Magufuli ni mungu

Magufuli ni mungu

Dr Magufuli ni kama mungu mdogo yaani kwenye psychology wanasema ni miniature God maana tamko lake lina nguvu. Alitamka kuwa madawati yametengenezwa kwa muda mfupi na ongezeko la mishahara imewezekana, pamoja na kuwa kila mfanyakazi wa umma hujaza mkataba ambao hutamka ya kuwa kila July kutakuwa na ongezeko la mshahara yaani (increments) ila yeye kavunja huo mkataba.

Je kuna mahali anaweza kushitakiwa?
Magufuli siyo MUNGU.
Na Hafanani na MUNGU.
Na Siyo kama MUNGU.

Kwa imani ya dini yangu vitabu vinasema MUNGU Hafananishwi na chochote.
 
Dr Magufuli ni kama mungu mdogo yaani kwenye psychology wanasema ni miniature God maana tamko lake lina nguvu. Alitamka kuwa madawati yametengenezwa kwa muda mfupi na ongezeko la mishahara imewezekana, pamoja na kuwa kila mfanyakazi wa umma hujaza mkataba ambao hutamka ya kuwa kila July kutakuwa na ongezeko la mshahara yaani (increments) ila yeye kavunja huo mkataba.

Je kuna mahali anaweza kushitakiwa?
Ameshavunja sheria nyingi... Hii sio ya kwanza.. Ye c ndo kijigodi uchwara..
 
Kweli watanzania wengi hawapendi kusoma, wanajifanya wanaimani sana wakati vibanda vya waganga wa kienyeji vipo kibao kiashiria kuwa washirikina ni wengi au ndio namtegemea Mungu kumbe kifuani chale kibao ...
 
Halafu muache kumfananisha Mungu na vitu vya ajabu ajabu na wahuni wahuni... Mfyuuuuuu
haaaaahaaaaa
Aly5p.gif
 
Dr Magufuli ni kama mungu mdogo yaani kwenye psychology wanasema ni miniature God maana tamko lake lina nguvu. Alitamka kuwa madawati yametengenezwa kwa muda mfupi na ongezeko la mishahara imewezekana, pamoja na kuwa kila mfanyakazi wa umma hujaza mkataba ambao hutamka ya kuwa kila July kutakuwa na ongezeko la mshahara yaani (increments) ila yeye kavunja huo mkataba.

Je kuna mahali anaweza kushitakiwa?

oppress & bogus

MAGUFURI MUNGU

mi nilikua nawacheka wasambaa wa tanga kumbe sio peke yao hata humu wapo vitengo kama wewe
 
Jaman mbona mnataka kuliletea taifa mikosi na laana nyie watu
 
shindwa nonesense!Anaepigiwa magoti ni Mungu tu!Huna haya hata kuandika hivyo!!!!!!!kweli mmepigika kila kitu ni yes sir poor you!!
Mamchu## Unamatatizo kwenye mfumo wa faham
 
Back
Top Bottom