Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
- Thread starter
- #41
...huwa najiuliza wabongo walilogwa na nani!1...kwamba hata maua waje wazungu TZ kuzalisha na kuuza kwa dola nje...yani TZ kila kitu ukigusa ni pesa...huko SUA kila kukicha wana graduate watu wa horticulture....sasa sijui huwa wanaishia wapi???...yani arusha na moshi yote ni rutuba tupu ya maua na mboga...hadi mbinga ni hivyo lakini mabonde mengi yameishia kulisha mifugo na misitu isiyozalisha....alafu watu wanalialia wazungu wakija kuchukua madini kwetu!...nchi imejaa ardhi tele yenye rutuba...madini....maji....gesi..samaki...wanyama.....ngo'mbe....kuku...mbuzi...kondoo....nguruwe...n.k n.k..yoote hiyo ni pesa tu...lakini wabongo hawachoki kulialia....kama watu wamelala waacheni wazungu watuvune...maana hii nchi ilishageuzwa shamba la bibi na watawala waliopita...
Wewe hauna akili, kama unafikiri ni rahisi kulima maua na kupata soko Ulaya la kuuza maua ni kazi rahisi basi nenda ukachukuwe hao wahitimu wako wa SUA muende Njombe mkalime maua halafu mpeleke kwenye soko la Maua Amsterdam mkauze, kwani mmekatazwa na nani? Benki za kuwakopesha zipo, ardhi ipo, Viwanja vya ndege vipo nendeni mkalime!