gimanini
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,741
- 1,754
Nimekuwa nikifuatilia kauli za wanasiasa wengi nchini,hasa wa vyama vya upinzani na wale wa CCM nimegundua kuwa dr.john magufuri hana tabia ya kuwakashifu wana upinzani km ilivyo kwa wanaccm kama nape,na wengineo,kwani amekuwa akijinadi kuwa atakuwa rais wa watanzania wote pasipo kujali chama cha mtu,kwa hili nampongeza sana kwani anafaa kuwa rais wa awamu ya tano.