Magufuli: Tutajenga flyover Salender Bridge


HAPA ANAONGEZEA shiidda tu sidhani kama ndio ametatua tatizo. iangalie hiyo picha yake vizuri tu afu piga picha tu hiyo daraja linapoanzia na linapoishia na pia piga picha msururu kutoka ALIHASAN MWINYI RD changanya na msururu unaotokea OCEAN ROAD yote hii ije ikutane ni hilo daraja jipya inamaana ameongezea kipande kingine cha msururu wa foleni ambazo ndio ziatkuja kukutana hapo kwenye makutano na njia ya zamani karibia kwenye mataa ya kuelekea kinondoni. je huoni kuwa hapa kaongeza msongamano mkubwa zaidi??
TUNAPATA HAYA KWA HISANI YA WAHISANI. maumivu yakizidi tutoroke hospitalini
 
Wakati tukiwa tunaongea na wadau mmojawetu akanitumoa picha hii kwamba linaweza kuwa hivi endapo likiwa kamili.
Nikawaza au ni.propaganda kuekwa 2015.
 

Attachments

  • 1416486976538.jpg
    2.5 KB · Views: 239

Na bado kuna daraja la kutoka Ocean Road kwenda Kigamboni, tuliwachagua wenyewe, hivyo tulinywe togwa hilo kwa uvumilivu.
 
Kuna mpango mwaka 3000 tujenge daraja kutoka dar hadi zanzibar na zanzibar hadi tanga.
 
hahahaaaa?kweli wajinga ndo wariwawo.unaaomba msaada halfu ukipewa unaludisha tena kwao.aibuu!!!
 
Naomba NYINYI WASHAURI WA MAGUFULI. HEBU MSHAURINI HIVII... ILI KUONDOA TATIZO LA MISONGAMANO YA FOLENI MIJINI. AFANYE MAAMUZI MAGUMU YA KUPASUA BARABARA MPYA KATIKA MAENEO YA MJI NA KATIKATI. SERIKALI IKUBALI KUINGIA GHARAMA KWA KUVUNJA NYUMBA ZA WANANCHI ILI KUTENGENEZA NJIA MPYA. MFANO MMOJA KUELEKEA MBAGALA NJIA NI MOJA TU IKITOKEA BALAA BASI WATU HAWAJI MJINI. NASHAURI KUANZIA KONGOWE AMA MBAGALA YENYEWE IPASULIWE NJIA KUELEKEA UKONGA KUPITIA TANDIKA N.K. HII NI MOJA TU YA USHAURI.
YOTE HAYA YANAWAJIA KWA HISANI YA WAHISANI.
 
Wanaohusika nina imani washaandaa UTARATIBU wa kupanua matumbo ili escrow ichukue nafasi yake...
 
Ni bora wakaweka flyover mataa ya mwenge,ubungo na tazara.Maeneo haya yana impact kubwa kuliko surrender.Kama kawa ile ni barabara ya wakubwa masaki,obey wanataka wawe kivyao.
 
kuna lingine wanataka kujenga dar hadi zenji
 
Mwala wameshindwa njia za SINZA nzuri tu kuboreshswatu wapite ukatengeneze daraja wajukuu siwatakwita mwizi jmn
 

Haina tija kabisa. Yaani badala ya kujenga fly overs pale junction ya UN/ OCEAN/ A.H MWINYI ROADS na kutanua barabara, pia kujenga nyingine pale Morroco na Mwenge unafikiria kujenga daraja la km7 kwa sifa tu ambazo ni baseless kwa mahitaji ya sasa. Daraja la salenda kamwe halisababish foleni. Foleni iko kwenye makutano ya barabara pale njia za Ocean, Umoja Mataifa na Muhimbil na ile ya A. H.Mwinyi. Na pia pale kona ya Kinondon na Pale Mbuyuni. Kamwe daraja halijawa tatizo la foleni pale Ubungo( Riverside na UDSM) halijawa tatizo pale Matumbi, halijawa tatizo pale Jangwani. Matatizo ya foleni kubwa ni kwenye makutano ya barabara kubwa hasa: Ubungo, Tazara, Moroco, Tabata, Mwenge, Kamata, VETA- Chang'ombe, Buguruni, Namanga, nk.

Sehemu kubwa ya maeneo ambayo barabara ziko mbili mbili ndani ya jiji la Dar na hamna makutano( ukiondoa pale Mbagala na Ukonga- Banana, asilimia kubwa hapo ni upuuz wa kupaki vibaya daladala), huwa foleni hamna kabisa.
 
Ni sawa, ila naona hata barabara juanzia moroko waongeze upana hadi hapo salenda, ila la muhimu ni fly over ya tazara na ubungo, wajenge hizo kwanza, sio salenda, mbona tunaishia kuonyeshwa mapicha tu, tuone na kazi.
Barabara ya morocco - mwenge imeshapanuliwa. Ujenzi fly-over ya Tazara umepamba moto, wa-Japan wako kazini pale. Ujenzi fly-over ya ubungo design zimeshakamilika, Mwenge fly over itafuata inshallah..
 
Pesa zipo tena cash.Wanaoleta fyokofyoko kuhusu madawa hospitalini ninawaona.Waache wajifanye wamejificha nyuma ya keyboard.
Hapakazitu.
 
Utafikiri wanakaribia kwenda mwezini. Is that the only problem that cause traffic in this area?


Nadhani wangeweka kipaumbele kwenye city exit roads, sijui kama wanajua kuwa kutoka Ubungo hadi Kibaha huchukua zaidi ya two hours nyakati za jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…