Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
Wadau mtakaokuwepo huko hakikisheni mnarekodi tukio hilo maana wataedit kwenye taarifa ya habari.
Magufuli anafadhiliwa na mafisadi,ndio waliomchomekea ,na kuna msemo wa kialabu usemao -- anaekusaidia ndie bwana wako-- kwa maana unatakiwa umuheshimu hadi kufa kwako ,Magufuli ni lazima awahifadhi awalinde kama ulivyo msimamo wa chama chake kulindana,
Hana ubavu wa kumuita chenge fisadi
Chonde chonde Magufuli usimnadi CHENGE, TIBAIJUKA.
Utapoteza ma elfu ya kura. Nami ntakuhama.
Natamani kuona kama makufuli atasema neno fisadi mbele ya chenge bila kuangalia chini
Chenge sio fisadi,kwa kuwa hajapelekwa mahakamani
Alipelekwa Tume ya maadili
Tume ya maadili ndio mahakama?mbona hushangai wale wanaomnadi yule aliyejiuzuru uwaziri mkuu ktk sakata la ufisadi?
Hawa ndo wafadhili sasa unaposema kuwa eti asiwabadi unamaansha kuangamiza chama chetu cha mapinduzi.
Wewe utakuwa mwehu sasa. Nipo hapa bariadi halmashauri tunakaguajukwaa
Tumia akili kidogo wewe ndo maana inaongozwa na weledi wa sheria LA sivyo wangekaa wataalam wa IT basi