Magufuli ni kweli amekosa watetezi?

Magufuli ni kweli amekosa watetezi?

Utumbo mtupu, hao waliokuwepo kabla yake waliwaheshimu hao wazee? Waliifikisha nchi hii wapi?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hii nchi unajua ilikotoka?

Au umeshakula zako michembe hapo umevimbilwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Nyanonko na usubiri mnyooshwe si Mmezoea kunyonga kuchinja utawezaje?

Kaulize wenzio Wazee huwa wanaheshimiaje?

Hii nchi aliirudisha nyuma tu kiuchumi ila hakuwa na jipya.

Siku niyingine jifunze kujibu hoja kistaraabu
 
Ipo siku nasi tutakufa historia NI mwl mzuri Sana nawe unaandika yako
 
Back
Top Bottom