Watu wengi wanafikiri usomi ni kujua lugha ya kigeni hasa Kingereza. Ukikaa ukiwasikiliza wanavyoreason utacheka sanaHiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko
Mkuu post yako umeituma iko very personal.Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.
Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimataifa na lugha ni tatizo na ndio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa Magufuli huku wakinyendea nafasi kama washuri wake akibahatika kuwa rais kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.
Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko? Natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndugu yetu Magufuli.
==================
JK alikuwa akisafiri mkamwita Vasco Da Gama,Magufuli hasafiri mnalalamika acheni UNAFIKI wabongo. Hamnaga jema nyie.Tunatafuta rais wa tz atakayetuwakilisha kimataifa pia. Magufuli ni zero kabisa. 40% ya bajeti yetu inategemea wenye lugha tofauti na kiswahili
aiseeNadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
Usifukue makaburi yatakayosababisha watu watumbuliwe!!aisee
hivi ukipost huwezi futa eh....dah teknolojia hatari sanaUsifukue makaburi yatakayosababisha watu watumbuliwe!!
Unaweza kufuta lakini kama tayari umeshanukuliwa hakuna jinsi ya kufuta kwa yule aliyekunukuu!!hivi ukipost huwezi futa eh....dah teknolojia hatari sana
Sii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweliNimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.
Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimataifa na lugha ni tatizo na ndio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa Magufuli huku wakinyendea nafasi kama washuri wake akibahatika kuwa rais kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.
Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko? Natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndugu yetu Magufuli.
==================
MkuuSii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweli
P
Ni kweli kaka Pascal. Huwanajiuliza, hivi changamoto za wa Tanzania ni Kingereza. After all ukimtoa Mkapa, viongozi wote waliobaki kingereza chao ni cha kusoma hotuba iliyochapishwa kwa font waipendayo.Sii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweli
P
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.Ni kweli kaka Pascal. Huwanajiuliza, hivi changamoto za wa Tanzania ni Kingereza. After all ukimtoa Mkapa, viongozi wote waliobaki kingereza chao ni cha kusoma hotuba iliyochapishwa kwa font waipendayo.
Hao wanaowasifia hebu wawahoji live bila makaratasi mjue kama wanajua kingereza au la! Watu waashe ujinga, yapo mambo makubwa yakujadili sio udaku wa lugha.
Queen Esther
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.Ni kweli kaka Pascal. Huwanajiuliza, hivi changamoto za wa Tanzania ni Kingereza. After all ukimtoa Mkapa, viongozi wote waliobaki kingereza chao ni cha kusoma hotuba iliyochapishwa kwa font waipendayo.
Hao wanaowasifia hebu wawahoji live bila makaratasi mjue kama wanajua kingereza au la! Watu waashe ujinga, yapo mambo makubwa yakujadili sio udaku wa lugha.
Queen Esther
Anakijua hata hicho kiswahili basi??? HaaaTena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.
P.
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.
P.
Mshauri Leo chief maana upo nae jiran kwa sasaNadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
Hello bwana Kitila Mkumbo , jee hizi post zako ukiziona unajisikiaje? hebu tupe uzoefu ili nasi tukiamua 'kuunga mkono juhudi' tujue tutajisikiaje kuwa waongo na wasaliti?Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
Ila we Paschal ndio maana ulipata kura 1Sii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweli
P
Mheshimiwa bado una mtazamo huu juu ya viongozi wenu na weledi ?Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.