Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!



Kwa maoni yangu, Maalim Seif anahitaji kushauriwa!.
1. Huwezi kumlaumu Rais wa JMT, Dr. John Pombe Joseph Magufuli kuwa ndiye aliyetoa maagizo wagombea wote wa ACT wazalendo wawekewe mapingamizi!. Akitakiwa kuthibitisha hili atafanya nini?.
2. Huwezi kuwataja hadharani maofisa wa TISS kuwa ndio wasimamizi. Kama mtu sio TISS anawezaje kuwajua ma TISS?.
3. Na kama kweli wasimamizi wote wa uchaguzi Pemba ni ma TISS, kuwataja ni ma TISS ni kosa la jinai kinyume cha sheria ya usalama wa taifa.
4. Maalim Seif amewaasa wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima kuwa sasa basi, imetosha!, wanataka kumtisha nani?. Yaani wanataka kufanya nini?!.

Naomba kuwakumbusha Maalim Seif na wafuasi wake kuhusu bandiko hili.

Msije kusema hamkuambiwa!.

P
 
JPM the towering pillar of African renaissance

That is why October the 28th, is not only an election day for Tanzania, more important, it’s the day to decide the position of Africa in the world and the choice between economic liberation and captivity.

That is why October the 28th, is not only an election day for Tanzania, more important, it’s the day to decide the position of Africa in the world and the choice between economic liberation and captivity.

Tanzanians, in the same way you used to be the reliable rear base for the liberation struggles, you are once again holding the key for African emancipation from economic captivity, vote wisely, vote Magufuli for the bright future of Africa.
Mkuu Alex Fredrick, thanks for this, nikipata muda nitaitafsiri na kuwaambia Watanzania umuhimu wa kura yao ya ndio kwa Magufuli una maana gani kwa bara la Africa na dunia kwa jumla.
Magufuli ni rais wa Africa ni rais wa Dunia in a special way!.
Tarehe 28 October, Watanzania tusifanye makosa, ni kuwahi asubuhi na mapema ni Magufuli tuu, Mitano Tena.
P
 
🤣 🤣🤣🤣Kwa hiyo sasa hutaki tena kukumbuka jinsi ulivyokuwa unajitahidi kuupaka rangi UDIKTETA ili sio tu kuupendezesha bali pia kuweka mzingira ya 'kutosahauliwa'?. Kama ni kweli basi ninakutakia heri ingawaje itabidi kukuangalia kidogo kabla sijakuamini.
Mkuu ostrichegg , sina uhakika, lakini humu jf, sidhani kama kuna member mwingine yoyote aliyeuzungumzia udikiteta kama mimi!.
Karibu pande hizi.
P
 
Wanabodi,

Angalizo. Neno dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tukisema Rais Magufuli ni dikiteta, hatumaanishi ni dikiteta katili kama Hitler, Musolini, au Iddi Amini, no way, Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benevolent Dictator!, kama Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri, hivyo Tanzania pia sio nchi masikini, tuko kwenye umasikini huu kwa sababu tulikosa mtu imara wa kutuongoza, hivyo hapa tulipofika, ili Tanzania tutoke kwenye umasikini huu, tunamuhitaji mtu kama huyu Magufuli ili mambo yaende!.

Siku zote Watanzania tumekuwa tukilia kuhusu utajiri mkubwa wa rasilimali na maliasili za nchi yetu tulizobarikiwa nazo, lakini nchi yetu kuendelea kuwa ni nchi masikini huku Watanzania tukiishi kwenye lindi la umasikini uliotopea hivyo tukamlilia Mungu atupatie mkombozi wa kutuokoa na kuliokoa taifa letu.

Hatimaye Mungu kasikia kilio chetu akatupatia mkombozi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kuja kutukomboa na kulikomboa taifa letu Tanzania, kutoka kwenye lindi hili la umasikini uliotopea na kuligeuza taifa letu kuwa nchi ya neema, Tanzania ya viwanda, Tanzania tajiri, a donor country, nchi ya ahadi, mabomba nchi nzima yatatoa maziwa na asali.

Jumapili Njema.

Paskali
Leo Machi 17 ambayo ni Magufuli Day, nadurusu baadhi ya mabandiko yangu humu kumhusu JPM huku nikitafakari, if I was right or I was wrong.
Kwa vile kila zama na zama zake, Pumzika kwa Amani Magufuli wetu huko ulipo.
RIP JPM
Paskali.
 
Ukisoma huu uzi huu ndio utagunduwa udikteta wa Magufuli, yani mpaka waandishi ilibidi waandike kwa mafumbo kumkosowa dikteta dhalimu.
Mimi nilikuwa ni mkosoaji wa constructive criticism, kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa na kushauri.
JPM hakuwa dicteta dhalimu, alikuwa ni a benevolent one


P
 
🐒🐒🐒
20220409142523.jpg
 
Mimi nilikuwa ni mkosoaji wa constructive criticism, kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa na kushauri.
JPM hakuwa dicteta dhalimu, alikuwa ni a benevolent one


P
Mbona unapiga u-turn Sasa
 
Mbona unapiga u-turn Sasa
emoji848.png
Umesoma bandiko?.
Wanabodi,

Angalizo. Neno dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tukisema Rais Magufuli ni dikiteta, hatumaanishi ni dikiteta katili kama Hitler, Musolini, au Iddi Amini, no way, Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benovelent Dictator!, kama Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri, hivyo Tanzania pia sio nchi masikini, tuko kwenye umasikini huu kwa sababu tulikosa mtu imara wa kutuongoza, hivyo hapa tulipofika, ili Tanzania tutoke kwenye umasikini huu, tunamuhitaji mtu kama huyu Magufuli ili mambo yaende!.


Paskali
Kuna U-turn wapi?.
 
Wanabodi,.

Kwa vile muasisi wa taifa hili, Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kutoa unabii kuhusu udikiteta Tanzania, na inawezekana, ujio wa Magufuli ni kutimia kwa maneno ya unabii huu, lakini kitu ambacho Mwalimu hakikujua wakati akitoa unabii huo ni kuwa hakujua Tanzania tutafikia mahali, tukamuhitaji kiongozi dikiteta!.

Jumapili Njema.

Paskali

Kitu pekee Mayalla ulicho nacho , wewe ni storyteller , Na unajua ku flow na upepo. Sitegemei kama ungeweza kutamka kuwa JPM is a dictator wakati wa Uhai wake
JF is very interactive social forum, people always, came and go!, kila siku kuna members wapya, hivyo kwa faida yako, angalia tarehe za hoja hizi ujue kama zilipandishwa akiwa hai au amelala!
P
 
Wanabodi,

Angalizo. Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benovelent Dictator!, kama Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri.

Paskali
Bwana Pascali, Tanzania inahitaji series of good dictators wenye uzalendo na ndoto yakuiona kesho bora na kuacha heshima nyuma ambao hawatasita kuua na kupoteza wajinga wengie wanaokwamisha kesho ya Tanzania.
Hawa good dictators wenye maono hawaji kupitia mifumo hii ya sheria na katiba bali huzuka kupitia chances zinazojitokeza kwenye mivurugano ya kisiasa.
Mkuu Nangu Nyau, hiki ndicho nilichokisema kwenye uzi huu.
P
 
Back
Top Bottom