Magufuli azomewa Mwanza

Magufuli azomewa Mwanza



Huyo ndiye Magufuli, kwa kulazimisha mambo hajambo.

Pamoja na zomea zomea, mwisho wa siku alisalimu amri.

Kwani umma ukiamua umeamua, halali mtu hadi kieleweke.
 
Last edited by a moderator:
Wale watu walio kwenye ule mkutano usikute ametoka nao mkoa wa pwani.
 
Hata siku tukimuapisha mtamzomea hivyo hivyo.......viroba na desperation hazipigi kura.
 
Jamani ukawa wenzangu
Hapo ni Kimanzichana
Msililizeni Makomeo anasema " ndg zangu wa Kimanzichana"

#Mabadiliko ni Lazima
 
Naona mwanza waliamua kwenda kumzomea kwa wingi jana. Nahisi hawa jamaa walijaa mpaka kwenye milima kule na kwenye maji wangesimama wangekuwa na uwezo.
 

Attachments

  • 1445217080305.jpg
    1445217080305.jpg
    113.9 KB · Views: 294

Similar Discussions

Back
Top Bottom