Makusanyo yamegomea 700bil mkuu usijidanganye aseee ngoma ngumu sanaa....inatosha salary na elimu bure hata madeni hawezi kulipa kwa sasa......amevuruga wawekezaji na wafanyabiashara wame slow down.......hakuna kitu!!!!
first thing first sasa hivi makusanyo yako kwenye 1.3tr na jamaa anataka tufunge huu mwaka na 1.4tr so tunakuwa na hela za miradi kama bilioni 450 kila mwezi,kwa haraka haraka anaweza kukamilisha miradi karibia 10 kwa makusanyo ya miezi 10 pekee,anaposema "Makame tangaza tenda ndani ya wiki tatu mimi najua hela ipo" ni kweli jamaa hatanii
 
Mkuu nakuelewa sana., naamini humu ndani wengi wanakuwaga na nia ya kueleweshana ila kuna wachangiaji wengi ambao tayari wameshajikita katika ushabiki wa kisiasa ambao kuna level mtu akishafika hata thread haisomi hadi mwisho ila akishaona mleta mada ni fulani anaanza kejeli moja kwa moja,namna hiyo hatufiki.

Umewahi kuwa na nia fulani nzuri tu,mfano kwenye dala dala jirani yako umemuona mtu ana mzigo au begi kasimama na abiria waliosimama ni wengi,ila wewe ukiwa kwenye siti ukamwambia akupe begi umshikie ili umpunguzie mzigo,akakupatia na kukushukuru kwa shingo upande huku kila sekunde kumi anakugeukia geukia kama vile usifungue begi kuiba chochote,huwa ukishtuikia hiyo hali unajisikiaje?,.. waweza kutamani umrudishie begi na umtukane,ila kibinadamu unamuweka kwenye nafasi yake,pengine kuna ka laptop kake au ka tecno kake kapya,unakuwa mpole tu.

Sasa ndo kitu kinachosababisha tunaoamini JPM ana nia nzuri,toka akiwa waziri wa ujenzi akipewa bilioni kibao za barabara kilometa nyingi lakini mpaka leo watu wame google akaunti zenye pesa zake wamekosa,huwa tunapatwa na hasira tukiona mtu analazimisha kumtukana na kumkejeli bila ushahidi wakati mwingine hadharani.Amini kitu kimoja,kero za wananchi walio wengi hasa hasa wa chini na wa kati,sio kero ambazo wapinzani wanadhani wanawapigania wananchi wao hasa wa majimboni.

Nipe mfano mmoja wa kero za wananchi wa Singida Mashariki alizokuwa anazipigia kelele Lissu siku za karibuni?

Mkuu kwa kiwango kikubwa niseme nimeridhishwa na majibu yako hapo juu kwani umeweza kuyatetea kiungwana. Hilo la kusema watu wanamsema Magufuli kwamba alipiga bao hela za miradi, inawezekana hajadokoa kama wengine lakini sio msafi kwa kiwango kikubwa. Itoshe kusema tabia yake sio nzuri ila inaridhisha, sasa katika mazingira ya siasa tena za ushindani wakati mwingine za majitaka ni lazima akutane na kashkash za kisiasa. Hilo halikwepeki maana ndio sehemu ya siasa zenyewe.

Tuje kwa Tindu Lissu, huwa sielewi watu wanamaanisha nini mtu anaposema mbunge hajaleta maendeleo wala kuwakilisha kero za wananchi wake. Kimsingi kero zilizo kwa Lissu ndio zilizo kwa Mwigulu, Nyalandu, Kingu nk. Kama kwenye majimbo ya hao niliowataja kero zinafanana na kwa Lissu huoni itakuwa ni utani kusema hajawapigania wananchi wake? Hili la kusema Lisu hapiganii kero za wananchi wake bungeni huwa linatumika kama propaganda ya kumnyamazisha na kile anachokisema. Ingekuwa mbunge anashika fungu la maendeleo ya jimbo lake hapo tungeongea la maana. Kwa kukusaidia kazi za mbunge ni
  1. Kutunga sheria bungeni. Japo mimi huwa nasema ni kupitisha sheria kwani wanaotunga ni wengine kabisa
  2. Kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake bungeni.
  3. Kuisimamia na kuishauri serekali.
Kazi hizo hapo juu Lissu anazifanya wangalau kwa 70%+. Labda kama uwe na hoja nyingine.
 
Serikali ina pesa za kutosha? Wangeenda kukopa dola 500m kwa riba ya dola 400m? Huu mkopo unaonyesha serikali haina kitu na kuamua kupata mkopo wa haraka wenyw riba ya zaidi ya 70%.

Serikali ingekua na pesa ingepata mda wakujadili huo mkopo na kupunguziwa riba.
Mkuu sio kila mnacholetewa mnameza tu,hata bakhresa pamoja na miradi aliyo nayo anakopa ela benki mara nyingi,USA mwaka 2014 walikopa dola trillion 3 toka exim bank-China LTD,sio kwamba hawana ela ni mpangilio,nikupe mfano mmoja,.mwezi wa saba serikali ilipotangaza kusitisha road license TRA pale pale ilipoteza bilion 300 ilizokuwa inategemea kukusanya wiki chache baada ya hapo.Nakuhakikishia watu hawana ela ila serikali ina pesa za kutosha ,2019 mwishoni ndo utaelewa ninachomaanisha,tuombe uzima.
 
maelezo page hata 10.[/QUOTE]
nakupongeza kwa kujibu kwa hojaa
 
Uchumi wa gesi unatosha kugharimia kila kitu, ila miaka 10 haitoshi kukamilisha hii miradi yote, ndio maana for continuity, tunapendekeza Magufuli andelee kwa miaka 20, tukiona bado anahitajika, then tumpatie indefinite extension kama Kagame, Museveni na Mugabe!.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na Magufuli akigoma kuendelea baada ya 2025 then,
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Paskali
Kumbe kigezo cha kushindwa ndio kigezo kikuu cha kutengua katiba kwani mwendokasi si alianzisha kikwete yeye kaja kuzindua? Kwanini yeye asimwachie mwenzake au yeye ndo mkandarasi aliyepewa tenda?
 
atakopa kimyakimya..ngoja atoke madarakani uulizie deni la taifa.
 
Uchumi wa gesi unatosha kugharimia kila kitu, ila miaka 10 haitoshi kukamilisha hii miradi yote, ndio maana for continuity, tunapendekeza Magufuli andelee kwa miaka 20, tukiona bado anahitajika, then tumpatie indefinite extension kama Kagame, Museveni na Mugabe!.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na Magufuli akigoma kuendelea baada ya 2025 then,
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Paskali

Ningekuwa ninauwezo ningekuuliza kama ni kweli unaamini haya uliyoyaandika au umetoa kejeli. Ila sina huo uwezo.
 
Hebu anaglieni miradi mikubwa inayoanza na itakayoanza mda si mrefu..je hizi peas Magu anatoa wapi??
1.Strogersgorge:2100MW rufiji..
see Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge — Ministry of Energy and Minerals
2. Kupanua Barabara ya Mwenge---Moroko to be 8 lane na fly over ya Moroko na Mwenge
3.Ujenzi wa barabara kutoka Kimara had Chalinxe--8 lane super highway
4.Kuchimba maji kigambon..Kuzalisha lita 50 million per day.
5.Kuleta maji za ziwa Victoria Tabora, Nzega, Igunga
6.Kuunganisha Barabara ya Nyakanazi to Kigoma kwa Rami.
7.Ujenzi wa majengo ya Wizara na Taasis zake Dodoma
8.Kupanua Bandari za Dar na Mtwara na Tanga
9.Kupanua Viwanja vya ndege
10.Kununua ndege zote
11.Kuongeza Mwendo kasi Moroko--Tegeta, Kariakoo Mbagala, Kariakoo tabata
13.Standard Gaurge..14 tirrions costs

Hizi pesa Magu unazitoa wapi wakati makusanyo yanarange tillion 1 kwa mwez, hapo utoe mishahara ya wafanyakazi (550 Billion),Madeni 400 Billion hivyo unabakiza 50 Billion kwa mwezi kwa ajili ya OCs na Miradi ya Maendeleo. Swahi je Magu anatoa wapi hizi pesa za miradi mikubwa hivi wakati mapato nikidogo??? Au anaprint hera. Nasema hvyo kwani serikali haijapata mikopo ya maana tangia iingie madarakani.

Pesa ipo. Hujasikia ule mkopo kabambe kutoka Credit Suisse wa dola 500,000,000? Si haba, hata kama tutalipa baadaye dola 900,000,000.

Magu oyeee!
 
Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Badala ya kujenga mifumo na Taasisi bora na imara, ikiwemo katiba bora, sisi tuko busy kujenga pesonalities za viongozi! And that is the problem of we Africans! Huwa hatuwazi what will happen after that leader is gone!

Yani badala ya kuwaza Tanzania itakuwaje some 50-100 years to come, sisi tunawaza kubadilisha vifungu vya katiba ili Rais ageuke mfalme atawale "milele"! Shame!

Look at Chad, look at Uganda, Zimbabwe, Cameroon and recently, Gambia, Angola and Gabon. Viongozi hawatoki mpaka either wafariki madarakani au wazeeke to the extent hawajitambui tena. Still wananchi wake bado ni maskini tu wa kutupwa.

God rescue Afrika.
Afu unakuta mpuuzi anayeleta hoja za kubadilisha vifungu vya katiba ni baba na family yake inamtegemea sijui watu wengine wanaongozaje family zao..

Waafrica wengi tatizo letu tunapenda sana ubinafsi na ndiyo maana nchi zetu nyingi zinashindwa kupiga hatua
 
Uchumi wa gesi unatosha kugharimia kila kitu, ila miaka 10 haitoshi kukamilisha hii miradi yote, ndio maana for continuity, tunapendekeza Magufuli andelee kwa miaka 20, tukiona bado anahitajika, then tumpatie indefinite extension kama Kagame, Museveni na Mugabe!.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na Magufuli akigoma kuendelea baada ya 2025 then,
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Paskali
Una Laana si bure ...Ni bora uishi na mizoga kuliko binaadamu Mwenye akili finyu kama wewe
 
Uchumi wa gesi unatosha kugharimia kila kitu, ila miaka 10 haitoshi kukamilisha hii miradi yote, ndio maana for continuity, tunapendekeza Magufuli andelee kwa miaka 20, tukiona bado anahitajika, then tumpatie indefinite extension kama Kagame, Museveni na Mugabe!.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na Magufuli akigoma kuendelea baada ya 2025 then,
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Paskali

Kwa nini tusitengeneze Katiba nzuri ambayo itaelekeza 'continuity' katika Maendeleo? Kwa nini tusiwe na 'dira' yenye kueleweka ya Maendeleo katika Katiba yetu?
Kuna vitu vingine vya msingi ambavyo havihitaji Mtaalamu wa Unajimu kufanya. Hata kutengeneza kijitabu cha 'Vision 2025' chenye maelezo ya kutosha ni tabu? Wenzetu wametengeneza tovuti kabisa na kila kitu kiko wazi..
Tuiangalie 'Vision 2030'..
Tunahitaji kuwa more detailed na 'realistic..' na pia ushirikishwaji ni muhimu kuliko 'imposition'..
Mfano daraja la Kigamboni lilikuwa muafaka kwa sasa? n.k.

THE TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025

About Vision 2030
 
Back
Top Bottom