Magufuli usikate tamaa, tumeibiwa mno, na kuna waliofaidika na wizi huo!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Enter Magufuli, na sasa uozo wa mikataba iliyoingiwa na viongozi waliomtangulia inaanza kuonekana wazi jinsi watu walivyoridhia nchi kuibiwa mchana kweupe.

Uzuri wa Magufuli anayafanya yote mchana kweupe, tena mbele ya umma ili kila mmoja ajionee uozo aliourithi.

Mimi siwalaumu moja kwa moja marais waliopita lakini najiuliza swali sipati jibu, Ni kwa nini walibariki usiri wa mikataba kwa nchi kuibiwa kiwazi wazi ?

Wananchi tuliowengi tulikuwa tunajiuliza, wakati mwingine hata kupitia wawakilishi wetu bungeni, usiri huu wa mikataba ni kwa faida ya nchi au watu fulani tu?

Tutashitakiwa kwa kuvunja mikataba hii ya wizi, lakini hata Mwalimu alisema , heri madini yetu yabaki ardhini hadi tutakapojua namna ya kufaidika nayo kama nchi.

Naona Magufuli analitekeleza hilo kwa umakini mkubwa.
Tumeibiwa vya kutosha, sasa tuseme basi.

Wananchi tulio wengi twasema Magufuli asikate tamaa, wizi huu ukomeshwe.
 
Enter Magufuli na sasa uozo wa mikataba iliyoingiwa na viongozi waliomtangulia inaanza kuonekana wazi jinsi watu walivyoridhia nchi kuibiwa mchana kweupe.

Uzuri wa Magufuli anayafanya yote mchana kweupe, tena mbel ya umma li kila mmoja ajionee uozo aliourithi.

Mimi siwalaumu moja kwa moja marais waliopita lakini najiuliza swali sipati jibu, Ni kwa nini walibariki usiri wa mikataba kwa nchi kuibiwa kiwazi wazi ?

Wananchi tuliowengi tulikuwa tunajiuliza, wakati mwingine hata kupitia wawakilishi wetu bungeni, usiri huu wa mikataba ni kwa faida ya nchi au watu fulani tu?

Tutashitakiwa kwa kuvunja mikataba hii ya wizi, lakini hata Mwalimu alisema , heri madini yetu yabaki ardhini hadi tutakapojua namna ya kufaidika nayo ama nchi.

Naona Magufuli analitekeleza hilo kwa uakini mkubwa.
Tumeibiwa vya kutosha, sasa tuseme basi.

Wananchi tulio wengi twasema Magufuli asikate tamaa, wizi huu ukomeshwe.
Wezi wanajulikana wana Accts nje ya nchi Uswiss na ofshore Accts wengi tu hata Chenge ni mmojawapo!!
Walisaini mikataba hadi London Hotelini.
Taarifa zipo hadi Bungeni!!
 
Enter Magufuli na sasa uozo wa mikataba iliyoingiwa na viongozi waliomtangulia inaanza kuonekana wazi jinsi watu walivyoridhia nchi kuibiwa mchana kweupe.

Uzuri wa Magufuli anayafanya yote mchana kweupe, tena mbel ya umma li kila mmoja ajionee uozo aliourithi.

Mimi siwalaumu moja kwa moja marais waliopita lakini najiuliza swali sipati jibu, Ni kwa nini walibariki usiri wa mikataba kwa nchi kuibiwa kiwazi wazi ?

Wananchi tuliowengi tulikuwa tunajiuliza, wakati mwingine hata kupitia wawakilishi wetu bungeni, usiri huu wa mikataba ni kwa faida ya nchi au watu fulani tu?

Tutashitakiwa kwa kuvunja mikataba hii ya wizi, lakini hata Mwalimu alisema , heri madini yetu yabaki ardhini hadi tutakapojua namna ya kufaidika nayo ama nchi.

Naona Magufuli analitekeleza hilo kwa uakini mkubwa.
Tumeibiwa vya kutosha, sasa tuseme basi.

Wananchi tulio wengi twasema Magufuli asikate tamaa, wizi huu ukomeshwe.
Wengine walijimilikisha migodi. Wapo pia walikuwa washauri wa wanaotuibia huku wakipokea "vijisenti".

Wengine waliuza nyumba na kugeuza "ubadhirifu" kuwa mizinga ya jeshi.
Link Dkt. Kilangi na mchanga wa madini

Kuna msemo wa " asiye na dhambi, arushe jiwe la kwanza"

John 8:7 When they kept on questioning him, he straightened up and said to them, "Let any one of you who is without sin be the first to throw a stone at her."

Nani atamfunga paka kengele?

Ze bull dog has been cut loose!

Hii vita imeshamshinda kwa sababu alishasema atawalinda "wahusika", wahusika wakuu wapige usingizi kwa raha, wasiwe na wasiwasi wowote.

Hii kitu( vita) ni "samaki wa Magufuli" in making, phase 2.
 
Madini yameshaisha ndo tunakumbuka so sad. Wabunge wote wa ccm bila kuficha nanyi ni chanzo cha yote kwa kupigia kura mauchafu haya. Hakuna mnatuboa sana nyie ccm. Warioba kaja na katiba nzuri mkaitupilia mbali mkidhani manawakomesha wapinzani kumbe ni Tanzania. Na nyie uvccm muache kuunga unga mambo ya kifrauni yanayofanywa na viongozi wenu. Mungekuwa na uchungu kama achungu wa raslimali kama walivyokuwa wapinzani tangu mwanzo hali isingekuwa hivi
 
Nasikia kaya imekuwa kama jumba la 'Big brother" vile. Kila siku kuna mtu anatoka.
 
Enter Magufuli na sasa uozo wa mikataba iliyoingiwa na viongozi waliomtangulia inaanza kuonekana wazi jinsi watu walivyoridhia nchi kuibiwa mchana kweupe.

Uzuri wa Magufuli anayafanya yote mchana kweupe, tena mbel ya umma li kila mmoja ajionee uozo aliourithi.

Mimi siwalaumu moja kwa moja marais waliopita lakini najiuliza swali sipati jibu, Ni kwa nini walibariki usiri wa mikataba kwa nchi kuibiwa kiwazi wazi ?

Wananchi tuliowengi tulikuwa tunajiuliza, wakati mwingine hata kupitia wawakilishi wetu bungeni, usiri huu wa mikataba ni kwa faida ya nchi au watu fulani tu?

Tutashitakiwa kwa kuvunja mikataba hii ya wizi, lakini hata Mwalimu alisema , heri madini yetu yabaki ardhini hadi tutakapojua namna ya kufaidika nayo ama nchi.

Naona Magufuli analitekeleza hilo kwa uakini mkubwa.
Tumeibiwa vya kutosha, sasa tuseme basi.

Wananchi tulio wengi twasema Magufuli asikate tamaa, wizi huu ukomeshwe.
Mimi ningepata wasaa au nafasi ya kumuuliza Mheshimiwa Rais maswali ningemuuliza haya matatu. Je, nilazima mwenye nia na moyo wa kuipigania Tanzania awe na chama!?. Pili, Je mheshimiwa Rais unaamini kwa ukubwa wa nchi yetu kuna vipawa na uwezo wa watanzania wengi tu tena mno wenye uwezo wa kubuni uchumi wetu kwa staili yake na jinsi ya kuuthibiti kama sio kuufanya imara na mfano naambatanisha jiana la Muamar Gadaf kama role mode wangu!!?? swali la mwisho na la tatu ni hili, je nikwanini WANASIASA WASIWE WANAFANYIWA MAPITIO YA ELIMU ZAO NA NYETI, PIA KUTUNGWE SHERIA KALI MNO ZA KUWADHIBITI NA KIUWAJIBIKAJI ILI KUEPUKA MIGONGANO YA KIMASLAHI NA UFINYU WA TAALUMA NA NDIPO WAPEWE DHAMANA YA VYEO VYA UWAZIRI!!?
 
Enter Magufuli na sasa uozo wa mikataba iliyoingiwa na viongozi waliomtangulia inaanza kuonekana wazi jinsi watu walivyoridhia nchi kuibiwa mchana kweupe.

Uzuri wa Magufuli anayafanya yote mchana kweupe, tena mbel ya umma li kila mmoja ajionee uozo aliourithi.

Mimi siwalaumu moja kwa moja marais waliopita lakini najiuliza swali sipati jibu, Ni kwa nini walibariki usiri wa mikataba kwa nchi kuibiwa kiwazi wazi ?

Wananchi tuliowengi tulikuwa tunajiuliza, wakati mwingine hata kupitia wawakilishi wetu bungeni, usiri huu wa mikataba ni kwa faida ya nchi au watu fulani tu?

Tutashitakiwa kwa kuvunja mikataba hii ya wizi, lakini hata Mwalimu alisema , heri madini yetu yabaki ardhini hadi tutakapojua namna ya kufaidika nayo ama nchi.

Naona Magufuli analitekeleza hilo kwa uakini mkubwa.
Tumeibiwa vya kutosha, sasa tuseme basi.

Wananchi tulio wengi twasema Magufuli asikate tamaa, wizi huu ukomeshwe.
yeye mwenyewe ni mwizi
 
Wezi wanajulikana wana Accts nje ya nchi Uswiss na ofshore Accts wengi tu hata Chenge ni mmojawapo!!
Walisaini mikataba hadi London Hotelini.
Taarifa zipo hadi Bungeni!!
Watu walikuwa wanadiriki kusema wanavijisenti huko nje!
Impunity of the highest order!
 
Madini yameshaisha ndo tunakumbuka so sad. Wabunge wote wa ccm bila kuficha nanyi ni chanzo cha yote kwa kupigia kura mauchafu haya. Hakuna mnatuboa sana nyie ccm. Warioba kaja na katiba nzuri mkaitupilia mbali mkidhani manawakomesha wapinzani kumbe ni Tanzania. Na nyie uvccm muache kuunga unga mambo ya kifrauni yanayofanywa na viongozi wenu. Mungekuwa na uchungu kama achungu wa raslimali kama walivyokuwa wapinzani tangu mwanzo hali isingekuwa hivi
Hakika umeongea point tupu
 
Watu walikuwa wanadiriki kusema wanavijisenti huko nje!
Impunity of the highest order!


Mkuu, thibitisha kwanza huo unaouita wizi kabla hujamwita mtu mwizi. Pia jaribu kushusha jazba kidogo, hakuna impunity yeyote kusema unavijisenti huko nje. Ni tafsiri tu. Panua ufahamu wako wa lugha kidogo.

Naona kuna watu hapa mnaichukulia report ya tume isiyo huru kama ndo hukumu dhidi ya ACACIA. Halafu mlivyouvaa mkenge, you are attacking the wrong people. Sasa unasema huwezi kumlaumu kikwete na marais wenzake waliopita moja kwa moja halafu unawalaumu ACACIA moja kwa moja. Nani aliyemleta ACACIA. Kwani ni ACACIA ndo aliyemwambia Kikwete awe anaficha mikataba ya madini kiasi hata wabunge wake wasiione! Kweli sasahivi nchi hii tunakabiliwa na janga kubwa sana la ujinga kuliko hata Nyerere alivyotuacha.
 
Back
Top Bottom