mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,972
Ni vile katiba hairuhusu mgombea binafsi lakini Lowassa baada ya kukatwa na CCM asingekwenda UKAWA angegombea kama mgombea binafsi. JPM ni mgombea binafsi aliyewahadaa CCM wakadhani na wachache wanadhani ni mwenzao.
Wahafidhina wa CCM mpaka leo wanajuta kupitishwa kwa jina lake.kwenye kampeni alikwepa kutamka neno CCM kwa kadri alivyoweza na sasa anakwepa ilani ya CCM, na wafanyabiashara wa CCM kwa kadri anavyoweza.
Kama kuna mtu anadhani JPM yuko upande wa CCM unajidanganya. CCM ilikufa siku Lowassa alipokatwa na JK.J PM akijiuzuru leo serikali itakayokuja itafuata nyayo za JK na watangulizi wake kwani huo ndio utamaduni wao.
Wahafidhina wa CCM mpaka leo wanajuta kupitishwa kwa jina lake.kwenye kampeni alikwepa kutamka neno CCM kwa kadri alivyoweza na sasa anakwepa ilani ya CCM, na wafanyabiashara wa CCM kwa kadri anavyoweza.
Kama kuna mtu anadhani JPM yuko upande wa CCM unajidanganya. CCM ilikufa siku Lowassa alipokatwa na JK.J PM akijiuzuru leo serikali itakayokuja itafuata nyayo za JK na watangulizi wake kwani huo ndio utamaduni wao.