Magufuli na Trump wanavyofanana

Magufuli na Trump wanavyofanana

Mkuu Dr.Magufuli alipga advance, na alipasua vizuri kipindi hicho chuo ni udsm tu
Na alifanikiwa kwenda udsm
aliyefeli form four akaenda ualimu mkwawa Nani atashindwa kumwelewa
 
Kweli kabisa kama mtu na mdogo wake
 
100% uko sawa nakuunga mkono.
8. Wote majasiri wa maneno na waoga wa koona.
9 Wote wanafanyia kazi kwenye makazi yako binafsi kipindi hiki cha koona.
10. Wote hawatoi updates za koona
11. Wote hawajatenga bajet kwa ajili ya koona.
12. Wote wanaamini katika maombi na kujifukizia.
 
Na yule rais wa Brazili naye akili ni hizohizo. Tena afadhali hata Trump kidogo. Huyu wa Brazil (sijui anaitwa Bossonaro) aliulizwa anaonaje watu wanavyokufa kwa corona, akasema "mnataka niwafufue"
 
Na yule rais wa Brazili naye akili ni hizohizo. Tena afadhali hata Trump kidogo. Huyu wa Brazil (sijui anaitwa Bossonaro) aliulizwa anaonaje watu wanavyokufa kwa corona, akasema "mnataka niwafufue"
Wa Brazil ni mental case ..kubwa zaidi..kuliko Trump
Magufuli nafuu..
 
Back
Top Bottom