Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

Sisi msg tumesevu kabisa ni kubadili tu jina!
9bdc9db115b463a29dea9d975569412a.jpg
 
Mhh!mkuu umenikata maini kwa kweli inawezekana nimeishambulia hoja yako kwa ukali mno nami sina asili ya ugomvi just got carried away na ubovu wa hoja yako !ila kwa namna ya kistaarab ulivyo react naona bora nijirudi na mimi !
Niwie radhi siku nyingine nitakusema kistaarab! Have a nice sunday!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu. YAMEISHA.Nashukuru kwa kungudua hayo. Tuendelee na mjadala. Ahsante.
 
Acha kutuma Uzi wenye chembechembe za kidemu unakua ka demu kutuma umbea umbea humu
 
Nikitumwa kuleta mtu mjinga duniani hakika sitasita kukuchagua
Nashukuru kwa kuniona MJINGA.Sitakasirika.
Nakuona wewe ni binadamu mwenye akili timamu na BUSARA sana.
Ahsante sana.
 
Hawa upinzani hawajui hata wanapinga nini wamevurugwa na kubebwa hovyo kama gari bovu. Urafiki wawatu tangu awali wakakurupuka oohh anamuunha mkono Odinga wakati hajawahi kutamka. Watu wakutunga na kulalamika tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lao walikurupuka kutoa support bila kufikiria madhara yake. Sasa mabo ndo hayo.
Uhuru hatakubali kuharibu uhusiano wake na Tanzania hata kama Lowassa wanafahamiana.
Maslahi ya Watu wa nchi yake atayaweka juu zaidi ya mtu mmoja asiye na madaraka yeyote ya kufanya maamuzi ya kitaifa. Huo ndo ukweli
 
Tumefundishwa katika taaluma za utawala,uchumi, Siasa n.k kuzingatia usemi huu
Personal Goals should not supersede Corporate Goals. Yaani maslahi binafsi yasizidi maslahi ya umma.
Rais wetu ana urafiki na Railla ni Personal.
Rais wetu ni msemaji wa Inchi yetu, hii ni Corporate.
Kwa maani hiyo mgombea yeyote ambaye atashinda uchaguzi, Rais wetu ni lazima angempongeza kwa niaba ya Watanzania wote.
Lowasa hata kama Railla si rafiki yake, alitakiwa kumuunga mkono kwa maana tu chama cha Railla ndiyo chama kikuu cha upinzani sawa na Chadema.
 
Kati ya Lowassa na Magu nani anatakiwa kuandaa mchoro mpya?Wewe Unajua mipango kiasigani imeharibika kwa Best friend kukosa kwenda ikulu?wacha uchawi wa mitandaoni basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom