Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,150
Can u explain video mixing ulikua una lenga kitu gan may b??Nyimbo nzuri na anajuwa kuimba. Video mixing inapendeza.
Nimeipenda hiyo nyimbo na video.
Can u explain video mixing ulikua una lenga kitu gan may b??Nyimbo nzuri na anajuwa kuimba. Video mixing inapendeza.
Nimeipenda hiyo nyimbo na video.
Sio nyimbo ni wimboNyimbo nzuri na anajuwa kuimba. Video mixing inapendeza.
Nimeipenda hiyo nyimbo na video.
Nyimbo nzuri=wimbo mzuri!Nyimbo nzuri na anajuwa kuimba. Video mixing inapendeza.
Nimeipenda hiyo nyimbo na video.
Ni tatizo kubwa kushindwa kujua wingi na umoja!Hakuna kosa la R na L.
Hili si tatizo.
Nyimbo ni zaidi ya mmoja.Nyimbo nzuri na anajuwa kuimba. Video mixing inapendeza.
Nimeipenda hiyo nyimbo na video.
Wapinzani siku hizi ni wadogo kama mbegu ya haradani
Nyumbu wa LumumbaMmh
Hivi KWANGWARU imaana gani!!!?
Nikiongea mazuri yanayofanywa na serikali, navamiwa na upinzani.
Nikikosoa makosa ya serikali navamiwa na chama tawala.
Nikikaa kimya navamiwa na wananchi wote wakereketwa Sasa si mninyongeeeee tuuu !!!