Magufuli siyo dikteta, hajawahi kuwa dikteta na hana mpango wa kuwa dikteta

Poise,
Sijui kama.huyo ni dikteta ila akikubali hata kama.wanyonge uchwara mbuzi watamtaka abadili katiba toka miaka 5 hadi 7 au Rais wa milele basi maneno ya TL nitayaamini.

Yaani, ukiona tu mjadala umekubalika kupelekwa kujadiliwa bungeni upitishwe au usipitishwe basi nitajua ni dikteta.

Hadi sasa, nimemuweka kwenye " benefit of doubts "
 
Wanajf habari za frustrations za maisha?

Kuna habari zisizo za ukweli zinamchafua Rais wa Tanzania kuwa ni dikteta, nitaweka sababu zangu za kwanini magufuli siyo Dikteta,

1.Vijana wengi wamezaliwa kipindi cha Mkapa hawaqkujitambua na wamejitambua na kujua mambo ya siasa kipindi cha Kikwete, Kwa bahati mbaya Tanzania huwa tuna Miaka kumi ya kazi na miaka kumi ya likizo, wenye akili mmenielewa, Kwa mtu aliyeongozwa na Nyerere, Aliyeongozwa na Mkapa na ambaye kaongozwa na Magufuli atajua nasema nini,

Najiuliza kwanini Moringe Sokoine au Mrema hawajawahi kuitwa madikteta wakati ukali wao ulipitiliza mpaka kwa Magufuli? Au ni kwakuwa hawakuwa marais udikteta tunaupima kwa upande wa Rais tu?

2. Watanzania wengi ni wazembe hasa kizazi cha smart phones, wanataka mziki masikioni hawataki kufanya kazi wanataka kuwa wakukaa nyumbani tu na kulishwa tu bila kutumika ipasavyo,
hivo anapotokea mtu wa kuwarudisha kwenye reli lazima mseme ni dikteta,

3.Kupuuza sheria ulikuwa ni mchezo uliozoeleka Tanzania na kupuuzaa taratibu za nchi sasa akija Chuma cha kuwanyoosha wanasema ni dikteta

4. DW ni ka media ka propaganda za kijinga sana na hawana hoja za msingi kusema magufuli ni Dikteta, si wajiulize swali je Magufuli ameshafika hata robo ya Hitler? aliyekuwa rais wao? wanawashwa nini na mambo yasiyowahusu?

KUPITIA MATENDO HAYA YA MAGUFULI NAJUA KWAMBA HUYU MZEE SI DIKTETA KAMA WANAVYOSEMA

1.Hakuna Dikteta anapendwa na watu wake kama Magufuli wanavyompenda,

2.Hakuna kiongozi ambaye ni dikteta ambaye anaweza kutamaniwa na nchi jirani kuwa kiongozi wao, ni kama mabavyo Tanzania hatukuwahi kutamani iutawaliwa na AHMED KHAZAI au Idd amini Au mobutu, lakin uko nje watu wanapigana vikumbo kumjua na kumtaka Magufulia aongoze walau siku kadhaa nchini mwao

3. Dikteta hawezi kukuacha umemuotea kufa

4.Dikteta hawezi kukuacha umekwamisha michakato ya maendeleo

5.Dikteta hawezi kuyakuta magari bandarini yanayojifanya kutokuwa na mwenyewe akayaacha lazima ayagawe bure au apeleke kijijini kwake,

6.Dikteta hawezi kubana matumizi akajenga hosteli halafu wachache wakapotosha kwamba kuna expansion joint halafu akawaacha wanazagaa huyo ni dikteta gani sasa?

7.Dikteta hasingeacha media ziendelee kuandika ukwasi juu yake au habari hasiyopenda yeye, mfano ni Rwanda au Pakistani kaulize kama kuna ujinga uo, navyokwambia kuna website hazifanyi kazi uko wala whatsap calls hakuna na hazina end to end encryption

8.Dikteta hawezi akakuuliza swali ukajibu hovyo kama yule wa Bukoba akakuacha

9.Zaidi dikteta hawezi maliza miezi 24 madarakani bila kuua mtu hadharani kuwatisha wengine

10.Dikteta hawezi husisha vyombo vingine katika maamuzi ya juu mfano Bunge na mahakama

11. Dikteta gani atavumilia meya aseme amepokea simu yake ya kumrubuni Mnyika na atamuaibisha? labda awe dikteta uchwara , narudia Magufuli si dikteta

Magufuli si dikteta ila anawanyoosha tu

Brittany
What are the characteristics of a dictator aknowledged worldwide? Here they er. Does Magufuli qualify for any of these?




10 Ways to Tell if Your President Is a Dictator


BY STEPHEN M. WALT

1. Systematic efforts to intimidate the media. TRENDING

2. Building an official pro-Trump media network.

3. Politicizing the civil service, military, National Guard, or the domestic security agencies.

4. Using government surveillance against domestic political opponents.

5. Using state power to reward corporate backers and punish opponents.

6. Stacking the Supreme Court.

7. Enforcing the law for only one side.

8. Really rigging the system.

9. Fear mongering.

10. Demonizing the opposition.

Je kati ya hayo huyo unayemtetea anayafanya au hayafanyi

For the sake of being fair, tuseme hayafanyi, siyo dictator. Je kuna dalili za kuwa dikteita? Dalili za mtu kuwa dikteita ni zipi? Hizi hapa, universally accepted:




7 Steps to Becoming a Dictator

A manual for strengthening your power position as elected leader

As a democratically elected leader, getting absolute power is no easy feat. Just look at Hitler, or more recently, at Zimbabwe’s Mugabe, Russia’s Putin or Turkey’s Erdogan. Here are some helpful tips for a prolonged iron rule.

1. Expand your power base through nepotism and corruption.

This is not just a tactic adopted in Third World countries. Scandals like Bridgegate, Koreagate, Monicagate and Watergate demonstrate that the powerful will always find ways to abuse their privileges. Be warned, though: you will eventually be rumbled, so corruption tends to work only in the short term.

The lesson: Better make sure to surround yourself with loyal kin who you can trust to do what’s best for you and your family.

2. Instigate a monopoly on the use of force to curb public protest.

Dictators cannot survive for long without disarming the people and buttering up the military. Former dictators such as Pervez Musharraf of Pakistan, Mobutu Sese Seko of the Congo and Idi Amin of Uganda were high-ranked army officers who co-opted the military in order to overthrow democracies in favour of dictatorships. Yet democracies are not always more popular than dictatorships. In reality, people prefer dictatorships if the alternative is chaos. This explains the nostalgia for rulers like Stalin and Mao, who were mass murderers but who provided social order. One retired middle-ranking official in Beijing told the Asia Times: "I earned less than 100 yuan a month in Mao's time. I could barely save each month but I never worried about anything. My work unit would take care of everything for me: housing, medical care, and my children's education, though there were no luxuries. … Now I receive 3,000 yuan as a [monthly]pension, but I have to count every penny - everything is so expensive and no one will take care of me now if I fall ill."

Indeed when given the choice in an experiment, people will desert an unstructured group (analogous to an anything-goes society) and seek the order of a "punishing regime," which has the authority to identify and reprimand cheats. This lawlessness can be seen in hunter-gatherer tribes too. When anthropologists visited a New Guinea tribe they found that a third of males suffered a violent death.

The lesson: Any aspiring dictator who restores order, even through coercion, is likely to earn the gratitude of his people.

3. Curry favour by providing public goods efficiently and generously.

Benevolent dictatorship was practised by Lee Kuan Yew, prime minister of Singapore for 31 years. Lee believed that ordinary people could not be entrusted with power because it would corrupt them, and that economics was the major stabilizing force in society. To this end, he effectively eliminated all opposition by using his constitutional powers to detain suspects without trial for two years without the right of appeal. To implement his economic policies, Lee allowed only one political party, one newspaper, one trade union movement and one language. He encouraged people to uphold the family system, discipline their children, be more courteous and avoid pornography. As well as setting up a government dating service for single graduates, he urged people to take better aim in public toilets and handed out hefty fines for littering. Singaporeans tolerated these restrictions on their freedom because they valued their economic security more. On this point, Lee did not disappoint, turning Singapore into one of the world's wealthiest countries (per capita).

The lesson: Restore the economy, develop large infrastructural projects that create a lot of jobs and it will strengthen your power base.

article continues after advertisement

4. Get rid of your political enemies - or, more cleverly, embrace them in the hope that the bear hug will neutralize them. Zimbabwe’s Mobutu abandoned the unpopular practice of murdering political rivals and instead bribed them, with political office, for their support. Idi Amin, who came to power in Uganda after a military coup, stuck with the murderous route: During his eight years at the top, he is estimated to have killed between 80,000 and 300,000 people. His victims included cabinet ministers, judicial figures, bankers, intellectuals, journalists and a former prime minister. At the lower end of the scale, that's a hit rate of 27 executions a day.

The lesson: Keep your political enemies close to you.

5 Create and defeat a common enemy. By facing down Nazi Germany, Churchill, de Gaulle, Roosevelt and Stalin sealed their reputations as great leaders. Legendary warlords such as Alexander the Great, Genghis Khan and Napoleon were military geniuses who expanded their countries' territories through invading their neighbours. Dictatorships feed on wars and other external threats because these justify their existence - swift military action requires a central command-and-control structure.

More than half of 20th-century rulers engaged in battles at some point during their reign, either as aggressors or defenders. Among dictators the proportion rises to 88 per cent. Democratic rulers find this tactic more difficult to adopt because most wars are unpopular with voters. To attract support, the ruler must be perceived as a defender, not a warmonger. The former British prime minister Margaret Thatcher received a lucky boost to her popularity after Argentina, a military dwarf, invaded the British-owned Falkland Islands; she triumphed over her Argentine enemies. Another former British PM, Tony Blair, was not so lucky. Although the 9/11 attacks did much to strengthen his government, his decision to attack Iraq (ostensibly to defend Britain from a long-range missile attack) sullied his legacy.

The lesson: Start a war when your position as leader becomes insecure. Having generals in top political posts should certainly help.

article continues after advertisement

6. Accumulate power by manipulating the hearts and minds of your citizens.

One of the first actions of any aspiring dictator should be to control the free flow of information, because it plugs a potential channel of criticism. Turn the media into a propaganda machine for your regime like Hitler did and Erdogan does now. Other leaders, such as Myanmar's ruling junta, shut down media outlets completely. Democratically elected leaders are somewhat more restrained, but if they have enough powers they can rig an election or do away with meddlesome journalists (like Vladimir Putin's Russia) or, if money is no object, build their own media empire.

Former Italian Prime Minister Silvio Berlusconi owned nearly half the Italian media, encompassing national television channels, radio stations, newspapers and magazines. Unsurprisingly, these outlets carefully managed Berlusconi's public image and shielded him from criticism. Aspiring dictators should note that muzzling the media is most effective in an ordered society: a 2007 poll of more than 11,000 people in 14 countries, on behalf of the BBC, found that 40 per cent of respondents across countries from India to Finland thought social harmony more important than press freedom.

The lesson: Control the media or, even better, own the media. It’s as simple as that.

7. Create an ideology to justify an exalted position

Throughout history, leaders have used or, in some cases, invented an ideology to legitimize their power. In the original chiefdoms like Hawaii the chiefs were both political leaders and priests, who claimed to be communicating with the gods in order to bring about a generous harvest. Conveniently, this ideology often passed as an explanation of why the chief should occupy the role for life, and why the post should pass to the chief's descendants. Accordingly, these chiefdoms spent much time and effort building temples and other religious institutions, to give a formal structure to the chief's power. Henry VIII of England started his own religion when the Pope refused to annul his marriage to Catherine of Aragon. He created the Church of England, appointed himself Supreme Head and granted his own annulment. Other ideologies include personality cults such as Mao-ism or Stalinism; some serve to unite a nation divided by ethnicity, religion or language. britanicca
 
Enzi zote hizo hakuwahi kutokea raisi anayehubiri Watanzania kuishi kama mashetani,kkuwazodoa waliopata majanga kama lile tetemeko la Ardhi Bukoba wala raisi aliyehimiza wapinzani washughulikiwe na spika bungeni halafu yeye atawashughulikia nje ya bunge na ikatokea Mbunge akapigwa risasi mchana mweupe kwenye majengo ya serikali na wanakoishi viongozi!!!

Cha kujiuliza kwa nini Nyerere hakulalamikiwa kushinda huyo anayetajwa?! Kwa nini sio Mkapa na maneno yake ya wivu wa kike na malofa?! Kwa nini sio Kikwete?!

Ninachoamini tutaweka historia ya kuwa na kiongozi ambaye ataiacha nchi ikiwa fukara wa kutupwa kwani huwezi kukuza uchumi kwa kuua sekta binafsi na bila ya kuanzia kwenye microeconomics!!!
 
What are the characteristics of a dictator aknowledged worldwide? Here they er. Does Magufuli qualify for any of these?
10 Ways to Tell if Your President Is a Dictator
BY STEPHEN M. WALT
1. Systematic efforts to intimidate the media.
TRENDING

2. Building an official pro-Trump media network.

3. Politicizing the civil service, military, National Guard, or the domestic security agencies.

4. Using government surveillance against domestic political opponents.

5. Using state power to reward corporate backers and punish opponents.

6. Stacking the Supreme Court.

7. Enforcing the law for only one side.

8. Really rigging the system.

9. Fear mongering.

10. Demonizing the opposition.

Je kati ya hayo huyo unayemtetea anayafanya au hayafanyi

For the sake of being fair, tuseme hayafanyi, siyo dictator. Je kuna dalili za kuwa dikteita? Dalili za mtu kuwa dikteita ni zipi? Hizi hapa, universally accepted:
7 Steps to Becoming a Dictator

A manual for strengthening your power position as elected leader

As a democratically elected leader, getting absolute power is no easy feat. Just look at Hitler, or more recently, at Zimbabwe’s Mugabe, Russia’s Putin or Turkey’s Erdogan. Here are some helpful tips for a prolonged iron rule.

1. Expand your power base through nepotism and corruption.

This is not just a tactic adopted in Third World countries. Scandals like Bridgegate, Koreagate, Monicagate and Watergate demonstrate that the powerful will always find ways to abuse their privileges. Be warned, though: you will eventually be rumbled, so corruption tends to work only in the short term.

The lesson: Better make sure to surround yourself with loyal kin who you can trust to do what’s best for you and your family.

2. Instigate a monopoly on the use of force to curb public protest.

Dictators cannot survive for long without disarming the people and buttering up the military. Former dictators such as Pervez Musharraf of Pakistan, Mobutu Sese Seko of the Congo and Idi Amin of Uganda were high-ranked army officers who co-opted the military in order to overthrow democracies in favour of dictatorships. Yet democracies are not always more popular than dictatorships. In reality, people prefer dictatorships if the alternative is chaos. This explains the nostalgia for rulers like Stalin and Mao, who were mass murderers but who provided social order. One retired middle-ranking official in Beijing told the Asia Times: "I earned less than 100 yuan a month in Mao's time. I could barely save each month but I never worried about anything. My work unit would take care of everything for me: housing, medical care, and my children's education, though there were no luxuries. … Now I receive 3,000 yuan as a [monthly]pension, but I have to count every penny - everything is so expensive and no one will take care of me now if I fall ill."

Indeed when given the choice in an experiment, people will desert an unstructured group (analogous to an anything-goes society) and seek the order of a "punishing regime," which has the authority to identify and reprimand cheats. This lawlessness can be seen in hunter-gatherer tribes too. When anthropologists visited a New Guinea tribe they found that a third of males suffered a violent death.

The lesson: Any aspiring dictator who restores order, even through coercion, is likely to earn the gratitude of his people.

3. Curry favour by providing public goods efficiently and generously.

Benevolent dictatorship was practised by Lee Kuan Yew, prime minister of Singapore for 31 years. Lee believed that ordinary people could not be entrusted with power because it would corrupt them, and that economics was the major stabilizing force in society. To this end, he effectively eliminated all opposition by using his constitutional powers to detain suspects without trial for two years without the right of appeal. To implement his economic policies, Lee allowed only one political party, one newspaper, one trade union movement and one language. He encouraged people to uphold the family system, discipline their children, be more courteous and avoid pornography. As well as setting up a government dating service for single graduates, he urged people to take better aim in public toilets and handed out hefty fines for littering. Singaporeans tolerated these restrictions on their freedom because they valued their economic security more. On this point, Lee did not disappoint, turning Singapore into one of the world's wealthiest countries (per capita).

The lesson: Restore the economy, develop large infrastructural projects that create a lot of jobs and it will strengthen your power base.

article continues after advertisement

4. Get rid of your political enemies - or, more cleverly, embrace them in the hope that the bear hug will neutralize them. Zimbabwe’s Mobutu abandoned the unpopular practice of murdering political rivals and instead bribed them, with political office, for their support. Idi Amin, who came to power in Uganda after a military coup, stuck with the murderous route: During his eight years at the top, he is estimated to have killed between 80,000 and 300,000 people. His victims included cabinet ministers, judicial figures, bankers, intellectuals, journalists and a former prime minister. At the lower end of the scale, that's a hit rate of 27 executions a day.

The lesson: Keep your political enemies close to you.

5 Create and defeat a common enemy. By facing down Nazi Germany, Churchill, de Gaulle, Roosevelt and Stalin sealed their reputations as great leaders. Legendary warlords such as Alexander the Great, Genghis Khan and Napoleon were military geniuses who expanded their countries' territories through invading their neighbours. Dictatorships feed on wars and other external threats because these justify their existence - swift military action requires a central command-and-control structure.

More than half of 20th-century rulers engaged in battles at some point during their reign, either as aggressors or defenders. Among dictators the proportion rises to 88 per cent. Democratic rulers find this tactic more difficult to adopt because most wars are unpopular with voters. To attract support, the ruler must be perceived as a defender, not a warmonger. The former British prime minister Margaret Thatcher received a lucky boost to her popularity after Argentina, a military dwarf, invaded the British-owned Falkland Islands; she triumphed over her Argentine enemies. Another former British PM, Tony Blair, was not so lucky. Although the 9/11 attacks did much to strengthen his government, his decision to attack Iraq (ostensibly to defend Britain from a long-range missile attack) sullied his legacy.

The lesson: Start a war when your position as leader becomes insecure. Having generals in top political posts should certainly help.

article continues after advertisement

6. Accumulate power by manipulating the hearts and minds of your citizens.

One of the first actions of any aspiring dictator should be to control the free flow of information, because it plugs a potential channel of criticism. Turn the media into a propaganda machine for your regime like Hitler did and Erdogan does now. Other leaders, such as Myanmar's ruling junta, shut down media outlets completely. Democratically elected leaders are somewhat more restrained, but if they have enough powers they can rig an election or do away with meddlesome journalists (like Vladimir Putin's Russia) or, if money is no object, build their own media empire.

Former Italian Prime Minister Silvio Berlusconi owned nearly half the Italian media, encompassing national television channels, radio stations, newspapers and magazines. Unsurprisingly, these outlets carefully managed Berlusconi's public image and shielded him from criticism. Aspiring dictators should note that muzzling the media is most effective in an ordered society: a 2007 poll of more than 11,000 people in 14 countries, on behalf of the BBC, found that 40 per cent of respondents across countries from India to Finland thought social harmony more important than press freedom.

The lesson: Control the media or, even better, own the media. It’s as simple as that.

7. Create an ideology to justify an exalted position

Throughout history, leaders have used or, in some cases, invented an ideology to legitimize their power. In the original chiefdoms like Hawaii the chiefs were both political leaders and priests, who claimed to be communicating with the gods in order to bring about a generous harvest. Conveniently, this ideology often passed as an explanation of why the chief should occupy the role for life, and why the post should pass to the chief's descendants. Accordingly, these chiefdoms spent much time and effort building temples and other religious institutions, to give a formal structure to the chief's power. Henry VIII of England started his own religion when the Pope refused to annul his marriage to Catherine of Aragon. He created the Church of England, appointed himself Supreme Head and granted his own annulment. Other ideologies include personality cults such as Mao-ism or Stalinism; some serve to unite a nation divided by ethnicity, religion or language. britanicca
Mkuu Retired, Senate kwa nondo hizi. Nakwenda kuzitumia mahali kama mbolea kwenye bandiko fulani.

Thanks.
P
 
Wanajf habari za frustrations za maisha?

Kuna habari zisizo za ukweli zinamchafua Rais wa Tanzania kuwa ni dikteta, nitaweka sababu zangu za kwanini magufuli siyo Dikteta,

1.Vijana wengi wamezaliwa kipindi cha Mkapa hawaqkujitambua na wamejitambua na kujua mambo ya siasa kipindi cha Kikwete, Kwa bahati mbaya Tanzania huwa tuna Miaka kumi ya kazi na miaka kumi ya likizo, wenye akili mmenielewa, Kwa mtu aliyeongozwa na Nyerere, Aliyeongozwa na Mkapa na ambaye kaongozwa na Magufuli atajua nasema nini,

Najiuliza kwanini Moringe Sokoine au Mrema hawajawahi kuitwa madikteta wakati ukali wao ulipitiliza mpaka kwa Magufuli? Au ni kwakuwa hawakuwa marais udikteta tunaupima kwa upande wa Rais tu?

2. Watanzania wengi ni wazembe hasa kizazi cha smart phones, wanataka mziki masikioni hawataki kufanya kazi wanataka kuwa wakukaa nyumbani tu na kulishwa tu bila kutumika ipasavyo,
hivo anapotokea mtu wa kuwarudisha kwenye reli lazima mseme ni dikteta,

3.Kupuuza sheria ulikuwa ni mchezo uliozoeleka Tanzania na kupuuzaa taratibu za nchi sasa akija Chuma cha kuwanyoosha wanasema ni dikteta

4. DW ni ka media ka propaganda za kijinga sana na hawana hoja za msingi kusema magufuli ni Dikteta, si wajiulize swali je Magufuli ameshafika hata robo ya Hitler? aliyekuwa rais wao? wanawashwa nini na mambo yasiyowahusu?

KUPITIA MATENDO HAYA YA MAGUFULI NAJUA KWAMBA HUYU MZEE SI DIKTETA KAMA WANAVYOSEMA

1.Hakuna Dikteta anapendwa na watu wake kama Magufuli wanavyompenda,

2.Hakuna kiongozi ambaye ni dikteta ambaye anaweza kutamaniwa na nchi jirani kuwa kiongozi wao, ni kama mabavyo Tanzania hatukuwahi kutamani iutawaliwa na AHMED KHAZAI au Idd amini Au mobutu, lakin uko nje watu wanapigana vikumbo kumjua na kumtaka Magufulia aongoze walau siku kadhaa nchini mwao

3. Dikteta hawezi kukuacha umemuotea kufa

4.Dikteta hawezi kukuacha umekwamisha michakato ya maendeleo

5.Dikteta hawezi kuyakuta magari bandarini yanayojifanya kutokuwa na mwenyewe akayaacha lazima ayagawe bure au apeleke kijijini kwake,

6.Dikteta hawezi kubana matumizi akajenga hosteli halafu wachache wakapotosha kwamba kuna expansion joint halafu akawaacha wanazagaa huyo ni dikteta gani sasa?

7.Dikteta hasingeacha media ziendelee kuandika ukwasi juu yake au habari hasiyopenda yeye, mfano ni Rwanda au Pakistani kaulize kama kuna ujinga uo, navyokwambia kuna website hazifanyi kazi uko wala whatsap calls hakuna na hazina end to end encryption

8.Dikteta hawezi akakuuliza swali ukajibu hovyo kama yule wa Bukoba akakuacha

9.Zaidi dikteta hawezi maliza miezi 24 madarakani bila kuua mtu hadharani kuwatisha wengine

10.Dikteta hawezi husisha vyombo vingine katika maamuzi ya juu mfano Bunge na mahakama

11. Dikteta gani atavumilia meya aseme amepokea simu yake ya kumrubuni Mnyika na atamuaibisha? labda awe dikteta uchwara , narudia Magufuli si dikteta

Magufuli si dikteta ila anawanyoosha tu

Brittany
Sio Dikteta ila ni mwenye matatizo ya Kiakili yanayomfanya kutokuwa na hisia za kuumiza wengine !
 
Hii ni sawa na kusema Papa Francis sio mkatoliki, hajawahi kuwa mkatoliki na hana mpango wa kuwa mkatoliki.

...ila kwa upande mwingine inawezekana upo sahihi sio dikteta maana hapo awali aliwahi kuitwa dikteta uchwara
 
Aya ndio majibu yqko
bac53b202dfcff792b4ae2b0c0858b50.jpg
 
Haya uliyoyanena hayajadiliki bila kujuwa wewe mtoa mada umevaa miwani ya aina gani?Kama ni transparent au translucent. Asante....
 
Haya uliyoyanena hayajadiliki bila kujuwa wewe mtoa mada umevaa miwani ya aina gani?Kama ni transparent au translucent. Asante....
 
Wasalaam, naomba kuuliza kwenu watanganyika: hivi kuna ukweli wowote kwamba rais wetu ni katili na dikteta? Maana nijuavyo mm rais wetu ni rais wa wa wanyonge, mzalando wa kweli na mpenda maendeleo, ambae habagui chama, uwe ccm, cuf, chadema au nccr mageuzi anatumikia wote.

Hizi kelele zina ukweli wowote? Mungu ibariki Tanzania.
 
Twende taratibu: Nini maana ya udikteta?!

NB: Ku-Google rukhsa... what's DICTATORSHIP.

Swali la nyongeza: Nini maana ya Dikteta?

Google question: What's dictator.

NOTE: Ukifanya hiyo assignment mwenyewe na kwa roho safi utapata jibu!
 
Una uhakika na uliyoyaaandika? Maana unachokijua sicho ulichokiandika, usiniulize nimejuaje!! Humu kila mtu ana taaluma yake.
 
Siyo kelele bali ni ukweli Watu hawawezi kumzulia huyu kama ni dikteta kama hawana ushahidi. Fungua macho na akili utaelewa tu.

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Wasalaam, naomba kuuliza kwenu watanganyika: hivi kuna ukweli wowote kwamba rais wetu ni katili na dikteta? Maana nijuavyo mm rais wetu ni rais wa wa wanyonge, mzalando wa kweli na mpenda maendeleo, ambae habagui chama, uwe ccm, cuf, chadema au nccr mageuzi anatumikia wote.

Hizi kelele zina ukweli wowote? Mungu ibariki Tanzania.
 
Kwanini umekimbilia kuuliza hilo swali la "hivi kuna ukweli wowote ..."? Ulisikia wapi? Nani kasema hayo? Ni hisia zako tu? Au kuna viashiria fulani umeviona hadi kuuliza hivyo? What is the essence of that question? Ni ipi tafsiri sahihi ya hayo maneno mawili ya msingi kwenye hilo swali lako? Ukijibu haya nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuchangia hiyo "mada" yako.
 
Back
Top Bottom