Magufuli - Katika mataifa ya Afrika, Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania

verbal diarrhea tupu. huo ushahindi wa wazungu upo wapi. story za vijiweni ziache huko!!! ni ndogo akilini kwa kwako. ebu ziweke twakimu za uekezaji wa tz kenya hapa!!
Hapa hatupo katika kucompare. Halafu ikumbukwe kenya ni nchi ya uchumi wa kati. Magufuli kawaweka peupe kumbe kujisifu kote huko ni 1.5b tu!!!?

Nitakupa list ya makampuni yaliyopo tz ya kizungu kwa mgongo wa kenya.
Mimi naongea fact.
Nitakupatia hiyo list kesho sawa?
 
verbal diarrhea tupu. huo ushahindi wa wazungu upo wapi. story za vijiweni ziache huko!!! ni ndogo akilini kwa kwako. ebu ziweke twakimu za uekezaji wa tz kenya hapa!!
Nimefuatilia kwa youtubu hotuba ya rais. Masahihisho c tsh 1.5 b Bali ni US$ 1.5 which means there investment is almost 3tr in tsh.
 
Ndugu 1.5b ni ndogo sana ukilinganisha na mali ghafi wanazochukua kwetu.
Unajua uchumi wa kenya umekamatwa % kubwa na wazungu. Na hilo ni swala la kihistoria.

Mapato ya vodacom ya mwezi ni zaidi ya 10b. Sasa nchi nzima ya kenya kuwekeza 1.5b ni pesa ndogo sana zaidi ya kuiba mali ghafi.
Kama sijakosea ni dola za kimarekani 1.5b mkuu na sio sh
 
Kiongozi acha majibu yenye mihemko, rejea hoja yangu na chanzo cha taarifa, kuwa tumepata kupitia mitandao ya kijamii,... Ilitosha kusema si kweli Bali uharisia ni moja, mbili na tatu, kuliko kuanza kutoa majibu yenye mtazamo hasi kwa watz wote, kimsingi, tunahaki ya kufuatilia kila kinachoendelea nawe unawajibu wa kukanusha kwa lugha ya staha pale unapoona pana chembe za upotoshaji.

Mumepata kutokea mitandao ya kijamii, lakini hamleti ushahidi kwa picha, mnakuza tu kisa mumeambiwa. Kuna kipindi rais mstaafu Kikwete aliwaambia kwamba za kuambiwa ongeza na akili zako. Hoji chanzo cha hizo habari, tafuta uthibitisho wa picha, pata taarifa kutokea kwa vituo maalum tofauti na usitegemee kimoja tu.

Hadi kufikia sasa hamna sehemu nimekumbana na picha ya Magufuli akitembea kisa amekwama kwa foleni. Ina maana tukio kama hilo watu wote walizima simu zao na hakuna hata mmoja alimpiga picha. Bana ee tuelekeze nguvu zetu kwa mambo chanya yaliyotendeka na makubaliano baina yao.

Hapo ndio mimi huwa nachoka sana na siasa za wapinzani wa Kiafrika, nimepitia mitandao ya jamii ya Kenya na Tanzania, wafuasi upinzani wa nchi zote mbili hawajakua na lolote njema kuhusu ujio wa Magufuli. Wote wamekomaa na hilo la foleni ambalo hadi sasa hamna ushahidi wa picha hata moja.
 
Mumepata kutokea mitandao ya kijamii, lakini hamleti ushahidi kwa picha, mnakuza tu kisa mumeambiwa. Kuna kipindi rais mstaafu Kikwete aliwaambia kwamba za kuambiwa ongeza na akili zako. Hoji chanzo cha hizo habari, tafuta uthibitisho wa picha, pata taarifa kutokea kwa vituo maalum tofauti na usitegemee kimoja tu.

Hadi kufikia sasa hamna sehemu nimekumbana na picha ya Magufuli akitembea kisa amekwama kwa foleni. Ina maana tukio kama hilo watu wote walizima simu zao na hakuna hata mmoja alimpiga picha. Bana ee tuelekeze nguvu zetu kwa mambo chanya yaliyotendeka na makubaliano baina yao.

Hapo ndio mimi huwa nachoka sana na siasa za wapinzani wa Kiafrika, nimepitia mitandao ya jamii ya Kenya na Tanzania, wafuasi upinzani wa nchi zote mbili hawajakua na lolote njema kuhusu ujio wa Magufuli. Wote wamekomaa na hilo la foleni ambalo hadi sasa hamna ushahidi wa picha hata moja.
Kwa hilo nimeku support. Asilimia kubwa ya vyama vya upinzani africa wanakuwa na cheap politics. Kuwahadaa raia na kuwadanganya.
 
Hapa hatupo katika kucompare. Halafu ikumbukwe kenya ni nchi ya uchumi wa kati. Magufuli kawaweka peupe kumbe kujisifu kote huko ni 1.5b tu!!!?

Nitakupa list ya makampuni yaliyopo tz ya kizungu kwa mgongo wa kenya.
Mimi naongea fact.
Nitakupatia hiyo list kesho sawa?


nimekwambia vijiweni uongea facts zao za kutunga pia. na kama upo nazo hizo facts nani kakuzuia usiweka twakimu hapa. pili naomba tena weka uekezaji wa tz kenya hapa uache kutapa tapa hapa!!!

tatu mtz mgumu sana kwa elimu. akija mwekezaji ata atokee Mars anakaribishwa kenya. rangi iwe gani. fikira za kijamaa mtasubiri sana serikari ifanya tz nchi ya viwanda!! private investment ndio wanawekeza sio serikali kaka!!

Tatu FDI kila siku mnasema jinsi mlivyo kipao mbele. ebu fafanua hiyo FDI ni kutoka kwa kina nani. Ligi isiyo na msinga koma bwana!!!


get this straight

529 kenya comapanies
investment of $ 1.7 billion sio fedha za tz ni us dollars. kama ulienda shule kafanya hesabu.
employed 56, 290 tanzanians
 
Mumepata kutokea mitandao ya kijamii, lakini hamleti ushahidi kwa picha, mnakuza tu kisa mumeambiwa. Kuna kipindi rais mstaafu Kikwete aliwaambia kwamba za kuambiwa ongeza na akili zako. Hoji chanzo cha hizo habari, tafuta uthibitisho wa picha, pata taarifa kutokea kwa vituo maalum tofauti na usitegemee kimoja tu.

Hadi kufikia sasa hamna sehemu nimekumbana na picha ya Magufuli akitembea kisa amekwama kwa foleni. Ina maana tukio kama hilo watu wote walizima simu zao na hakuna hata mmoja alimpiga picha. Bana ee tuelekeze nguvu zetu kwa mambo chanya yaliyotendeka na makubaliano baina yao.

Hapo ndio mimi huwa nachoka sana na siasa za wapinzani wa Kiafrika, nimepitia mitandao ya jamii ya Kenya na Tanzania, wafuasi upinzani wa nchi zote mbili hawajakua na lolote njema kuhusu ujio wa Magufuli. Wote wamekomaa na hilo la foleni ambalo hadi sasa hamna ushahidi wa picha hata moja.
Katika jibu langu la msingi nimekusisitiza tumia lugha ya staha, kimsingi, hatujuani lkn majibu ambayo unatoa yanaobesha ni MTU wa jazba, unahitaji ushahidi wa picha alizopiga nani? Au ulitaka kila mtanzania aje huko kufuatilia kila kinachoendelea? Cha msingi kanusha, bila jazba, ukisema unataka ushahidi wa picha nk, bado siyo mantik, maana picha inaweza ikapigwa lkn bado isioneshe kuwa msafara ulisimama au ulikuwa ktk mwendo, la maana ni ulilojibu ni hapo uliposema, tuwe na mtazamo chanya kuelekea maendeleo ya nchi zetu, full stop lkn hayo mengine hayana tija.
 


nimekwambia vijiweni uongea facts zao za kutunga pia. na kama upo nazo hizo facts nani kakuzuia usiweka twakimu hapa. pili naomba tena weka uekezaji wa tz kenya hapa uache kutapa tapa hapa!!!

tatu mtz mgumu sana kwa elimu. akija mwekezaji ata atokee Mars anakaribishwa kenya. rangi iwe gani. fikira za kijamaa mtasubiri sana serikari ifanya tz nchi ya viwanda!! private investment ndio wanawekeza sio serikali kaka!!

Tatu FDI kila siku mnasema jinsi mlivyo kipao mbele. ebu fafanua hiyo FDI ni kutoka kwa kina nani. Ligi isiyo na msinga koma bwana!!!


get this straight

529 kenya comapanies
investment of $ 1.7 billion sio fedha za tz ni us dollars. kama ulienda shule kafanya hesabu.
employed 56, 290 tanzanians
Nimekuambia kwamba hiyo pesa ni ndogo sana kutokana na kwamba nchi yenu uchumi uko juu sana. Pia nyie ni uchumi wa kati.
Yaani kuajiri watu elfu 56 ni ndogo sana kutokana na uchumi wenu kwamba upo juu.

Pili nimekuambia hizi issue za kuja kiwekeza sisi kwenu ni jambo la kihistoria sawa!!? Kwamba wale wazungu waliiweka TZ kutoa mali ghafi kwaajiri ya viwanda vyao huko kwenu. So ndio maana tuki compare mali ghafi na huo uwekezaji utajikuta TZ unaajiri wakenya wengi na kutumia pesa nyingi sana katika uwekezaji.

Pia ikumbukwe TZ ina import vitu vingi sana toka Kenya kwamba soko kubwa la kenya hapa Africa lipo TZ.

Hatutakiwi kuukimbia ukweli na kuanza kujisifia vitu hivi. Kwamba mnunuzi mkubws wa vifaa vya Kenya ni TZ. Kwa hiyo unatakiwa ukubali kwamba nyie kenya mnatuhitaji zaidi ya sisi tunavyo wahitaji.
 


there are three things that standout. first thing is the he said "tukiendelea na pace hii tunaweza kupeleka nchi katika maswala mazuri" that to me is a direct reference to the "go slow" attitude towards the EAC objectives and LCD status which hampers tanzania's plans and ambitions. he believes that tanzania is a economically not strong enough to deal with close economic ties with anyone due to poor policies and bureaucratic framework. that man is talking about the need for tanzanians to pay taxes in a speech in a foreign country!!!!!

he talked about the reforms(tanzanians paying taxes and tackling inflation) and the growth of the economy. if yall recall these are same reforms that kenya addressed circa 2004-05.

it is also very interesting that rais pombe mavifuli talked about kenyans to go invest in tanzania but said nothing about tanzanians coming to invest in kenya. that says alot about the tanzanian mentality towards kenya.

tanzanian govt recognizes the financial abilities of kenya and it explains the fear the TZ govt posses esp when discussing easing trade and removing non-tariff barriers.

we can yap and argue all day here on JF but one thing that is for sure, pombe mavifuli recognizes that tanzania has alot of catching up to do. he also knows that closer cooperation with kenya is a vital national interest for both countries esp for tanzania because unlike tanzania, kenya already has its financial and economic fingerprints all over the region and now it is spreading beyond east africa into other regions of africa.

although i dont think he has the right strategy, i have a new found respect for pombe mavifuli and i can appreciate what he is trying to do. i wish him all the best.

side note..... thank God for a visionary leader that was kibaki(i am well aware of kibaki's failures). while kibaki was making sure that kenyans pay their taxes to finance to finance the budget, establishing proper financial and economic frameworks, kikwete was busy searching for investors for the tanzanian mining sector.
 
there are three things that standout. first thing is the he said "tukiendelea na pace hii tunaweza kupeleka nchi katika maswala mazuri" that to me is a direct reference to the "go slow" attitude towards the EAC objectives and LCD status which hampers tanzania's plans and ambitions. he believes that tanzania is a economically not strong enough to deal with close economic ties with anyone due to poor policies and bureaucratic framework. that man is talking about the need for tanzanians to pay taxes in a speech in a foreign country!!!!!

he talked about the reforms(tanzanians paying taxes and tackling inflation) and the growth of the economy. if yall recall these are same reforms that kenya addressed circa 2004-05.

it is also very interesting that rais pombe mavifuli talked about kenyans to go invest in tanzania but said nothing about tanzanians coming to invest in kenya. that says alot about the tanzanian mentality towards kenya.

tanzanian govt recognizes the financial abilities of kenya and it explains the fear the TZ govt posses esp when discussing easing trade and removing non-tariff barriers.

we can yap and argue all day here on JF but one thing that is for sure, pombe mavifuli recognizes that tanzania has alot of catching up to do. he also knows that closer cooperation with kenya is a vital national interest for both countries esp for tanzania because unlike tanzania, kenya already has its financial and economic fingerprints all over the region and now it is spreading beyond east africa into other regions of africa.

although i dont think he has the right strategy, i have a new found respect for pombe mavifuli and i can appreciate what he is trying to do. i wish him all the best.

side note..... thank God for a visionary leader that was kibaki(i am well aware of kibaki's failures). while kibaki was making sure that kenyans pay their taxes to finance to finance the budget, establishing proper financial and economic frameworks, kikwete was busy searching for investors for the tanzanian mining sector.
Hayo ni mawazi yako binafsi. Umeandika hivyo ili kujifurahisha.

Na ndio tabia yenu ya kujisifia upuuzi tu.
Na hii ndio twaswira halisi ya wakenya.
What kind of EAC integration are you talking about.

Nyie mmebiwa mje muwekeze maana yake soko letu la ndani ni kubwa sana wawekezaji wa ndani bado hawajatosha. Pili hiyo hotuba ya rais wetu imewaweka njia panda maana hajaongelea kuhusu commission ya AU vile vile hajaongelea work permit.

Kawasifia tu na ndio nitolee hapo.
 
Haya ameyasema rais Magufuli kwenye hotuba yake ambapo amesoma takwimu za uwekezaji wa Wakenya Tanzania. Amesisitiza umuhimu wa kudumisha undugu na kuendeleza ushirikiano kwa hali zote.
Akatoa mifano ya makabila ambayo yapo Kenya na Tanzania, wakiwemo Wajaluo na Wamaasai jinsi wanavyoishi bila kuchoreana mipaka hii ya mzungu.

Kuna mengi waliyokubaliana na rais Uhuru hususan kuhusiana na shughuli za baina ya nchi zote mbili, na wakaamrisha mawaziri husika kuratibisha kabla mwaka huu haujaisha. Watakutana Tanzania na kuanza mikakati ya kuboresha makubaliano yao.

Rais Magufuli amekaribishwa kirasmi na kupigiwa mizinga 21 ya heshima. Hii hapa video ya hotuba yake.


Hata gomba zinatokaga huko kenya uwekezaji huo
 
kama ni kweli ilifanyika....... mnajuaje labda ye mwenyewe kaamua hatasumbua wakenya akipitapita barabarani...

kama kweli hakufunguliwa barabara angefika ikulu kama anekasirika, hangekubali ku support amina for AU, hangekua anaongea kama amerilax akionekana ako nyumbani pale ikulu
 
Katika jibu langu la msingi nimekusisitiza tumia lugha ya staha, kimsingi, hatujuani lkn majibu ambayo unatoa yanaobesha ni MTU wa jazba, unahitaji ushahidi wa picha alizopiga nani? Au ulitaka kila mtanzania aje huko kufuatilia kila kinachoendelea? Cha msingi kanusha, bila jazba, ukisema unataka ushahidi wa picha nk, bado siyo mantik, maana picha inaweza ikapigwa lkn bado isioneshe kuwa msafara ulisimama au ulikuwa ktk mwendo, la maana ni ulilojibu ni hapo uliposema, tuwe na mtazamo chanya kuelekea maendeleo ya nchi zetu, full stop lkn hayo mengine hayana tija.

Ubishi wa kijinga huu!.....unaboa sana.
Jamaa jitathmini sana kisha ukabadilike maana wakati mwingine mtu asiye na hekma hujulikana wazi wazi.
Ushaelezwa kwenye bandiko hapo awali kuwa hapakua na tukio kama unavyotaka kujiaminisha weye.
Mathaalan ,haumkomoi yeyote humu bali wajidhalilisha mwenyewe!
 
kama ni kweli ilifanyika....... mnajuaje labda ye mwenyewe kaamua hatasumbua wakenya akipitapita barabarani...

kama kweli hakufunguliwa barabara angefika ikulu kama anekasirika, hangekubali ku support amina for AU, hangekua anaongea kama amerilax akionekana ako nyumbani pale ikulu
Hizo sasa ni theoretical thinking na kujifariji.
 
Nimekuambia kwamba hiyo pesa ni ndogo sana kutokana na kwamba nchi yenu uchumi uko juu sana. Pia nyie ni uchumi wa kati.
Yaani kuajiri watu elfu 56 ni ndogo sana kutokana na uchumi wenu kwamba upo juu.

Pili nimekuambia hizi issue za kuja kiwekeza sisi kwenu ni jambo la kihistoria sawa!!? Kwamba wale wazungu waliiweka TZ kutoa mali ghafi kwaajiri ya viwanda vyao huko kwenu. So ndio maana tuki compare mali ghafi na huo uwekezaji utajikuta TZ unaajiri wakenya wengi na kutumia pesa nyingi sana katika uwekezaji.

Pia ikumbukwe TZ ina import vitu vingi sana toka Kenya kwamba soko kubwa la kenya hapa Africa lipo TZ.

Hatutakiwi kuukimbia ukweli na kuanza kujisifia vitu hivi. Kwamba mnunuzi mkubws wa vifaa vya Kenya ni TZ. Kwa hiyo unatakiwa ukubali kwamba nyie kenya mnatuhitaji zaidi ya sisi tunavyo wahitaji.

Haya sawa basi!...............toooh!

Litoto libishi kwel kwel!
 
Sammuel999, it's sad that with all that investment we still don't give a damn about u! NairobiWalker, chukua makampuni yoote ya Kenya faida haifiki Tsh 3 Trl pia.
One thing i have noticed, sioni Amina akijipitisha kwa Magu after the press! Can s1 explain this?
 
Back
Top Bottom