mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,368
- 3,814
Kati ya mawaziri wote ktika serikali ya dr kikwete magufuli anaonekana kuaminika zaidi. Yeye pia anajua hilo. Hivi majuzi alitetereka kidogo na kutoa kauli ya kejeli. Ingawa kupanda kwa nauli kigamboni ni jambo ambalo halikwepeki, haikumpasa magufuli awaambie wananchi wapige mbizi au warudi vijijini kama hawamudu nauli ya shs 200. Walio wengi kigamboni ndiko kukliko vijij vyao sasa warudi wapi? Aombe tu radhi kwani atapungukiwa na nini?