Magufuli hatakiwi?

kwanza heading ya thread na content vinatofautiana, cha msingi ni kuwa wale wala rushwa na wazembe wanamuogopa Dr (wa ukweli) Magufuri, lakini pia magufuri ni mchapa kazi
 
Watanzania ndivyo tulivyo, hatutaki kufanya kazi tunataka kupata maslahi kwa njia haramu! Magufuli hawachekei watu wa namna hiyo....
 
Sio la kushangaza hata kidogo, tunajua watanzania wengi ni wavivu.
 

Magufuli haendi kokote na atawafagia hawa mafisadi uchwara, Tanzania sio shamba la bibi Mwizi mwenyewe japo hamkubali ameogopa joto ya jiwe.

 

Kwa rushwa,10%,wizi na ubadhirifu wa kila aina mbona inawezekana?

Tatizo la watz wengi huwa hatujui tunachokitaka,unalalamika viongozi mafisadi,mkipata kiongozi mzuri napo mnalalamika watu gani nyie?
Wanaokula rushwa si ndio sisi?wezi na kwasaidia hao viongozi si ni sisi?wanaosaidia wafanyabiashara kukwepa kodi si ndio sisi?ni vizuri tukaacha ushabiki na kuropoka ropoka,tufikirie kwa makini tunachokitaka na tuishi hivyo kwa vitendo.
 
Mwambie amsalimie Kipande mtoa vibali vya wide load, maana naye ana kiburi cha aina yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…