Lazima, lazima, lazima LOWASSA anayechaguliwa na wananchi awe Rais, vinginevyo ni machafuko yasiyo na kikomo, CCM tendeni haki tu ili kuliepusha Taifa na maafa!
TINGA TINGA Limeomba radhi kwa kushindwa kufika kwenye majimbo matano tu na ameahidi kuyatembelea mara baada ya kuapishwa.
Hakuna mgombea anayeweza kuisogelea rekodi hii ya Magufuli.
Lazima, lazima, lazima LOWASSA anayechaguliwa na wananchi awe Rais, vinginevyo ni machafuko yasiyo na kikomo, CCM tendeni haki tu ili kuliepusha Taifa na maafa!
Kuna majimbo alyoenda ila hatapata kitu...
Hai
Nyamagana
Bunda
Musoma mjini
Ukerewe
Mbeya
Iringa