Magufuli hakufika kwenye majimbo Matano tu!

Magufuli hakufika kwenye majimbo Matano tu!

TINGA TINGA Limeomba radhi kwa kushindwa kufika kwenye majimbo matano tu na ameahidi kuyatembelea mara baada ya kuapishwa.

Hakuna mgombea anayeweza kuisogelea rekodi hii ya Magufuli.

yupo vzr! na yule mdoli aliekua unapita angani na choppa zaidi ya tano umetua majimbo mangapi
 
unaonekana unapenda vurugu badala ya kazi shenzi kabsa pumbavu lofa I hate watu wote wanaotaka machafuko yani daah ila ngoja naomba urudie kusikiliza amir jeshi mkuu alivyosema

Magufuli atawanyoooooosha wanywa viroba nyie kabla ya kuanza kuichafua Tz angalia wakina mama na watoto wa nchi zenye machafuko ndipo uendelee na huo upumbavu wako
ww ni mpumbafu tu kama wengine wote ndani ya ccm. Hata SMG, SAR, LMG, hata Mbuzi huzifahamu na huwezi tumia, **** we. Nchi siyo yenu fanyeni muone, na tunawafahamu. Unaotutegemea tutakuacha wakuue. Mavi yako.
 
nickname 23:10 Today
Vijana, acheni ushabiki wa vyama..kuwa mzalendo
kwa nchi yako..piga kura ya mabadiliko ya
kweli.Tumchague Dr. John Pombe Magufuli kwa
maendeleo ya kweli ya Tanzania
 
Vijana, acheni ushabiki wa vyama..kuwa mzalendo kwa nchi yako..piga kura ya mabadiliko ya kweli.Tumchague Dr. John Pombe Magufuli kwa maendeleo ya kweli ya Tanzania
 
Kwan wew unaesema mabadiliko haushabikii vyama?kwan akiingia madarakan magufur hayo sio mabadiliko?hata magufur ataleta mabadiliko makunwa sanaa
 
nickname 23:10 Today
Vijana, acheni ushabiki wa vyama..kuwa mzalendo
kwa nchi yako..piga kura ya mabadiliko ya
kweli.Tumchague Dr. John Pombe Magufuli kwa
maendeleo ya kweli ya Tanzania

Yaani-:
1. Tuache ushabiki wa vyama na tusishabikie ccm,
2. Tuwe wazalendo kwa kupiga kura ya mabadiliko (ukawa)
3. Tusimchague pombe ya magufuli kwa hataleta maendeleo ya ukweli.
 
Bila kufanya kazi hata akija malaika umasikini haundoki tusidanganyike

Kwani nani ambaye halijui hilo?? Wangapi wanafanya kazi lakini kutokana na sera mbovu zilizopo wanaambulia maumivu tu?? Mkulima analima mazao yake kwa shida sana na kwa gharama kubwa mazao yakiiva tu, serikali hii hapo, kama ni mahindi lazima uikopeshe serikali, bei kg 400,wakati nchi jirani tu kilo ni sh. 1000!! Watoto wanafukuzwa shule, kisa unaidai serikali, mkiandamana kudai haki yenu kipigo!! Hapo hata ufanye kazi vipi, umasikini utaondoka vipi???
 
Jingalao wacha ujinga hujui Jiografia ta Tz wewe! Zanzibar ina majimbo 50 ya uchaguzi . Magufuli kafika 2 tu zanzibar nzima!
 
Huyu baba ni muongo sijawahi kuona hata urais wake sijui utakuwaje kama bahati mbaya akichaguliwa (Mungu epushia mbali). Morogoro peje yake hakutembelea majimbo matatu ninayoyajua.
Morogoro kusini
Morogoro kusini mashariki
Morogoro kusini magharibi
Hayo ni y?le ninayoyajua tena mkoa mmoja tu.
Pwani hakutembea Mkuranga, Kisarawe , Rufiji
na Mafia.Lindi hakumbelea Kilwa zote
 
Huyu baba ni muongo sijawahi kuona hata urais wake sijui utakuwaje kama bahati mbaya akichaguliwa (Mungu epushia mbali). Morogoro peje yake hakutembelea majimbo matatu ninayoyajua.
Morogoro kusini
Morogoro kusini mashariki
Morogoro kusini magharibi
Hayo ni y?le ninayoyajua tena mkoa mmoja tu.

Morogoro kusini Magharibi? Na wewe wacha uongo vilevile
 
Amka amka nenda chukua karatasi chungulia chungulia chagua Magufuli. Hapo Mafisadi, wafitini na wachonganishi wa taifa letu utakuwa umewazika kwenye kaburi la zege milele.
 
kwa hiyo wapinzani uhakika wao ni kushnda hayo majimbo sita 2 kaaaz kwelikweli


Acha kutumia jina lenye maana maana huna iyo maana ya ilo jina

Mwenzako amesema amatembelea huko hatopata kitu wewe unasema yaliyo kwenye masaburi yako

Elimu elimu elimu

Kila kona mnasambaza mabox ya kura mbaya zaidi yanadakwa
 
Amka amka nenda chukua karatasi chungulia chungulia chagua Magufuli. Hapo Mafisadi, wafitini na wachonganishi wa taifa letu utakuwa umewazika kwenye kaburi la zege milele.

Kweli kabisa wapiga Deal wote utakuwa umewazika
 
Back
Top Bottom