thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Waendelee kuchina hivyohivyo na upinzani wao toka enzi za Nyerere
Kuongoza Tarafa siyo sawa na kuongoza halmashauri,mama anafail technical issue nyingi,na kibaya zaidi amepelekea mgawanyiko wa timu yake. Mwezi wa kumi narudi tena Butiama,nitakuja na mengineyo.Huyo DED aliyepo Butiama humjui vizuri. Ebu nenda Ukerewe alipokuwa Katibu Tarafa ukapate habari zake ndio utajua kwanini alipewa ukurugenzi.
ila Pampula ni tatizo sana kwa nchi yetu...wanao mchagua sijui hawaoni hizi kauli zake za kugawa nchiSalaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
ila Pampula ni tatizo sana kwa nchi yetu...wanao mchagua sijui hawaoni hizi kauli zake za kugawa nchi.Salaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
Kweli kabisa, yametofautiana viwango vya umasikini tu.Asilimia 100 ya majimbo yote Tanzania ni masikini wa kutupwa. Sema mengine yamezidi umasikini.
Aiseee!Nipo Kongwa hapa naelekea Gairo kote huko ni CCM tangu kuzaliwa kwake lakini wanakunywa maji ya mifugo
Umenena vyema. Kama kuwa Katibu Tarafa sio sawa na Ukurugenzi, sasa nikuulize, Makamu Mwenyekiti wa chama ambaye hajawahi kufanya kazi ya Makamu Mwenyekiti kwasababu alikuwa nje ya nchi, anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?Kuongoza Tarafa siyo sawa na kuongoza halmashauri,mama anafail technical issue nyingi,na kibaya zaidi amepelekea mgawanyiko wa timu yake. Mwezi wa kumi narudi tena Butiama,nitakuja na mengineyo.
Kuwa nje ya nchi siyo tatizo, pia mfano wako wa makamu mwenyekiti kuwa rais siyo mfano sahihi ungejitahidi utafute mfano mwingine ili ueleweke.Umenena vyema. Kama kuwa Katibu Tarafa sio sawa na Ukurugenzi, sasa nikuulize, Makamu Mwenyekiti wa chama ambaye hajawahi kufanya kazi ya Makamu Mwenyekiti kwasababu alikuwa nje ya nchi, anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Lengo siyo kumzodoa mtu, lengo ni kurekebisha pale watu wanapoona hapaendi vizuri, unayo nafasi ya kumfikishia ujumbe "katibu kata"ili hasijeharibu zaidi.Umenena vyema. Kama kuwa Katibu Tarafa sio sawa na Ukurugenzi, sasa nikuulize, Makamu Mwenyekiti wa chama ambaye hajawahi kufanya kazi ya Makamu Mwenyekiti kwasababu alikuwa nje ya nchi, anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Ila hawezi kuwa Mkurugenzi? Dogo mbona unajichanganya?Kuwa nje ya nchi siyo tatizo, pia mfano wako wa makamu mwenyekiti kuwa rais siyo mfano sahihi ungejitahidi utafute mfano mwingine ili ueleweke.
Kwa mtu yoyote yule anaweza kuwa rais Cha muhimu ni kuzingatia kanuni za kiuongozi na katiba ya nchi. Hivyo basi si makamu wa chama tu hata huyo katibu tarafa anaweza kuwa rais wa nchi cha muhimu ni kuzingatia kanuni za kiuongozi na katiba ya nchi.
We bwana mdogo ni kwamba baada ya kupewa ukurugenzi ndiyo imebainika kapwaya vibaya, mkurugenzi kila siku kwenda kukagua vyoo vya shule na zahanati, Kama unaampenda ndugu yako ni vyema umshahuri afanyie kazi mapungufu.Ila hawezi kuwa Mkurugenzi? Dogo mbona unajichanganya?
Ila hawezi kuwa Mkurugenzi? Dogo mbona unajichanganya?
[/QUOTE).
Sawa Zzta
Sawa zzta.Ila hawezi kuwa Mkurugenzi? Dogo mbona unajichanganya?