Magufuli, umeshindwa kuwa rafiki yangu, umeshindwa kuwa rafiki wa watanzania

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
Nimeshikilia mengi ndani ya moyo nikiogopa amri zako toka hapo juu ulipoketi zisinitenganishe na wanangu, kama ilivyokuwa kwa Ben, zisinitenganishe na familia yangu. Nitalia nikiwa nimekufa mama yangu atakapoanza kunitafuta mortuary!

Ukijiangalia kwenye kioo utagundua mshtuko uliowaletea watanzania.
Umefanya mahoka yanayosimamisha nywele kwenye kichwa cha kila mtanzania.

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.

Nilianza siasa nikiwa kidato cha pili, wewe ni mwanasiasa wa hovyo kati ya wote niliowaona.
Sasa nimepitisha 30 na utanipotezea miaka mitano zaidi!

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.
 
Nimeshikilia mengi ndani ya moyo nikiogopa amri zako toka hapo juu ulipoketi zisinitenganishe na wanangu, kama ilivyokuwa kwa Ben, zisinitenganishe na familia yangu.
Nitalia nikiwa nimekufa mama yangu atakapoanza kunitafuta mortuary!

Ukijiangalia kwenye kioo utagundua mshtuko uliowaletea watanzania.
Umefanya mahoka yanayosimamisha nywele kwenye kichwa cha kila mtanzania.

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.

Nilianza siasa nikiwa kidato cha pili, wewe ni mwanasiasa wa hovyo kati ya wote niliowaona.
Sasa nimepitisha 30 na utanipotezea miaka mitano zaidi!

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.


shairi zuri
 
Nimeshikilia mengi ndani ya moyo nikiogopa amri zako toka hapo juu ulipoketi zisinitenganishe na wanangu, kama ilivyokuwa kwa Ben, zisinitenganishe na familia yangu.
Nitalia nikiwa nimekufa mama yangu atakapoanza kunitafuta mortuary!

Ukijiangalia kwenye kioo utagundua mshtuko uliowaletea watanzania.
Umefanya mahoka yanayosimamisha nywele kwenye kichwa cha kila mtanzania.

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.

Nilianza siasa nikiwa kidato cha pili, wewe ni mwanasiasa wa hovyo kati ya wote niliowaona.
Sasa nimepitisha 30 na utanipotezea miaka mitano zaidi!

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.
Magufuli ni rafiki wa wenye majipu. Wenye majipu wanaurafiki na JMP kwa sababu anawatumbua majipu.

Hivi hamuelewi aliposema " Nili- beep urais"?
 
Tulimwamini sana, kawa adui mkuu wa nafsi zetu,
Tulimuona kama chanzo cha ajira, sasa kawa chanzo cha kupotea ajira,
Nilihisi atakuwa karibu na familia yangu, kawa karibu na familia za majeshi,

Sema najifunza mashahiri, ningekupa vidonge vyako vizuri.
 
Kuna video moja jana Geita wakati Lowasa alivyokuwa anaongea na wananchi wakamvamia kuna raia polisi waliwapiga na sijui kosa lao ni nini

Hawa jamaa kwa matendo yao wameniondolea utu ,yaani akifa mmoja nakula ndafu
Mungu unirehemu
Huo ukatili uliokuuma wewe ndio mkuu anaupenda.
Yani ndio roho yake inakuwa kwatu
 
Nimeshikilia mengi ndani ya moyo nikiogopa amri zako toka hapo juu ulipoketi zisinitenganishe na wanangu, kama ilivyokuwa kwa Ben, zisinitenganishe na familia yangu. Nitalia nikiwa nimekufa mama yangu atakapoanza kunitafuta mortuary!

Ukijiangalia kwenye kioo utagundua mshtuko uliowaletea watanzania.
Umefanya mahoka yanayosimamisha nywele kwenye kichwa cha kila mtanzania.

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.

Nilianza siasa nikiwa kidato cha pili, wewe ni mwanasiasa wa hovyo kati ya wote niliowaona.
Sasa nimepitisha 30 na utanipotezea miaka mitano zaidi!

Magufuli! tegemeo lililofifia, ndoto iliyokufa!
Imani ilitudanganya utakuwa suluhu ya shida zetu.
binadamu ana rafiki....?hahahhahaha acha utani mkuu.
rafiki yako maisha yako
 
Back
Top Bottom