Bwana mdogo, uelewa wako ni mdogo mno kwenye mada Kama hii,
Walimu huajiriwa na Kampuni gani Kama siyo serikali?
Elewa maudhui ya mada ,National Airline ni serikali kufanya Biashara jambo ambalo ni la hovyo kabisa.
Kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kusimamia uchumi kupitia Central Bank na Treasury.
Pesa za serikali ni kwa ajili ya Elimu, Afya na infrastructures.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nadhani hii nchi tumpe Klopp the Great...Kwahili bandiko kama wasiposema unetumwa na mabeberu, basi lazima wataanza kufuatilia uraia wako, wakupe kesi ya kuhujumu uchumi na kesi ya kutakatisha fedha.
Unaweza kushangaa Papa anaamini hakuna Mungu vilevile.Serekali za Afrika zilizopo madarakani kuzigusia kuwa inatakiwa tume huru ni sawa na kujaribu kumwaminisha papa kuwa hakuna Mungu bali ni story tu za kutunga!
ThubutuuMtu aliyeshikilia power hapumziki kwa kuambiwa "pumzika sasa".
Anapumzishwa kwa lazima.
Piga kampeni atolewe urais kwa kura, pigia kampeni unayeona atafaa.
Usisema mwaka huu hakuna atakaemchagua. Sema mwaka huu wewe hutamchagua. Mimi ni miongoni mwa wa2 watakaomchagua.Katiba ya nchi unaijua? Uraisi mwisho miaka mitano na option ya kugombea muhula mwingine wa miaka mitano. Magufuli amesha ongoza mitano hata akigombea tena hataweza kuwa raisi zaidi ya 2025. Kwanza mwaka huu hakuna anaemchagua. He's doomed like Trump.
Magufuli hadi 2035, huo ndio ukweli
Mimi nilichomkubali Magufuli ni kutumia findings za mwaka 1970 kwenye mradi wa Stiglers. Yani amekopi na kupesti kiulaini kabisa.Elimisheni wananzengo wapige kura ya hapana,kwanza Magufuli huwa analalamika Urais mgumu,angelijua asingechukua form.
Ila ndo mjue wanasiasa ni wanafki,atagombea tena 2020.
Ndani ya miaka miwili tu kila nyumba itakua na bomba la maziwa.Mi nadhani hii nchi tumpe Klopp the Great...
Hivi alishawahi kusema anaamini Mungu yupo?Unaweza kushangaa Papa anaamini hakuna Mungu vilevile.
Kwani Wafanyakazi wa serikali ni walimu tu?Kila nchi Dunia hii ina ,,key industries“ zake ambazo kama ikibidi Serikali hutumia kodi za Wananchi kuzilinda, na hiyo ni Dunia nzima, isitoshe kwenye post yako haujaonglea Walimu bali umesema Serikali haitoi ajira.
Tanzania itakuwa Bwawa la Maziwa... MilkPoolNdani ya miaka miwili tu kila nyumba itakua na bomba la maziwa.
Cheki team kushangilia walivyo matope. Leo nimeona Lemutuz anampongeza Magufuli kwa Samatta kuingia EPLHehehee...JPM makes you see the fire like Richard Pryor. JPM amekata govt spending zisizo na maana: mfano utaongezaje mishahara wakati overall productivity haiendi juu?
Mkuu, Mungu umwache Kama alivyo, God is really and this doesn't need any science proof to prove his existenceUnaweza kushangaa Papa anaamini hakuna Mungu vilevile.
Juzi michizi imeshangilia mvua kunyesha eti ni juhudi. Ilivyoleta madhara machizi yakawahi wodini Mirembe...Cheki team kushangilia walivyo matope. Leo nimeona Lemutuz anampongeza Magufuli kwa Samatta kuingia EPL
View attachment 1325977
Hapo kidogo umeniacha njia panda! China iwe na haki kwa wote. nadhani China inaongoza kwa human rights abuse! Am I right?Hiyo China mnayojifanya wana CCM kuiiga, ina mfumo imara wa haki kwa watu wote chini ya Chama kimoja siyo nyie mnaolindana kwa kuitafuna nchi .