engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Hakuna kuomba msamaha
jambo dogo tu vikao na posho kibao ili kujadili mtu aombe msamaha
ametueleza ukweli sasa ukweli unatuuma,tumezoea kudanywa kwa maneno matamu,tukipewa maneno makavu kelekele nyingiiiiiiiiiiii
hakuna kuomba radhi,
jambo dogo tu vikao na posho kibao ili kujadili mtu aombe msamaha
ametueleza ukweli sasa ukweli unatuuma,tumezoea kudanywa kwa maneno matamu,tukipewa maneno makavu kelekele nyingiiiiiiiiiiii
hakuna kuomba radhi,