Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,941
- 157,257
Ndg yangu unatetea mzungu wa maua? Hawa wakulima wa maua WANATAKIWA kufukuzwa kwa sababu hizi;
Wanalipa mshahara mdogo kati ya 100,000 na 150,000/,
Wafanyakazi karibu wote wanaathirika na dawa hadi wengine kupata tb na kufariki ni pamoja na majirani wengi weathirika sana, mfano kitongoji cha magadirisho usa river wengi wanafariki kwa tb kutokana na shamba la lolionndo.
Sababu nyingine maeneo jirani huwa mvua hazinyeshi sawa na maeneo mengine kwani inasadikika hawa jamaa hurusha mabom juu sana hasa isiku na kuitawanya mvua..watu wanaoishi jiran na mashamba haya wanaweza kuthibitisha
Wanalipa mshahara mdogo kati ya 100,000 na 150,000/,
Wafanyakazi karibu wote wanaathirika na dawa hadi wengine kupata tb na kufariki ni pamoja na majirani wengi weathirika sana, mfano kitongoji cha magadirisho usa river wengi wanafariki kwa tb kutokana na shamba la lolionndo.
Sababu nyingine maeneo jirani huwa mvua hazinyeshi sawa na maeneo mengine kwani inasadikika hawa jamaa hurusha mabom juu sana hasa isiku na kuitawanya mvua..watu wanaoishi jiran na mashamba haya wanaweza kuthibitisha