Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Hahaaaa!

CCM ilipomchagua makufuli iliona ahueni japo chaguo lao alikuwa Membe ukweli ulio wazi wananchi wameichoka CCM leo Magufuli anaonekana kichekesho kwa unyenyekevu wa push up anaoufanya jukwaani ata uwezo wa upishi anaotamba nao imekuwa kama kichekesho ukiongeza na ze comedy bas ni tosha kuwa wengi wanafata comedy kwenye mikutano na si sera.

CCM ilishindwa kwa kupuuza matakwa ya wananchi na hilo ndio linalowagharimu kwa sasa. Tumaini la wengi Lowassa.

Mwizi wewe na fisadi kubwa jinga. labda huyo lowasa ni tumaini lako wewe mwizi mwenzie. ila watanzania now washas'tuka coz huyo mwizi anataka kwenda ikulu kuiba zaidi na urais hawezi kuupata labda akagombee nafasi ya kufagia kanisani kwa Tb joshua freemason mwenzie. but hapa Tz it w'll never happen, ikulu sio pango la wezi km huyo mzee wa ma mvi
 
Ndani ya siku 15 zijazo Magufuli atatangzwa kuwa raisi JMT, hii ndoto imenitokea leo. Magufuli atashinda.
Ndoto zangu huwa ni kweli na halisi. Magufuli atashinda na natokeo yatatangazwa sa 10 alfajiri.
 
Ndani ya siku 15 zijazo Magufuli atatangzwa kuwa raisi JMT, hii ndoto imenitokea leo. Magufuli atashinda.
Ndoto zangu huwa ni kweli na halisi. Magufuli atashinda na natokeo yatatangazwa sa 10 alfajiri.

Hiyo ni dhahiri hata kama usingeota. Ila kwa vile umeshaota na ndoto zako huwa ni kweli basi unasaidia wenye mahaba kuanza kuyapunguza taratibu.
 
Ndani ya siku 15 zijazo Magufuli atatangzwa kuwa raisi JMT, hii ndoto imenitokea leo. Magufuli atashinda.
Ndoto zangu huwa ni kweli na halisi. Magufuli atashinda na natokeo yatatangazwa sa 10 alfajiri.

Bila shaka ulichafua boxer ndan ya hiyo ndoto!!!!!!!
Hongera
 
Mwenye imani na ushindi wa CCM hakika ana imani kubwa Sana! Naam aweza hata tembea kwenye maji ya Bahari!
 
hata kama tusipokubali ndugu zangu ni ukweli kuwa waliotoka ccm kipindi hiki wana lao moyoni japo wote wanajitetea kuwa hawakubaliani na maamuzi ya kamati kuu ya ccm kukata jina la lowassa dodoma. ukifuatilia kwa undani kihistoria utagundua kuwa waliohama baada ya lowassa kuhama ccm walikuwa ni wale wanaomuunga mkono na alishawaaahidi vyeo katika serikali kama angepata urais, na walikuwa kwenye mtandao wake kwa zaidi ya miaka mitano nyuma, lakini njia pekee ya kuufanya umma wa watanzania waamini ni kurudia kauli ileile kuwa hawakubaliani na kukatwa jina la mzee huyo, ukiangalia vizuri utaelewa maana yake ni nini.

ahueni imeanza kurejea ccm baada ya mtandao wa mzee lowasa ambao ungeendeleza madudu ndani ya ccm na serikali kuvunjika na wengi wao kumfuata mzee huyo. kwa msimamo wa magufuli masihara yatakoma ndani ya ccm . na ni wazi sasa kuwa ukawa wamepokea watu ambao waliharibu ccm na waliandaliwa kudumisha mtandao huo mbovu ndani ya ccm na wajiandae kuishi na watu hao, hongera zao ccm , pole kwa ukawa kwa kukumbatia bomu la mkono huku kiringi kikiwa kilishakatwa na mda wowote litawalipukia.
 
Nilikuwa chadema miaka tote yangu niaze kujitambua. Lakini kwa kitendo cha chama changu chadema kulipokea hili kundi kimewafanya ccm waponee shimo là sindano.

Haki ya Mungu nawaambia ccm mwaka huu mumeponea chupuchupu.
 
Bado siku kiduchu tutapata jibu. ..usiwetabiri wa mambo
 
Back
Top Bottom