Madaraja yatajenga Sana tu ndio njia ya kustawi hiyo....bado la kutokea Dar hadi Zanzibar tuwe tunajogging hadi ZenjiπMeko ni lazima akae pembeni na madaraja yake.
Watanzania wanahitaji ustawi katika maisha yao ya kila siku sio madaraja pekee ambayo hayamfanyi mtu ashibe.
Mbona huku mtaani madiwani Wa ccm walioshinda uchaguzi wakipita kusherekea ushindi badala ya kushangiliwa wanazomewa ki style Fulani hivi.sioni tena wakisherekea ushindi.Ndio ukweli huo, mtu apende ama asipende Ila ndo hivyo. Tofauti na wagombea wengine, JPM ataendelea kuwa Rais hadi 2025.
Sababu za kumpa ushindi ni nyingi wala hazihesabiki, akianguka sana ni amepata robo tatu(75%) ya kura zote. Kwa hiyo ni uamuzi wa wapiga kura kuweka kura zao kwenye kapu la ushindi ama kuzitoa kafara.
Kuhusu wapinzani, kwanza watambue hamasa yao mitandaoni hailandani na uhalisia wa mitaani. Pili wasikate tamaa maana uchaguzi ni haki yao. Tatu, wawe tayari kukubali na kusaini karatasi za matokeo.
Kwa wale wanaopingana na huu uzi niwasihi wazitunze comments zao hadi mwezi November.
View attachment 1538043
Njia nzuri ya kuwazomea walioshinda kihuni ni kufuata anayoyasema mshindi halali, nje ya hapo ni makelele!Mbona huku mtaani madiwani Wa ccm walioshinda uchaguzi wakipita kusherekea ushindi badala ya kushangiliwa wanazomewa ki style Fulani hivi.sioni tena wakisherekea ushindi.
Kwa hii miaka mitano ijayo?,labda akawalambe miguu mabeberu.Ila kama ni wachina tutashindwa kuwalipa watatunyan,ganya nchi.Madaraja yatajenga Sana tu ndio njia ya kustawi hiyo....bado la kutokea Dar hadi Zanzibar tuwe tunajogging hadi Zenjiπ
Lingine ni la Kigoma hadi Goma DRC....kuwa na subira mkuu utayaona.
Hahaha kama jana tuUmejiandaaje kuongozwa na Magufuli kwa miaka 35 ijayo?π π π