Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Mimi huwa ananiboa kwa kuchanganya changanya lugha hata mtoto wa msingi ana nafuu. Wakati mwingine utakuta anazungumzia masuala nyeti ya kitaifa ambapo bibi zetu huko vijijini inabidi waelewe kinachozungumziwa. Nadhani hana watu wa kumshauri au kama wapo wanaogopa kumshauri.
 
Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko
Watu wengi wanafikiri usomi ni kujua lugha ya kigeni hasa Kingereza. Ukikaa ukiwasikiliza wanavyoreason utacheka sana
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimataifa na lugha ni tatizo na ndio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa Magufuli huku wakinyendea nafasi kama washuri wake akibahatika kuwa rais kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.

Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko? Natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndugu yetu Magufuli.

==================
Mkuu post yako umeituma iko very personal.
 
Tunatafuta rais wa tz atakayetuwakilisha kimataifa pia. Magufuli ni zero kabisa. 40% ya bajeti yetu inategemea wenye lugha tofauti na kiswahili
JK alikuwa akisafiri mkamwita Vasco Da Gama,Magufuli hasafiri mnalalamika acheni UNAFIKI wabongo. Hamnaga jema nyie.
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
aisee
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimataifa na lugha ni tatizo na ndio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa Magufuli huku wakinyendea nafasi kama washuri wake akibahatika kuwa rais kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.

Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko? Natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndugu yetu Magufuli.

==================
Sii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweli
P
 
Sii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweli
P
Mkuu
Kuangalia kupitia supersport sio Tatizo...

wakat ule nilipokuwa mdogo shule ya msingi watu walikuwa wanaangalia tamthilia itv au star TV za kingereza halafu asubuhi shuleni unakuta wanahadithia balaa wakt Skul yenyew Saint kayumba tulikuwa tunafunfishwa verb kila siku

Kwani haiwezekani kuwa alikuwa anaangalia vitendo tyuuuuuu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sii kweli rais, Magufuli Kiingereza, hakipandi, Kiingereza kinapanda sana, na ushahidi ni hata mechi ya jana ya Taifa Stars, aliangalia kupitia Super Sport, hivyo hoja kuwa Kiingereza hakipandi sio kweli
P
Ni kweli kaka Pascal. Huwanajiuliza, hivi changamoto za wa Tanzania ni Kingereza. After all ukimtoa Mkapa, viongozi wote waliobaki kingereza chao ni cha kusoma hotuba iliyochapishwa kwa font waipendayo.

Hao wanaowasifia hebu wawahoji live bila makaratasi mjue kama wanajua kingereza au la! Watu waashe ujinga, yapo mambo makubwa yakujadili sio udaku wa lugha.

Queen Esther
 
Ni kweli kaka Pascal. Huwanajiuliza, hivi changamoto za wa Tanzania ni Kingereza. After all ukimtoa Mkapa, viongozi wote waliobaki kingereza chao ni cha kusoma hotuba iliyochapishwa kwa font waipendayo.

Hao wanaowasifia hebu wawahoji live bila makaratasi mjue kama wanajua kingereza au la! Watu waashe ujinga, yapo mambo makubwa yakujadili sio udaku wa lugha.

Queen Esther
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.
P.
 
Ni kweli kaka Pascal. Huwanajiuliza, hivi changamoto za wa Tanzania ni Kingereza. After all ukimtoa Mkapa, viongozi wote waliobaki kingereza chao ni cha kusoma hotuba iliyochapishwa kwa font waipendayo.

Hao wanaowasifia hebu wawahoji live bila makaratasi mjue kama wanajua kingereza au la! Watu waashe ujinga, yapo mambo makubwa yakujadili sio udaku wa lugha.

Queen Esther
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.
P.
 
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.
P.
Anakijua hata hicho kiswahili basi??? Haaa

Swiss Me


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena wote wanaoamini uzushi huu kuwa lugha ya Kiingezeza ni tatizo, hawaelewi kuwa kuna Kiingezeza cha kuandika na cha kuongea. Mtu aliyefanya thesis yake ya Ph.D kwa Kiingezeza, akai defend kwenye jopo la wasomi, na ikapita, hawezi kuwa hajui Kiingezeza, ila linapokuja suala la Kiingezeza cha kuongea sio hoja, mtu kushindwa kuongea lugha ya watu wengine kwa ufasaha sio issue wala kuongea Kiingezeza kwa intonation ya Kisukuma haina tatizo lolote, nimehudhuria UN GA Kipindi cha Mkapa na JK, maraisi wa nchi zao wanahutubia UN GA kwa lugha zao na hotuba zao zinafasiriwa na wakalimani kwa zile lugha 4 za UN, hivyo ningependa kumsikia Rais Magufuli akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Lugha ya Kiswahili.
P.


Usiongee kabisa swala la Ph.D ya huyu kiumbe, nasema ACHAAAA. imewa'kosti' watu humu.
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
Mshauri Leo chief maana upo nae jiran kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
Hello bwana Kitila Mkumbo , jee hizi post zako ukiziona unajisikiaje? hebu tupe uzoefu ili nasi tukiamua 'kuunga mkono juhudi' tujue tutajisikiaje kuwa waongo na wasaliti?
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
Mheshimiwa bado una mtazamo huu juu ya viongozi wenu na weledi ?
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom