Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Na yeye magufuli mwacheni akauwe wazanzibar haina tatizo hakuanza yeye lakini ukweli upo ni nani alie mkamata makamo mwenyekiti wa tume mbele ya waangalizi wa kimataifa c jeshi ili asiendelee kutangaza matokeo hapo pana tume huru naona kama anajichanganya ngojeeni tu mtajua baadae kama jamaa hafai mlimsifia kikwete Leo mnasema kakuta uoza wabongo mbakua mnasahau kama kuku baadae mtakuja kusema dunia inatucheka tunayaacha ya kwetu yametushinda tunajipeleka ya Burundi kusuluhisha ni aibu na fedheha anajitia kiburi wakati nchi masikini
 
Ofcourse you can backtrack, flip-flop and backpedal on every single issue. It's up to you.
The Greatest Love of All, is learning to love yourself, and kujiappreciate mwenyewe, kuwa satisfied na jinsi ulivyo au chochote ulichonacho, regardless wengine wanakuonaje!. Ulifanikiwa katika hili, utakuwa bold, you can speak out your mind bila kujikomba komba kwa mtu, bila kumuogopa mtu, bila kumuofend mtu bali nguzo yako kuu ni "to speak the truth no matter what". Hiki ndicho ninachokifanya humu jf wakati wote!.

Pasco
 
1. Hakuna tatizo kwa Zanzibar kudai haki yao kama nchi kamili, ila ili liwezekane hatua ya kwanza ni kwa Zanzibar kudai kuwa nchi, ndipo ije idai hizo haki zake!, kwa sasa Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT yenye mamlaka yake ya ndani ikiwemo ZEC!, hivyo Zanzibar as it is and as of now ni subject wa JMT until otherwise!.
2. Haki yao ya kufanya uamuzi haijachukuliwa na bara, imechuliwa na ZEC, hiyo ZEC ni yao, ilichokifanya ZEC wamekikubali ndio maana wametulia, wasingekubali wangechukua hatua!. Hili la Warioba hapa sipo pake!.
3. Tanzania haikalii Zanzibar kimabavu, bali ukiishakubali kuingia kwenye mahusiano ya kindoa, unapaswa kuheshimu mapatano ya ndoa na kuiheshimu ndoa. Wako wanandoa wengi wanawatamani watu baki, ukiishajicomit kwenye ndoa, yuo in for it. Muungano wetu ni kama ndoa ya Katoliki, once in, you in for good till death do you apart!. Hati za muungano ziliweka namna tuu ya kuingia kwenye muungano hakuna namna ya kutoka!, huu muungano wetu ni wa milele, hakuna wa kuuvunja wala jinsi ya kuuvunja!.
4. Sisi Watanzania, wakiwemo Wazanzibari ambao ni sehemu ya JMT!. HESHIMA, ADABU, AMANI NA UTULIVU!, atakayeleta fyoko fyoko cha moto atakiona!, au atakipata!, ikibidi hata zile 'za moto' zitafyatuliwa na kupenyeza miili ya waleta fyoko kuwashikisha adabu!.
5. Kudai haki sio kukosa adabu au heshima, tena haki inapaswa kudaiwa, kwa sababu hailetwi kwenye kikombe cha chai, ila hiyo haki inatakiwa kudaiwa kwenye heshima, adabu, amani na utulivu, kudai huko haki kusitishie amani na utulivu uliopo kutahesabiwa ni fyoko fyoko na kutushughulikiwa kikamilifu!. Haki ya kweli inadaiwa kupitia vyoto vya utoaji haki!.
6. Manyerere ni mwandishi nguli, na mimi namkubali sana, ila mapito yake ni tofauti kabisa na mapito yangu, hivyo kamwe siwezi kutaka kusafiia nyota yake au nyota ya mtu mwingine yeyote!, hapa nilipo tuu nyota yangu imenielemea, hivyo hiyo ya mwingine nitaiwekea wapi ili nisafiie?!.
7. Kama umelitambua hili la katiba inaweza kumfanya ais wetu kuwa dikteta wa ajabu, na Magufuli ni dikteta by nature, kama nayo inamuongezea huo udikiteta, tuungane kuwasihi wenzetu Wanzanzibari wasilete fyoko fyoko, chamoto watakipata!.

Pasco


Nimeona nirudia hii namba 3. Watu wote waisome kwa kuirudia rudi hasa ndugu zangu wa huko visiwani.
. Tanzania haikalii Zanzibar kimabavu, bali ukiishakubali kuingia kwenye mahusiano ya kindoa, unapaswakuheshimu mapatano ya ndoa na kuiheshimu ndoa. Wako wanandoa wengi wanawatamani watu baki, ukiishajicomit kwenye ndoa, yuo in for it. Muungano wetu ni kama ndoa ya Katoliki, once in, you in for good till death do you apart!. Hati za muungano ziliweka namna tuu ya kuingia kwenye muungano hakuna namna ya kutoka!, huu muungano wetu ni wa milele, hakuna wa kuuvunja wala jinsi ya kuuvunja!.
 
Tufanye hivi kwenye hii risala yako sijaiona ni wapi umejibu maswali yangu zaidi ya kuendeshwa na mihemko

Eti Muungano ni kama ndoa hivyo unapaswa kuheshimu mapatano ya ndoa ,kwa hiyo kama baba ni mfiraji mama aendelee kuvumilia kuoza sehemu zake za nyuma ??kwa sababu wapo kwenye ndoa ?? Anyway uwe na siku njema
Ndoa ni mapatano, yenye malengo, majukumu na wajibu, jee kitendo hicho ni sehemu ya mapatano ya ndoa?!, kwa nchi zinazokubali ndoa za tendo hilo, wewe mwanamke ukibali kwa idhaa yako kuingia kwenye ndoa ya tendo hilo, then lazima ulitimize!.

Zanzibar ilikubali kwa ridhaa yake kuingia kwenye ndoa ya muungano huu, hivyo lazima itimize majukumu ya ndoa, itake isitake!.

Pasco
 
CCM hawana uwezo wa kupambana na nguvu ya umma.


Wanaamini kuwa wana wana Silaha za kutosha, Wana magari ya Upupu, Wana polisi na wanaJeshi wengi...

Wanapaswa kutambua kuwa hawataweza kuzuia nguvu ya umma...
CCM bara wananufaika na kile CCM Zanzibar wanachokifanya, kwamba historia yao imeanza mbali Magufuli hawezi na hana ubavu wa kutatua hilo.

Mkwere anajua mengi sana na ana uwezo wa kutatua mzozo huu ingawa kwa sasa mmechelewa, tatizo ni dharau dhidi yake yeye ndiye mwenye chama kwa sasa na ndiye mwenye serikali ya mapinduzi yeye ndiye anajua hasa nini kilichomo ndani ya maridhiano ya siri ya Seif na Amani.

Muda wa Seif umekwisha kwa sasa CCM wameishika katiba vilivyo wanafuata inavyosema hakuna namna na hakuna Taifa litakalokua tayari kukanyaga Katiba ya nchi hii, wakati wa Seif kushawishi mataifa kuweka vikwazo kama huko nyuma, Ben alishalimaliza hilo ingawa ukweli unauma.
 
Kuna watu wa aina tatu, wanaojielewa, wasio jielewa, na wapo wapo tuu, kwenye kujielewa hawapo, kwenye kutokujielewa hawapo, wao wapo wapo tuu!.

Wanaojielewa!. Hawa ni watu wakweli daima. Walikuwa na Lowassa wakati wa uchaguzi. Uchaguzi umekwisha, aliyetangazwa mshindi ni Magufuli, haijalishi kama ameshinda kihalali, au kwa mbunu za bao la mkono, ila the end justfy the means, Magufuli ndie ais wetu na this is a fact, ndio ukweli halisi, Magufuli ndie rais wa waliomchagua, ndie rais wa wasio mchagua na ndio rais wa wote hata ambao hawakupiga kura!. Magufuli ndie rais wa Lowassa, ndio ais wa Chadema ndie rais wa nchi, hivyo wakweli wote hili wanalielewa hata Lowassa mwenyewe anaelewa Magufuli ndie rais wake!.

Kama na wewe ni mtu unaejielewa utanielewa, kama uko kundi la wasio jielewa hutanielewa na ukiwa ni kundi la wale ambao wapo wapo tuu, kwenye thread zangu utaona giza tupu!.

Pasco
Ni kwamba, Pasco uko huru kifikra na kimawazo,hufungwi na chama wala si mtumwa wa mtu. Mkuki unauita mkuki na si mshale!
Na inahitaji kusoma mara mbili mbili kuelewa unachomaanisha!
 
pasco unashuka mistari ya hatari, kula like zangu kama 1000000000000000000000000000000000000000 mkuu
 
Wanabodi,

Angalizo. Neno Dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tikisema Magufuli ni Dikiteta, hatumaanishi ni Dikiteta Mbaya kama Hitler!, no way, Magufuli ni Dikiteta mwema anayeitwa Benovelent Dictator!. Tanzania hapa tulipofika, tunamuhitaji mtu kama huyu ili mambo yaende!.

Kwanza watu wengi hawajua kuwa Magufuli anaweza kuja rais wetu wa awamu ya tano, akina sisi, hili tuliliona tangu mwezi August mwaka 2014 na tukalisema humu japo watu hawakulitilia maanani lakini limekuja kutokea, Magufuli sasa ndio rais wetu!. Hata baada ya Magufuli kuwa rais, bado kuna baadhi ya wenzetu wanaamini Magufuli amekuwa rais wetu kwa bahati tuu!, sisi waumini wa everything happens for a reason, tunaamini kunayo sababu kwa nini ni Magufuli, na nimeieleza humu!. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 ni John Pombe Magufuli!.

Mchakato wa kumtafuta mgombea kupitia CCM ulipoanza, nikawachambua wagombea wote wa CCM, na miongoni mwa vigezo vyangu, hili la udikiteta pia nililisemea!.
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na kumtoa Rais wa 5 wa Tanzania!.

Baada ya kuchaguli kwa Magufuli kuhusu udikiteta wake nilisema hivi.
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki
.

Kwenye suala la Zanzibar, mara kibao tumewauliza CUF kwa nini wanapiga tuu kelele bila kuchukua hatua?!.
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchuku hatua!.
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima .
Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar?.

Kuhusu kususa kwa CUF kushiiki uchaguzi wa marudio Zanzibar, nilisema CUF wasitake kutisha watu kuhusu amani na utulivu wa Zanzibar, kwa sababu Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT, hivyo amani na utulivu wa visiwa hivyo, sio jukumu la Wanzanzibar wenyewe pekee, bali ni jukumu la JMT na mwenye dhamana ya amani na utulivu wa nchi hii ni Amiri Jeshi Mkuu, wa vikosi vya ulinzi na usalama wa nchi hii. Jana ameonya mtu yoyote atakayeleta fyoko fyoko atashikishwa adabu!. Hivyo CUF mshirriki uchaguzi, au msishiriki, uamuzi ni wenu, tunachotaka sisi ni heshima, adabu, amani na utulivu, vinginevyo mtaisoma hii namba!.

Jumapili Njema.

Pasco
Sijakuelewa Mkuu,
Kwa hiyo umeamua kutuwekea summary ya post zako tuzisome?
Hizi Postst ziko tu huku kwenye server za JF, tukizihitaji tutazitafuta tu
 
Ndoa ni mapatano, yenye malengo, majukumu na wajibu, jee kitendo hicho ni sehemu ya mapatano ya ndoa?!, kwa nchi zinazokubali ndoa za tendo hilo, wewe mwanamke ukibali kwa idhaa yako kuingia kwenye ndoa ya tendo hilo, then lazima ulitimize!.

Zanzibar ilikubali kwa ridhaa yake kuingia kwenye ndoa ya muungano huu, hivyo lazima itimize majukumu ya ndoa, itake isitake!.

Pasco
Kwa hiyo wewe ndie una classified information zikionyesha Zanzibar ilikubali kwa hiyari yake kuingia kwenye Muungano hebu tusaidie sisi tusio na access ya hizo info huenda tukaelewa, kulitokea nini Mzee Karume aliposema Muungano ni kama koti ,ikitokea kukubana unalivua tu ??
Kwa mfano wako wa ndoa ,ni ndoa zote zinakua za maridhiano au ??
Unapo chaguliwa mume/ mke na baba yako ,ndoa haitafungwa kwa sababu hujaridhia ?? Na ikifungwa bila wewe kuridhia nyumba hiyo itakua na amani ???
 
Pasco watu wengi hawakuelewi kwa sababu unasema ama kile ambacho hawataki kukisikia ni wachache wanapenda kuambiwa ukweli
Ukisema madhaifu ya Chadema watu wa chadema watakurukia binafsi badala ya kuangalia ukweli wa hoja zako na hivyo hivyo ukigeukia ccm watakusema wewe ni chadema au ukawa ningefurahi kama kila chama kabla ya kugawa kadi za wanachama kingekuwa kinawapa au kuwafundisha wanaotaka uanachama wa vyama hivyo kwani humu wengi wamejaa ushabiki tu
 
We
Kuna watu wa aina tatu, wanaojielewa, wasio jielewa, na wapo wapo tuu, kwenye kujielewa hawapo, kwenye kutokujielewa hawapo, wao wapo wapo tuu!.

Wanaojielewa!. Hawa ni watu wakweli daima. Walikuwa na Lowassa wakati wa uchaguzi. Uchaguzi umekwisha, aliyetangazwa mshindi ni Magufuli, haijalishi kama ameshinda kihalali, au kwa mbunu za bao la mkono, ila the end justfy the means, Magufuli ndie ais wetu na this is a fact, ndio ukweli halisi, Magufuli ndie rais wa waliomchagua, ndie rais wa wasio mchagua na ndio rais wa wote hata ambao hawakupiga kura!. Magufuli ndie rais wa Lowassa, ndio ais wa Chadema ndie rais wa nchi, hivyo wakweli wote hili wanalielewa hata Lowassa mwenyewe anaelewa Magufuli ndie rais wake!.

Kama na wewe ni mtu unaejielewa utanielewa, kama uko kundi la wasio jielewa hutanielewa na ukiwa ni kundi la wale ambao wapo wapo tuu, kwenye thread zangu utaona giza tupu!.

Pasco
Wewe upoupo tu kwa lowassa huonekani kwa magufuli hueleweki. Mengine porojo tu
 

Acha kuandika pumba kwani nini Majeshi yetu yakaue watu wasio kuwa na hatia?
Vyombo vyetu vya usalama viko kwa ajili ya kulinda usalama wetu hivyo yoyte yule atakayedhurika ni kwamba hakutii Sheria za nchi yetu ni rahisi kihivyo tu, ikitokea kweli kwamba kuna mtu hatii sheria basi ni lazima vyombo vitamshughulikia lkn ukiwa raia mwema hakuna wa kukugusa!

"Raia mwema"??? Muktadha wako wa raia mwema haueleweki! Ukiunga mkono CCM raia mwema ukipinga CCM Wewe raia mbaya???
 
Pasco upo ndugu yetu??? Ndio hivyo tena Rais ni JPM twende kwa usalama... Mh JPM ongeza nguvu majela hayana watu na kuna roho zinahitaji kutoka, wapumbavu wanatakiwa kufa sasa na wale nusu wapumbavu wanatakiwa waingie kwenye majela yetu kule maweni na kitele.
 
Back
Top Bottom