Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha kuwa Dk. Magufuli atakuwa Rais wa Tanzania. Pia ukiona kampeni ya CDM na Ukawa na team yao wanachanganyikiwa hata pale ukimwona mgombea wao anaweweseka na kusema maneno ya kutojiamini. Hizi ni dalili tosha mambo yao pamoja na jahazi lao yanaenda kombo.
Hapa CDM inatapatapa wameanza wote kuweweseka. Baba, Baba Magufuli "Hapa Kazi Tuu!"
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha kuwa Dk. Magufuli atakuwa Rais wa Tanzania. Pia ukiona kampeni ya CDM na Ukawa na team yao wanachanganyikiwa hata pale ukimwona mgombea wao anaweweseka na kusema maneno ya kutojiamini. Hizi ni dalili tosha mambo yao pamoja na jahazi lao yanaenda kombo.
Hapa CDM inatapatapa wameanza wote kuweweseka. Baba, Baba Magufuli "Hapa Kazi Tuu!"
Mungu akisema ndio hakuna wa kusema hapana. Mawazo ya Mungu siyo mawazo yetu. Kusudi ka Mungu halizuiliki kamwe. Rais wa awamu ya tano ataamulia baada October 25th, kwa sasa hakuna anayemfahamu
Hahahahaaaaa nimejikuta nacheka tu kwa huu ujinga ulioandika.Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha kuwa Dk. Magufuli atakuwa Rais wa Tanzania. Pia ukiona kampeni ya CDM na Ukawa na team yao wanachanganyikiwa hata pale ukimwona mgombea wao anaweweseka na kusema maneno ya kutojiamini. Hizi ni dalili tosha mambo yao pamoja na jahazi lao yanaenda kombo.
Hapa CDM inatapatapa wameanza wote kuweweseka. Baba, Baba Magufuli "Hapa Kazi Tuu!"
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha kuwa Dk. Magufuli atakuwa Rais wa Tanzania. Pia ukiona kampeni ya CDM na Ukawa na team yao wanachanganyikiwa hata pale ukimwona mgombea wao anaweweseka na kusema maneno ya kutojiamini. Hizi ni dalili tosha mambo yao pamoja na jahazi lao yanaenda kombo.
Hapa CDM inatapatapa wameanza wote kuweweseka. Baba, Baba Magufuli "Hapa Kazi Tuu!"
Hilo wazi. Hatutaki mtu anayeutaka urais. Sisi tutatafuta rais wetu anayetufaa. JPM ndio rais baada tu ya kusimamishwa na ccm wakati wa uteuzi.
Na Kwa Kuongezea Na Kuwatia NDIMU Zaidi Wapumbavu Na Malofa Wote Ni Kwamba Mpaka Jana Tumeshamaliza Kupanga Wakuu Wapya Wa Wilaya Na Ziara Ya Kwanza Ya Rais Magufuli Ni Mwezi December 2015 Nchini Urusi Kwa Mwaliko Wa Rais Vladmir Putin Huku Mwezi Wa February Kuna Uwezekano Mjumbe Maalum Kutoka Kwa Baba Paroko Papa Francis Akaja Kuleta Taarifa Za Ujio Wa Papa Francis Nchini Tanzania Huku Mwakani Mwezi August au September Tanzania Tukapata Ugeni Mwingine Wa Kiongozi Mkuu Wa KIMAMLAKA Ya Kiislamu Duniani Atokaye Nchini Iran. Wana UKAWA Msikate Tamaa Endeleeni Tu Kujazana Huko Ktk Mikutano Yenu Na Kudanganyana ILA Sisi CCM Tumeshamaliza Kazi Muda Mrefu Na Sasa Tupo Busy Na Kuanza Kuandaa Protocals Zote Za Rais Wetu MTEULE Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Ningekuwa Mimi Ndiyo UKAWA Ningeacha Tu KUPOTEZA Muda Na Kupiga Kampeni Ya Kitu Ambacho Hamna UHAKIKA Nacho au HAMTOKIPATA Hata MKIFANYEJE!
Hatufanyi ushabiki, muhongo ni kati ya wazalendo wa hali ya juu kwenye taifa hili, wafanyabiashara wenye uchu na gesi ndio waliohakikisha anatoka. kwa maslahi mapana ya taifa hili tunamuitaji muhongo nishati na madini