Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
- Thread starter
- #61
Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!Magufuli na vibaraka wake walipokuwa wanakejeli watu waliowaua kama Ben Saaane, na waliowapiga risasi kama kina Lissu walikuwa na gurantee ya immortality? Hilo swali mngekuwa mmemuuliza kipindi hicho pengine leo angekuwa hai. Sisi tulijua na tunajua hatutaishi milele ndiyo maana tunakemea watu kuuawa au kuumizwa na wenye madaraka. Wewe ndiyo unajua leo? Pole sana!
Hamuaminiki nyinyi nyumbu