Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,556
- 7,385
Fursa hiyo hata mimi nikiwa raisi shetani nafuu huyu aliepo nitaimbiwa mazuri tu hahahaha find opportunity in the cave of conflict between prise team vs opponent team
prise team, duh....find opportunity in the cave of conflict between prise team vs opponent team
Sitii langu...
Sahihisho
Nimeupenda huo wimbo na "video"
Achague moja kua TOT(aimbe nyimbo kwajili ya ccm yamagufuli ).lasivyo atakuja kujilaumu tukiamu kutonunua au kusikiliza kaziZake.Sitii langu...
Sizungumzii mtoa ujumbe nakuzungumzia mleta madaFasihi ya nini na ujumbe anaufikisha Harmonize.
Njoo kwangu uone hicho nachosemaMsinunuwe.
Lini ulinunuwa kazi yake?
Sijapata kuona majuha kama ninyi. Hamjihesabu?
paka mate niteleze kama nyoka pangoni bado ni vionjo vya pwaniVionjo tu vya kipwani pwani.
Nafahamu watu kama wewe ni tunda la mti (wazazi) wako.paka mate niteleze kama nyoka pangoni bado ni vionjo vya pwani
Sitii langu...
yes kabisa wazee inaonesha walikuwa wanapenda sana kutelezana pangoniNafahamu watu kama wewe ni tunda la mti (wazazi) wako.
Mathayo 7:
16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?
17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya.
18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.
Ni walewale tu, nyimbo au wimbo? mfyuuuu! au ndo Nyani haoni kundule!"Hiyo nyimbo" ?
shule ulienda kusomea ujinga ?
Ile shule uliyoenda kusoma masters ya ujinga,inaitwaje ?Fasihi ya nini na ujumbe anaufikisha Harmonize.
Wanaogopa kutekwa tuWimbo safi sana huu nimeona hata jana Kinana aliusifia kule twitter na Mzee Makamba akasema huu ni wimbo bora kutokea ndani ya miaka 10 iliyopita.
Nasubiri nisikie January na Nape watasema wanauonaje.