Uhuru?NI USHINDI MKUBWA - MWANANCHI
WAMETEPETA - NIPASHE .
Afe tu hata na mkanda kiunoni tutatuma salamu za rambirambiKwa mawazo yangu, huwa ni ngumu sana kwa kiongozi yeyote kukili kwamba kashindwa. Hii vita ya makinikia naona atulie kwanza. Ni kawaida ya askali wanapoona kuzidiwa katika mapambano kuludi nyuma na kujipanga.
Eti.. "Mpakwa mafuta"...Uhuru?
Kiukweli hili lingefanyika tungefika mbali mkuuNi busara tujipange upya, tukiwatumia wataalamu wetu wa ndani kwa kutanguliza utaifa bila kujali itikadi za siasa zetu za kijinga tunaweza kufaulu kusitisha ulaghai wa Mali zetu japo sisi wenyewe ndo tulioruhusu kuibiwa
Hapana mkuu onyesha moyo wa hurumaAfie tu na tai yake shingoni hana namna tatizo la raisi wetu anapenda sana kutoa lugha zisizo na staha mbele ya kadamnasi tutegemee nini zaidi ya kumwacha aendelee na ubishi wake mwache afe nayo tu hiyo sikasema anataka watu waishi km mashetani ndo hvyo afe tu na tai yake tena ikiwezekani ajining'inize kabisa ajinyongee mbali