92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,425
- 17,063
Kila mtu ana namna ya kipekee ya kupokea matendo aliofanya mtu mwingine hivyo kwenye ulimwengu huu.
Usipoteze muda wako kuwaza anachofanya au kutendewa mtu mwingine ima yu hai au amefariki. Sote tunajua marehemu hasemewi vibaya hata kama alikua jambazi au hata mchawi huwez kuta anaongelewa vibaya ni kukosa malezi tu kunatusumbua japo kua kila mmoja wetu ana namna yake ya kupokea jambo na kulitafsiri kwenye kili yake.
Tungekua tuna akili sisi sio watu w akukaa kungalia mazuri na mabaya ya kiongozi sisii tungetakiwa tusimamie tupate haki zetu kama wananchi tutendewe yale yanayoendana na tulipo sasa hivi ila wengi wetu tunajua kuponda na kuwa machawa.
Usipoteze muda wako kuwaza anachofanya au kutendewa mtu mwingine ima yu hai au amefariki. Sote tunajua marehemu hasemewi vibaya hata kama alikua jambazi au hata mchawi huwez kuta anaongelewa vibaya ni kukosa malezi tu kunatusumbua japo kua kila mmoja wetu ana namna yake ya kupokea jambo na kulitafsiri kwenye kili yake.
Tungekua tuna akili sisi sio watu w akukaa kungalia mazuri na mabaya ya kiongozi sisii tungetakiwa tusimamie tupate haki zetu kama wananchi tutendewe yale yanayoendana na tulipo sasa hivi ila wengi wetu tunajua kuponda na kuwa machawa.

