Uchaguzi 2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

Hakuna wanakomhitaji hata bure maana atakuwa mzigo usiobebeka. Ni Chama chake ndo kinatubebesha mzigo usio na manufaa yoyote ulitakiwa utupwe mahali uchomwe Moto majivu yatupwe baharini. Hafai kuishi kati ya watu!
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
Mchakato wa kurekebisha sheria ili mikataba ya madini inufaishe taifa, Chadema mlipinga. Mchakato wa kuzinasua ndege za ATCL kutoka kwa mabeberu, chadema mlihujumu. Mchakato wa kuzuia hila za mabeberu katika vita dhidi ya Korona, Chadema mlihujumu. Hicho ni kipimo tosha kwamba hamna nia ya dhati ns Taifa hili hivyo hamuaminiki kupewa madaraka
 
Wapiga dili wapo CCM ndiyo maana kuna wizi wa trilion 1.5 mkamtoa kafara CAG, kuna wizi ufisadi kwenye ununuzi wa Ndege ujenzi wa SGR bwawa la umeme, wapiga dili wamezidi utawala huu kuna ufisadi wa kutisha ndiyo maana wakakosa pesa za nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma pesa zote zinaibiwa na wajanja wachache ukiwemo wewe mvuta Bangi, Mbona makonda Bashite alipiga kelele juu ya ushoga ukakaa kimya na wabunge wa CCM wakiwa Bungeni wakampinga Bashite wakiongozwa na Kange lugola , CCM wanaupenda ushoga ndiyo maana wabunge hawajawahi kutunga Sheria kali dhidi ya ushoga
 
Aende huko huko wanako muhitaji atuachie nchi yetu.
 
Mkienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wizi ufisadi udikiteta wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Aende huko huko wanako muhitaji atuachie nchi yetu.
Nchi yako ipi? aende wapi? Acha kuvuta Bangi kukariri ujinga kwa cyprian Musiba kisha kuja kusumbua watu mitandaoni? Kwani bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje huko ulaya? acha ushetani wako
 
Alisema tukimpa madaraka tutalimia meno.Hayo tumeona,Nakuhakikishia tukirogwa kumpa tena awamu hii tutalimia ulimi.Siwezi kushiriki dhambi hiyo.
 
Wewe ni mnufaika wa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani kwani umejitoa fahamu kwa kiwango cha kutisha
 
Afrika nzima inamuhitaji mtu ambae hawezi hata kuendesha kikao cha SADC?Magufuli is a country bumpkin
 
Kamtendea nani ubaya?, usisikilize porojo za mtaani
Wewe ni mnufaika wa blackmail kuwabambikia kesi wafanyabiashara unapata pesa kwa njia haramu ndiyo maana unatetea udikiteta ili uendelee kujinufaisha kwa njia haramu za kishetani
 
Watakuja kukujibu Kimhemko na jazba
Wanaotaka dola kwa maslahi binafsi ni wengi lakini wenye uzalendo ni wengi zaidi
 
Watakuja kukujibu Kimhemko na jazba
Wanaotaka dola kwa maslahi binafsi ni wengi lakini wenye uzalendo ni wengi zaidi
Wenye masilahi binafsi wamekula 10% ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge wamekula trilion 1.5 wakamtoa CAG kafara, bilion 12 matibabu ya Ndungai India , mihemko ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?
 
Mikataba mipya ya madini ni siri kubwa haina manufaa yeyote kwa Tanzania kwani hakuna ajuaye undani wake zaidi ya kuwahadaa watanzania na sinema za uongo, hapo kuna ufisadi mkubwa akiingia Rais mpya ndipo zitaibuka kashifa za kila aina
 
Niwe muwazi tu, 2015 nilimpigia...lakini this time Hapana.....katili sana JPM
MTU anyetaka Kukuua kwangu mimi hata kama mzuri vipi,, kwangu mimi hawezi kunishawishi.

Siasa sio vita...ni hoja tu.
Toa hoja yako then itetee.

Lissu kanusurika , ipo siku nyingine atapigwa Mzazi wako au mtoto wako au ndugu yako wa karibu na hatanusurika.

Mimi na familia yangu Tunamchagua LISSU potelea mbali , nature itaselect.
 
Wenye masilahi binafsi wamekula 10% ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge wamekula trilion 1.5 wakamtoa CAG kafara, bilion 12 matibabu ya Ndungai India , mihemko ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?
Thibitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…