Magufuli, tamko lako litaokoa wanafunzi

perfect hunter

Senior Member
Jul 12, 2015
153
94
Naaam, ni miezi takribani minne sasa tangu hostel za chuo kikuu cha mlimani (udsm) zitegemewe kukamilika na kuanza kutumiwa na wanafunzi wa chuo hicho kwaajiri ya malazi.

Ila hali ni tofauti mpaka sasa ambapo wanafunzi bado wapo mitaani wakihangaika na makazi ijapokuwa waliahidiwa kuanza kuzitumia mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka 2017.

Nadhani tamko la Raisi Magufuli likitoka litafanya watendaji husika kushughulikia jambo hilo na kupunguza kero kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwarudishia imani ambayo imeanza kupotea.
Nawasilisha.
 
Naaam, ni miezi takribani minne sasa tangu hostel za chuo kikuu cha mlimani (udsm) zitegemewe kukamilika na kuanza kutumiwa na wanafunzi wa chuo hicho kwaajiri ya malazi.

Ila hali ni tofauti mpaka sasa ambapo wanafunzi bado wapo mitaani wakihangaika na makazi ijapokuwa waliahidiwa kuanza kuzitumia mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka 2017.

Nadhani tamko la Raisi Magufuli likitoka litafanya watendaji husika kushughulikia jambo hilo na kupunguza kero kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwarudishia imani ambayo imeanza kupotea.
Nawasilisha.
Mtasubiri sana, bado utaratibu unaandaliwa wa kuzuia watu wasipige dili
 
Subiri ufunguzi, wanamalizia kuweka fenicha. Kwani unataka mlale kwenye sakafu? serikali yetu pendwa inawajari wananchi wake ambao hawana uwezo kikweli kweli.
 
Back
Top Bottom