Magufuli is a loose canon

Magufuli is a loose canon

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,289
Reaction score
1,426
Nimekuwa nafuatilia kauli anazotoa huyu mheshimiwa kwenye mbio za urais mpaka sasa sijamwelewa vizuri kana kwamba kuna watu wanamwalndalia hotuba au ni kauli zake mwenyewe .La kwanza kabisa ni hili la kuwapa walimu laptop ,anyway this is rubbish lets put it aside, kuna hili alilozungumza njombe kuhusiana na polisi ,anataka mapolisi wakienda kazini kwenye vituo wawe wameshiba sio wanaacha vituo na kwenda kutafuta chakula ,Kibaya zaidi ni pale aliposema wanapoona majambazi ni kuwapiga risasi tu.

Hii kauli ni mbaya sana kwa mgombea uraisi.Inabidi awaombe radhi watanzania na ktk nchi zilizoendelea nadhani angelazimishwa kujitoa katika mbio za urais .Ni wakati wa taasisi za haki za binadamu kutofumbia macho kauli kama hizi.

Natarajia tutasikia mengi sana kwani kauli zake ni tata sana
.
 
Hivi Hii Nayo Ni Sera "Kuanzisha Mahakama Maalum ya Kushughulikia Ufisadi na Wezi Wakubwa"
 
Hajui kuwa anawapa kazi wenzie anapoongelea issue ya mahakama ya mafisi adds.Sasa kama hao waliomuweka hapo inadhani wanapenda kauli zake hizo?Tena anasisitiza kabisa"Ninayoyasema yanatoka moyoni".Kama yanatoka moyoni kweli unadhani wale wazee watakuwa na amani nae?Wazee wa twiga na ndovu pamoja na mzee TIPPER NA MIGODI.
 
Nimekuwa nafuatilia kauli anazotoa huyu mheshimiwa kwenye mbio za urais mpaka sasa sijamwelewa vizuri kana kwamba kuna watu wanamwalndalia hotuba au ni kauli zake mwenyewe .La kwanza kabisa ni hili la kuwapa walimu laptop ,anyway this is rubbish lets put it aside, kuna hili alilozungumza njombe kuhusiana na polisi ,anataka mapolisi wakienda kazini kwenye vituo wawe wameshiba sio wanaacha vituo na kwenda kutafuta chakula ,Kibaya zaidi ni pale aliposema wanapoona majambazi ni kuwapiga risasi tu. Hii kauli ni mbaya sana kwa mgombea uraisi.Inabidi awaombe radhi watanzania na ktk nchi zilizoendelea nadhani andelazimishwa kujitoa katika mbio za urais .Ni wakati wa taasisi za haki za binadamu kutofumbia macho kauli kama hizi ,

Natarajia tutasikia mengi sana kwani kauli zake ni tata sana

Wakuu,

Ni kweli Bw. Magufuli ana udhaifu mkubwa wa kiuongozi na anahitaji wasaidizi makini. Anaweza kuwa mlipukaji na pia mtu anayeongea kila kinachomjia mdomoni bila kutafakari. Kule Dodoma alisema Chama kwanza. Wazalendo tunajua ni Tanzania kwanza, vyama baadae. Kauli yake ya kuua majambazi wote inaweza kuwa hukumu ya kifo kwa kila anayeshukiwa kuwa jambazi-huo ndiyo utawala wa sheria ? Kauli hii inaweza kutumiwa vibaya na polisi wasio na maadili kutatua matatizo yao binafsi au kutumiwa kisiasa. Anaonekana ni mtu wa misifa. Mwenye kupenda umimi, kwani hajawahi kuonekana kama kiongozi wa timu-ila ni yeye tu ! Bila kuwa team leader na kutambua umuhimu wa watu wengine atachoka mwenyewe na kujiunguza-burnout. Sina uhakika kwamba katika wizara zote alipotoka alilea au kujenga timu ya wachapakazi kama 'yeye', au mfumo unaostahili ili kuhakikisha uendelevu wa juhudi zake.
 
Kasahau jinsi mtoto wa mkulima alivyong'ang'aniwa ikabidi ajitetee kwa kuangua kilio kuhusu "Wauwawe tu" wanaowaua albino. Yatamkuta pia kwani Magufuli pia anaongea kinachomjia mdomoni bila kukumbuka kuwa kuna sheria za nchi
 
Polisi wakiacha lindo kutafuta chakula huwapa mpenyo wahalifu. Kwa hili namuunga mkono. Kuhusu majambazi, tena wa kutumia silaha, namna nzuri ya kukabiliana nao ni kjwatandika. Kwa i wakikuwahi wao lazima wakumalize
 
Kasahau jinsi mtoto wa mkulima alivyong'ang'aniwa ikabidi ajitetee kwa kuangua kilio kuhusu "Wauwawe tu" wanaowaua albino. Yatamkuta pia kwani Magufuli pia anaongea kinachomjia mdomoni bila kukumbuka kuwa kuna sheria za nchi
Kuwatandika majambazi si jambo la kuzua mjadala. Ila kwa vile kwenye chama lenu kuna majambazi kibao ndo màna mnawatetea
 
Yaani polisi akimuona jambazi ambembeleze? Basi atakuwa siyo jambazi huyo!
 
Nimekuwa nafuatilia kauli anazotoa huyu mheshimiwa kwenye mbio za urais mpaka sasa sijamwelewa vizuri kana kwamba kuna watu wanamwalndalia hotuba au ni kauli zake mwenyewe .La kwanza kabisa ni hili la kuwapa walimu laptop ,anyway this is rubbish lets put it aside, kuna hili alilozungumza njombe kuhusiana na polisi ,anataka mapolisi wakienda kazini kwenye vituo wawe wameshiba sio wanaacha vituo na kwenda kutafuta chakula ,Kibaya zaidi ni pale aliposema wanapoona majambazi ni kuwapiga risasi tu. Hii kauli ni mbaya sana kwa mgombea uraisi.Inabidi awaombe radhi watanzania na ktk nchi zilizoendelea nadhani angelazimishwa kujitoa katika mbio za urais .Ni wakati wa taasisi za haki za binadamu kutofumbia macho kauli kama hizi ,

Natarajia tutasikia mengi sana kwani kauli zake ni tata sana

hivi kweli wewe unawajua majambazi,!? au unasema tu, jambazi hua hakupi mda wa kujiandaa,hapo yuko sawa, najua hujawai kukutana na hao wazee wa kazi live,utafyata mkia.
 
viking shida ya magufuli hajawahi kuwa hata mwenyekiti wa shina. Angewahi ongoza ngazi za chini angejifunza kuwa kuna wengine huonewa na kusingiziwa. Hivyo sio kila kitu ni kutumia amri bali ni sheria kwanza
 
Last edited by a moderator:
Hoja ya Laptop ilishakanushwa na chama chake.

Kuhusu majambazi, nadhani siku ukikutana na majambazi uso kwa uso ndiyo utafahamu maana ya hoja ya Magufuli.

Magufuli hajasema ukikutana na mtu unayedhani ni jambazi umpige lisasi bali amesema ukikutana na majambazi uyapige lisasi.

Tuulize ambao tumeonja nguvu ya kuvamiwa na majambazi.

Huo ndio utawala wa sheria kwa majambazi nchini.
 
Kuwatandika majambazi si jambo la kuzua mjadala. Ila kwa vile kwenye chama lenu kuna majambazi kibao ndo màna mnawatetea

Huwa hamkawii kuomba Po na upinzani ikifika maji ya shingo na machozi yakiwatoka kwa tishio la kunyang'anywa tonge
 
na wasiwasi wewe utakuwa jambazi au maisha yako yanaenda kijambazijambazi.
yaani unakuja kuwatetea majambazi humu? vipi wale waliomuua mmasai pale jangwani na kumnyang'anya mil 16? ndo hao unaotaka tuwalee? bila shaka wewe ni jambazi labda kama utakanusha.


Nimekuwa nafuatilia kauli anazotoa huyu mheshimiwa kwenye mbio za urais mpaka sasa sijamwelewa vizuri kana kwamba kuna watu wanamwalndalia hotuba au ni kauli zake mwenyewe .La kwanza kabisa ni hili la kuwapa walimu laptop ,anyway this is rubbish lets put it aside, kuna hili alilozungumza njombe kuhusiana na polisi ,anataka mapolisi wakienda kazini kwenye vituo wawe wameshiba sio wanaacha vituo na kwenda kutafuta chakula ,Kibaya zaidi ni pale aliposema wanapoona majambazi ni kuwapiga risasi tu.

Hii kauli ni mbaya sana kwa mgombea uraisi.Inabidi awaombe radhi watanzania na ktk nchi zilizoendelea nadhani angelazimishwa kujitoa katika mbio za urais .Ni wakati wa taasisi za haki za binadamu kutofumbia macho kauli kama hizi.

Natarajia tutasikia mengi sana kwani kauli zake ni tata sana
.
 
Nimekuwa nafuatilia kauli anazotoa huyu mheshimiwa kwenye mbio za urais mpaka sasa sijamwelewa vizuri kana kwamba kuna watu wanamwalndalia hotuba au ni kauli zake mwenyewe .La kwanza kabisa ni hili la kuwapa walimu laptop ,anyway this is rubbish lets put it aside, kuna hili alilozungumza njombe kuhusiana na polisi ,anataka mapolisi wakienda kazini kwenye vituo wawe wameshiba sio wanaacha vituo na kwenda kutafuta chakula ,Kibaya zaidi ni pale aliposema wanapoona majambazi ni kuwapiga risasi tu.

Hii kauli ni mbaya sana kwa mgombea uraisi.Inabidi awaombe radhi watanzania na ktk nchi zilizoendelea nadhani angelazimishwa kujitoa katika mbio za urais .Ni wakati wa taasisi za haki za binadamu kutofumbia macho kauli kama hizi.

Natarajia tutasikia mengi sana kwani kauli zake ni tata sana
.

ha ha ha ndg zile kauli za kupiga mbizi, barabara iwe sentimita mbili na mengine mengi unafikiri ni bahati mbaya!!! asili yetu ni kukurupuka
 
Back
Top Bottom