minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,635
- 20,365
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaHakuna wanakomhitaji hata bure maana atakuwa mzigo usiobebeka. Ni Chama chake ndo kinatubebesha mzigo usio na manufaa yoyote ulitakiwa utupwe mahali uchomwe Moto majivu yatupwe baharini. Hafai kuishi kati ya watu!