The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
1. Wote hupenda kutupia lawama Kwa waliowatangulia Ikulu.
Kikwete na Obama.
2. Wote walijitapa kujiandaa na janga la Corona..vizuri na matokeo ni kinyume..
3. Wote waliudharau ugonjwa Kwa kuuita ni mafua tu..
4. Wote hawapendi lockdown..Trump hadi anabishana na Magavana wake
5. Wote wanatifautiana na watu wa chini yao jinsi ya kupambana na Corona..
6. Wote wanajali uchumi zaidi kuliko lockdown .
7. Wote Wana face uchaguzi mwaka huu na wote wanahofia hili la Corona kugeuka agenda kwenye uchaguzi..
8....
9...
Kwenye hili la Corona naona Magufuli na Trump Baba mmoja mama mmoja, tofauti ni ukubwa tu wa nchi zao na aina ya freedom of speech kwa kila nchi.
Kikwete na Obama.
2. Wote walijitapa kujiandaa na janga la Corona..vizuri na matokeo ni kinyume..
3. Wote waliudharau ugonjwa Kwa kuuita ni mafua tu..
4. Wote hawapendi lockdown..Trump hadi anabishana na Magavana wake
5. Wote wanatifautiana na watu wa chini yao jinsi ya kupambana na Corona..
6. Wote wanajali uchumi zaidi kuliko lockdown .
7. Wote Wana face uchaguzi mwaka huu na wote wanahofia hili la Corona kugeuka agenda kwenye uchaguzi..
8....
9...
Kwenye hili la Corona naona Magufuli na Trump Baba mmoja mama mmoja, tofauti ni ukubwa tu wa nchi zao na aina ya freedom of speech kwa kila nchi.