Magufuli ni muongo

Magufuli ni muongo

Ngugu yangu,tuweke umahaba pembeni unapozungumzia mawaziri ambao wako na uwezo wa ku-get job done basi bwana Pombe John ni namba moja,hatuwezi kufuta mazuri yote aliyoyasimamia kwa barabara yako ya ukonga-kivule.
 
= Magufuli

Punguani wahed.

Weweee! Acha kuleta mzaha kwenye mambo yanayogusa moja kwa moja maisha ya watanzania. Watanzania wameteseka sana na sasa wamechoka wanataka manadiliko.
 
Kamanda WAITARA endelea kupiga kazi baba.Watanzania tunakutegemea kwani magamba kazi yao ni kupiga madili na kutanua mitaani na magari ya kifahari na sio kushughulikia matatizo ya wananchi.
 
Last edited by a moderator:
Anakupeleka mbio peke yako mimi nilishamweka kwenye "Ignore List" kitambo mdini yule

Hakuna sababu ya kwenda Wizarani wakati anataja miradi mbona ilikuwa wazi?ni ujinga kudhani kwamba kama kuna mtu anafagiliwa na watu hatuwezi kuhoji madhaifu yake.ni ujinga pia kama utaweka mapenzi ya kizembe kwrnye hoja ya maisha ya watu.
 
Kwani ulikuwa hujui? hizo ndo sera za CCM uongo mwingi matendo kidogo wizi kwa sana maisha yanakuwa bora kwa kila mtanzania (siyo mwananchi)









/
 
Teeeh,teeeh,teeeh, Daka mtumba mimi watu kama hao hawanipishida kabisa kwani ukiwa hapa jf inabidi uwe na moyo mgumu kama chuma!

Hahaaaa... Umenikumbusha kwa mara ya kwanza mtu nilimpa ukweli humu akamaindi akaniambia "nyamaza, mbuzi we", nikashtuka sana manake babaangu alikuwa akiniadhibu ananiambia "fanta we" au "coca cola we", sasa leo nimekuwa mbuzi. Nikakosa raha kwa muda, baadaye nikaona ujinga huu, nikamrudishia kuwa na yeye ni "yule mwenye pua". Hakunirudishia tena. Sasa havinisumbui.
 
Hahaaaa... Umenikumbusha kwa mara ya kwanza mtu nilimpa ukweli humu akamaindi akaniambia "nyamaza, mbuzi we", nikashtuka sana manake babaangu alikuwa akiniadhibu ananiambia "fanta we" au "coca cola we", sasa leo nimekuwa mbuzi. Nikakosa raha kwa muda, baadaye nikaona ujinga huu, nikamrudishia kuwa na yeye ni "yule mwenye pua". Hakunirudishia tena. Sasa havinisumbui.

Hiyo ndio dawa yao hao,na mungu atatusamehe kwani haina jinsi.
 
Ngugu yangu,tuweke umahaba pembeni unapozungumzia mawaziri ambao wako na uwezo wa ku-get job done basi bwana Pombe John ni namba moja,hatuwezi kufuta mazuri yote aliyoyasimamia kwa barabara yako ya ukonga-kivule.
Kwani anajenga kwa fedha za mfukoni mwake? Si kodi za wananchi? Si ndiye aliyeshirikiana na Mkapa kuuza nyumba za serikali? Mnafiki huyo!!!! Kwa msifu rais? Utasikia "Serikali ya Mheshimiwa Doctor Professor Jakaya Mrisho Kikwete ......." Ya nini yote hayo. Si useme tu ulichokusudia???
 
Kwani anajenga kwa fedha za mfukoni mwake? Si kodi za wananchi? Si ndiye aliyeshirikiana na Mkapa kuuza nyumba za serikali? Mnafiki huyo!!!! Kwa msifu rais? Utasikia "Serikali ya Mheshimiwa Doctor Professor Jakaya Mrisho Kikwete ......." Ya nini yote hayo. Si useme tu ulichokusudia???
kwa nini na wewe unakuwa concerned na hayo majina badala ya main issues,ujinga ujinga huu wa kujadili vitu vidogo,vidogo visivo na msingi ndio unaotufanya Tanzania tutofautiane na raia wenzetu wa nchi nyengine.BTW ,YES hatoi hela mfukoni kwake na hakuna kiongozi yeyote anayetoa hela mfukoni mwake BUT its all about Usimamizi(kwa hili anahitaji credit japo najua utapinga)
 
CCM, maximum level of corruption and lowest level of service delivery_/
 
Back
Top Bottom