Ndiyo maana nchi hii maendeleo yetu ni haya tuliyonayo, watu wanapenda sana lugha na kauli za kuzunguka na kuzungushwa zungushwa, ambazo zinawafanya mbaki na uhakika wa namba katika kikosi cha wajinga na wapumbavu.
Hivi mlitaka Magufuli asemeje? Kuwa "kama hamna nauli tafadhali ombeni lift, mnaweza kusaidiwa kama watakubali"
hamuoni kuwa ni rahis sana alivyosema "pigeni mbizi" straight to the point, a lot of time have been served hapo, au hatulioni hilo kwa kuwa hatujui thamani ya muda?
Hatutaki tuambiwe ukweli, munapenda sana kubembelezwa, anyway msijali viongozi wa kuwabembelezi na kuwa danganya-danganya tayari mnao, watawabembelezini na mtasinziaa mpaka mikono yao itapapasa makal.io yenu pumbav.u.
Grow up, see and face the reality.
Kuna waliotetewa mabondeni, wote tumeona.